Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,233
- 8,779
ngoja tukusake!!
ngoja tukusake!!
Kwani nimemuibia mtu au kumuua mtu kama Laanatullahi Nyerere na mafia yake ya CCM ??
ngoja tukusake!!
ngoja tukusake!!
huyu ni mfuasi wa sultani seyyid Jamshid aliyepo uhamishoni uingereza, wametumwa, na ni wakuwashughulikia
Yakhe, hii kesi bado haijesha?Taarifa ya kuendelea kusikilizwa kwa kesi ya Muungano katika Mahakama ya Afrika Mashariki Arusha, Ombi no.9 lililowasilishwa na waombaji 40,000. linalohusiana na kuzuiliwa serikali zote mbili za Tanzania kutokufanya mabadiliko ya katiba za nchi ,kati ya Zanzibar na Tanzania.
Kutokufanyika kwa kura ya maoni juu ya suala la Muungano, kuwekewa vikwazo mbambali serikali ya Tanzania kimataifa katika nyanja mbali mbali na nchi za Afrika Mashariki, Afrika na Ulimwengu mzima.
Pamoja na mashirika ya kimataifa hadi kesi ya msingi itakapo malizika kusikilizwa na kutolewa hukumu, Ombi hili litasikilizwa mbele ya Majaji 5 siku ya Jumatano tarehe 6/6/2018 hapo Arusha saa 3:30 asubuhi. kuhusu ombi la kesi kuja kusikilizwa Zanzibar bado halijapangwa ingawa tumewasilisha marekebisho lakini mahakama italipanga kulisikiliza tena baada ya kulisikiliza ombi hili no,9.
Tunawaombeni Wazanzibari nyote tuungane kwa kulifuatilia shauri hili kwa manufaa ya nchi yetu,tafadhali sana kwa uzalendo wako ewe Mzanzibari tunahitaji mchango wako wa fikra n.k.
ili kuweza kutimiza lengo letu la kuikombowa nchi yetu katika ukoloni mambo leo wa Taifa la Tanganyika.
Tafadhali share na wengine taarifa hii.
# ZanzibarKwanza
# AjendaYaZanzibar
Habari zaidi, soma=>Wazanzibar elfu 40 wafungua kesi mahakamani kupinga muungano
View attachment 782025
Ngoja tuoneYakhe, hii kesi bado haijesha?
hivi hii kesi iliishiiaga wap?Taarifa ya kuendelea kusikilizwa kwa kesi ya Muungano katika Mahakama ya Afrika Mashariki Arusha, Ombi no.9 lililowasilishwa na waombaji 40,000. linalohusiana na kuzuiliwa serikali zote mbili za Tanzania kutokufanya mabadiliko ya katiba za nchi ,kati ya Zanzibar na Tanzania.
Kutokufanyika kwa kura ya maoni juu ya suala la Muungano, kuwekewa vikwazo mbambali serikali ya Tanzania kimataifa katika nyanja mbali mbali na nchi za Afrika Mashariki, Afrika na Ulimwengu mzima.
Pamoja na mashirika ya kimataifa hadi kesi ya msingi itakapo malizika kusikilizwa na kutolewa hukumu, Ombi hili litasikilizwa mbele ya Majaji 5 siku ya Jumatano tarehe 6/6/2018 hapo Arusha saa 3:30 asubuhi. kuhusu ombi la kesi kuja kusikilizwa Zanzibar bado halijapangwa ingawa tumewasilisha marekebisho lakini mahakama italipanga kulisikiliza tena baada ya kulisikiliza ombi hili no,9.
Tunawaombeni Wazanzibari nyote tuungane kwa kulifuatilia shauri hili kwa manufaa ya nchi yetu,tafadhali sana kwa uzalendo wako ewe Mzanzibari tunahitaji mchango wako wa fikra n.k.
ili kuweza kutimiza lengo letu la kuikombowa nchi yetu katika ukoloni mambo leo wa Taifa la Tanganyika.
Tafadhali share na wengine taarifa hii.
# ZanzibarKwanza
# AjendaYaZanzibar
Habari zaidi, soma=>Wazanzibar elfu 40 wafungua kesi mahakamani kupinga muungano
View attachment 782025
Kila anaetofautiana kimawazo ni kibaraka ni hoja ya kitoto kabisa.Mimi ni mzanzibari na wala sikubaliano na wazo la muungano kama ulivyo sasa.
Anaefikiria znz inahitaji tanganyika zaidi naona kama anaota mchana. Sasa kwa hio nyie ni wasamaria wema ?
Wakati napitia coments nilishangwaza sana watanganyika wanavojivutia kiupande wao wanasema wanzanzibar tunawategemea wao kwa lipi mfano?? Kwanini hawataki kuiyachia huru znz wafkirie kuna nini jamaa zao wanafisha,wazee wa tanu walichoifanyia zanzibar ni kosa la jinai la kimataifa km hawajui watafute kitabu kinaitwa kwaheri ukoloni kwa heri uhuru hapo ndio watapata historia ya kweli ambayo watu wanaitafuta kuhusu zanzibar.
Hicho kitabu naweza kupata wapiWakati napitia coments nilishangwaza sana watanganyika wanavojivutia kiupande wao wanasema wanzanzibar tunawategemea wao kwa lipi mfano?? Kwanini hawataki kuiyachia huru znz wafkirie kuna nini jamaa zao wanafisha,wazee wa tanu walichoifanyia zanzibar ni kosa la jinai la kimataifa km hawajui watafute kitabu kinaitwa kwaheri ukoloni kwa heri uhuru hapo ndio watapata historia ya kweli ambayo watu wanaitafuta kuhusu zanzibar.
Tunasubiri sanaTunaowategemea wako hivi
BASI TUTAKUWA NI WENDA WAZIMU
View attachment 1205001
View attachment 1205002
View attachment 1205003
View attachment 1205005
Shule ya msingi KIGOMA
View attachment 1205009
View attachment 1205010
Tunasubiri sana
Tunasubiri sana