Mahakama ya Arusha, yatoa waranti kukamatwa kwa wabunge na viongozi wa CHADEMA

Tuache kuchangia kwa ushabiki hoja za msingi zinapoletwa jukwaani. Tutumie fursa kujifunza.

Leo ni viongozi wa chadema huwezi kujua kesho nani atakuwa kwenye tatizo kama hili.

Kisheria kama mshtakiwa hajafika mahakamani na yuko nje kwa dhamana hakimu anatakiwa amwite mdhamini na kumuamuru amlete mshtakiwa katika siku itakayopangwa.

Mdhamini akishindwa kumleta mshtakiwa hatua inayofuata ni kuforfeit bond aliyoweka na baada ya hapo ndipo arrest warrant hutolewa. Kwa misingi hiyo ni dhahiri hakimu karuka vihunzi viwili.

Swali la kujiuliza ni, je hakimu amefanya hivyo by design or accidentally? Kama ni accident should it be taken in isolation with dhamana ya Mheshimiwa Lissu. Makosa hayo ya mahakimu kukosea katika misingi ya sheria ya dhamana yakichukuliwa kwa pamoja mtu wa kawaida anapata hisia gani??

Je kama mahakama kuu haitaingilia kurekebisha makosa hayo jamii itaathirika vipi????

Well said !
 
Toka zamani hapa jamvini tulipiga marufuku wachangiaji wajinga.Tukasema JF si mahali kama FB now naona sku hizi vijana wengi wa mtaani wako hapa na kaz yao kila mara ni kututoa kwenye mada na kutuingiza kwenye ujinga wao .Tunakataa tabia hii sasa .
 
Toka zamani hapa jamvini tulipiga marufuku wachangiaji wajinga.Tukasema JF si mahali kama FB now naona sku hizi vijana wengi wa mtaani wako hapa na kaz yao kila mara ni kututoa kwenye mada na kutuingiza kwenye ujinga wao .Tunakataa tabia hii sasa .

Sure man kuna watu wanachangia upuuzi wako ki shabiki mno..hawana kitu kichwani weupe kama nini..sijui wanapewa vijisenti au akili tu hamna...acheni upuuzi kama hamna elimu nendeni shule,kunapokuwa na hoja jengeni hoja sio kuropoka ropoka upuuzi kama Magamba...
 
Kamata Dr, hayuko kwenye kamati yoyote ya bunge kwa kuwa si-mbunge, sema anamarupurupu kama ya mbunge..tunatunga sheria na lazima tuzifuate.

sheliya zipi? richimondi&dowansi=------mafisadiwanaendeleya kuchakachuwa hadi wanachakachuwa na akili za watu hapa jf niwengi waliochakachuliwa
 
Navyofahamu wakati kesi hiyo ikiahirishwa aprili 29 wakili wa utetezi kimomogolo aliwaombea udhuru washtakiwa ambao ni wabunge kuwa hawataweza kuhudhuria kesi watakuwa wakihudhuria vikao vya kamati za bunge jijini Dar es salaam, lakini hakimu Charles Magesa alikubaliana na ombi hilo lakini aliwataka wadhamini wao kwenda kutoa udhuru huo mahakamani siku ya kutajwa kwa kesi hiyo.

Washtakiwa wawili, mbunge wa Rombo, Joseph Selasini na mwanachama Dadi Igogo hawakuwepo mahakamani hapo lakini wadhamini wao walikuwepo. Mbali na washtakiwa hao kushindwa kufika, hata mawakili wao, Kimomogolo Method na Albert Msando nao hawakuwepo na hakukuwa na taarifa zilizotolewa za kushindwa kwao kuja.

Wanaotakiwa kukamatwa ni Freeman Mbowe, Wilbrod Slaa, Philemon Ndesamburo, Godbless Lema, mwenyekiti wa chadema mkoa wa Arusha, Samson Mwigamba, mchumba wa Dk Slaa, Josephine, Acquilline Gervas Chuwa na Richard mtui.
 
Baada ya kutofika mahakamani bila Taarifa,mahakama yaamuru Viongozi wa chadema,Mh Mbowe,Dr Slaa,Lema,Ndesa,Selasini kukamatwa.
Nimefanya mawasiliano na hawa viongozi wabunge wamesema walishatoa taarifa ya kutoluwepo leo mahakamani kutokana na vikao vya kamati vya Bunge,hivyo wanashangaa hakimu kuamuru wakamatwe ilihali alishakubali..

Huu ni mtego mkubwa sana kwa serikali ya ccm, mkijidanganya kuwakamata mtakuwa mmefanya kosa kubwa sana, CDM ni chama makini na wanaheshimu sheria za nchi na kutokwenda mahakamani kunasababu za msingi sana.
 
Busara itumike zaidi. Kusema ni rahisi kuliko kupambana na madhara yatokanayo maneno yasemwayo. Kumkamata na kum- detain mtu ni rahisi sana, lakini je kitendo hiki kinaleta tija au madhasa?
 
Wanajaribu kuwabeep watanzania kuwa je ikiwa viongozi wa CDM watakamatwa au kutoweshwa ni nini kitatokea?. Juzi walijaribu kwa Lissu, ila wajue kuwa wakti huu si wa kucheza na kesi kuwa-undermine viongozi wa upinzani na kufanikiwa kama walivyofanya kwa Mrema. The more they play this foolosh game the more popularity rise on CDM and vice-versa on CCM
 
Baada ya kutofika mahakamani bila Taarifa, mahakama yaamuru Viongozi wa chadema, Mh Mbowe, Dr Slaa, Lema, Ndesa, Selasini kukamatwa.
Nimefanya mawasiliano na hawa viongozi wabunge wamesema walishatoa taarifa ya kutoluwepo leo mahakamani kutokana na vikao vya kamati vya Bunge, hivyo wanashangaa hakimu kuamuru wakamatwe ilihali alishakubali..

Hapa ndo umuhimu wa kuwepo kwa Kurugenzi "hai" ya habari na Mawasiliano ya CDM unaonekana.
 
Navyofahamu wakati kesi hiyo ikiahirishwa aprili 29 wakili wa utetezi kimomogolo aliwaombea udhuru washtakiwa ambao ni wabunge kuwa hawataweza kuhudhuria kesi watakuwa wakihudhuria vikao vya kamati za bunge jijini Dar es salaam, lakini hakimu Charles Magesa alikubaliana na ombi hilo lakini aliwataka wadhamini wao kwenda kutoa udhuru huo mahakamani siku ya kutajwa kwa kesi hiyo.

Washtakiwa wawili, mbunge wa Rombo, Joseph Selasini na mwanachama Dadi Igogo hawakuwepo mahakamani hapo lakini wadhamini wao walikuwepo. Mbali na washtakiwa hao kushindwa kufika, hata mawakili wao, Kimomogolo Method na Albert Msando nao hawakuwepo na hakukuwa na taarifa zilizotolewa za kushindwa kwao kuja.

Wanaotakiwa kukamatwa ni Freeman Mbowe, Wilbrod Slaa, Philemon Ndesamburo, Godbless Lema, mwenyekiti wa chadema mkoa wa Arusha, Samson Mwigamba, mchumba wa Dk Slaa, Josephine, Acquilline Gervas Chuwa na Richard mtui.

Wadhamini walikwenda kukamilisha taratibu kama walivyotakiwa na Hakimu?

Kunaweza kuwa na miscommunication. Haiwezekani Mawakili, Washtakiwa na Wadhamini wote wakosekane kwa pamoja.
 
Lakini kwa nini kesi yenyewe mpaka leo haijaanza kusikilizwa? naona kila siku inapangiwa tarehe tu? halafu kwa hizo charges walizowafungulia maximum sentence ni nini? Nadhani hapa kuna ka mchezo tu wa kuchelewesha mambo watu wasahau mauaji ya Arusha.
 
wanadharau mahakama hawa, je wakishika nchi? wakamatwe wote. hakuna cha mbunge wala nani.
 
Hivi sheria ikoje naomba mnieleimishe. Mtu kama hajafika mahakamani mfululizo kesi si inaamuliwa dhidi yake au....? Naona kama kuna jambo hapa!!!!!
 
Tuache kuchangia kwa ushabiki hoja za msingi zinapoletwa jukwaani. Tutumie fursa kujifunza.

Leo ni viongozi wa chadema huwezi kujua kesho nani atakuwa kwenye tatizo kama hili.

Kisheria kama mshtakiwa hajafika mahakamani na yuko nje kwa dhamana hakimu anatakiwa amwite mdhamini na kumuamuru amlete mshtakiwa katika siku itakayopangwa.

Mdhamini akishindwa kumleta mshtakiwa hatua inayofuata ni kuforfeit bond aliyoweka na baada ya hapo ndipo arrest warrant hutolewa. Kwa misingi hiyo ni dhahiri hakimu karuka vihunzi viwili.

Swali la kujiuliza ni, je hakimu amefanya hivyo by design or accidentally? Kama ni accident should it be taken in isolation with dhamana ya Mheshimiwa Lissu. Makosa hayo ya mahakimu kukosea katika misingi ya sheria ya dhamana yakichukuliwa kwa pamoja mtu wa kawaida anapata hisia gani??

Je kama mahakama kuu haitaingilia kurekebisha makosa hayo jamii itaathirika vipi????

Kama ndivyo ilivyo mkuu ni kwamba hakimu atakuwa ameruka viunzi Kama vile vya spika wa Bunge Anna Makinda kwenye uongo wa Waziri mkuu dhidi ya Mbunge wa Arusha mjini kupitia Chadema bwana Godbless Lema
 
Huu ni mtego mkubwa sana kwa serikali ya ccm, mkijidanganya kuwakamata mtakuwa mmefanya kosa kubwa sana, CDM ni chama makini na wanaheshimu sheria za nchi na kutokwenda mahakamani kunasababu za msingi sana.

Hakuna alie juu ya sheria
 
Baada ya kutofika mahakamani bila Taarifa, mahakama yaamuru Viongozi wa chadema, Mh Mbowe, Dr Slaa, Lema, Ndesa, Selasini kukamatwa.
Nimefanya mawasiliano na hawa viongozi wabunge wamesema walishatoa taarifa ya kutoluwepo leo mahakamani kutokana na vikao vya kamati vya Bunge, hivyo wanashangaa hakimu kuamuru wakamatwe ilihali alishakubali..

Kumbe Slaa nae bado anahudhuria vikao vya kamati za Bunge?? nilikua sujui!
 
Back
Top Bottom