Mahakama ya Afrika Mashariki Arusha: Muendelezo wa kesi ya kuhoji uhalali wa muungano

wee ukishindwa jitetee ni miratul rasul utaachiwa

Sent using Jamii Forums mobile app


MZEE WAKO WA KANISA AKIWA NA VIFAA VYAKE



Monsignor_Luigi_Capozzi__Cardinal_Francesco_Coccopalmerio__Pope_Francis_645_406_75.jpg
 
Ndugu zangu kwanza niwakumbushe kuwa hamna nchi inaitwa Tanzania bara. Pili, hao wanao sema kuwa Sultani atarudi ni watu wenye akili finyu. Tatu huu munao ita muungano hauna ridha ya wazanzibari. Naomba mwenye mkataba wa muungano atuletee tuuone. Pili, UN haina nakala kuthibitisha muungano huu. Baraza la mapinduzi halikuridhia muungano na pia waznzibari hawaja ridhia muungano.
 
Muungano uliwapo kutokana na shinikizo la mabeberu wa magharibi

Fuatilia vizuri siasa za Tanganyika na Zanzibar kabla ya uhuru,uchaguzi wa zanzibar uliompa ushindi mzee shamte,mapinduzi ya kina okelo,kuingia madarakani mzee karume,mauaji ya kimbari yalotokea baada ya mapinduzi na jinsi Kiongozi wa Tanganyika na Zanzibar walivyoafikiana kuziunganisha nchi zao bila ya kuwashirikisha wananchi wa pande zote mbili na yaliyojiri na yanayoendelea kujiri baada ya muungano huo ndio utaelewa kwanini wazanzibari wengi hawaukubali muungano huu kwa jinsi ulivyo hivi sasa.Historia hii haufundishwi mashuleni wala vyuoni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Fitina ya wapemba tuu ! Fitina mlianza siku nyingi tuu kabla hata mapinduzi. Zanzibar ni mali ya Sultanate of Oman, kama kurudi irudishwe huko !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi kama mzanzibari naona hasara tupu kuanzia identity/utambulisho hadi uchumi .... labda utuekeze hizo faida utujuze mkuu
Mlikuwa laki tatu, sasa mpo 1.8 mil. Visiwa havitanuki hivyo na huku bara tupo mil 55 na bado nchi tupu.
Mjue nje ya muungano huku bara unaweza kunyimwa hata viza. Hapo ndo utajua kwanini UK wanahangaika mpaka sasa na Brexit !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hakuna anayesapoti kuvunjika kwa muungano hasa wazenji kwa kuwa wao ndo wanaitegemea Tanzania bara kwa mambo mengi tu hiyo mara nyingi ni mihemko ya watu wachache vibaraka wa sultan anayetaka kuichukua tena Zanzibar kwani haamini kama nchi kachukuliwa kizembe namna ile..
huyu ni mfuasi wa sultani seyyid Jamshid aliyepo uhamishoni uingereza, wametumwa, na ni wakuwashughulikia
 
Taarifa ya kuendelea kusikilizwa kwa kesi ya Muungano katika Mahakama ya Afrika Mashariki Arusha, Ombi no.9 lililowasilishwa na waombaji 40,000. linalohusiana na kuzuiliwa serikali zote mbili za Tanzania kutokufanya mabadiliko ya katiba za nchi ,kati ya Zanzibar na Tanzania.

Kutokufanyika kwa kura ya maoni juu ya suala la Muungano, kuwekewa vikwazo mbambali serikali ya Tanzania kimataifa katika nyanja mbali mbali na nchi za Afrika Mashariki, Afrika na Ulimwengu mzima.

Pamoja na mashirika ya kimataifa hadi kesi ya msingi itakapo malizika kusikilizwa na kutolewa hukumu, Ombi hili litasikilizwa mbele ya Majaji 5 siku ya Jumatano tarehe 6/6/2018 hapo Arusha saa 3:30 asubuhi. kuhusu ombi la kesi kuja kusikilizwa Zanzibar bado halijapangwa ingawa tumewasilisha marekebisho lakini mahakama italipanga kulisikiliza tena baada ya kulisikiliza ombi hili no,9.

Tunawaombeni Wazanzibari nyote tuungane kwa kulifuatilia shauri hili kwa manufaa ya nchi yetu,tafadhali sana kwa uzalendo wako ewe Mzanzibari tunahitaji mchango wako wa fikra n.k.
ili kuweza kutimiza lengo letu la kuikombowa nchi yetu katika ukoloni mambo leo wa Taifa la Tanganyika.
Tafadhali share na wengine taarifa hii.
# ZanzibarKwanza
# AjendaYaZanzibar

Habari zaidi, soma=>Wazanzibar elfu 40 wafungua kesi mahakamani kupinga muungano

View attachment 782025
Mwisho wa maamuzi yao huwa ni ushauri tu ambao unaweza kuchukuliwa au kupuuzwa, mahakama za Tanzania zinatosha kabisa
 
Mlikuwa laki tatu, sasa mpo 1.8 mil. Visiwa havitanuki hivyo na huku bara tupo mil 55 na bado nchi tupu.
Mjue nje ya muungano huku bara unaweza kunyimwa hata viza. Hapo ndo utajua kwanini UK wanahangaika mpaka sasa na Brexit !

Sent using Jamii Forums mobile app

Mbona hutaji Vatican , kwani wakatoliki mko wangapi?? na ukubwa wa Vatikani uko vipi??
 
Nasemea huku kwa Machogo ati usijenpiga na kasia weye! We have more important issues to discuss as a nation ! Mbona siku hizi machogo hatuji mji mkongwe kuwamalizia mapembe? Sie twaja zetu tu Archipelagos forodhani kula Pweza , ngisi na chaza kama watalii ati! Hili suala tulifunga mjadala wake 1964!

Yakhe mkitaka liendelee ati you guys have ten options to fulfill ati!

Moja: muwafufue waasisi wote waje mbele ya wananchi wote waliokuwepo wakati ule waasisi wao ndo watengue mkataba ati, hamuwezi kutengua kitu ambacho hamkuhusika wakati kilipokubaliwa ati!

Mbili: yakhe mchukue ule mchanga uliochanganywa na muwaite wale wale wachanganyaji muwaite ati tena waje mbele ya mahakama ile ile na mbele ya waasisi wale wale ati wautenganishe ule mchanga

Tatu: yakhe wa. Visiwani wote na koo zao walioko bara warudi haraka kwao kwa mashuwa na makasia ati yakhe!

Nne: kopi 1000 za hati ya Muungano zichanwe ati mbele ya kadamnasi huko Jang'ombe na Kisiwandui na Kiembesamaki na Fuoni na Mfereji wa Wima na Mji Mkongwe na Michenzani ati yakhe!

Tano : Visiwa vilipe fidia 1000 trilioni kwa machogo kwa kila mwaka wa viongozi wao kutawala bara ati!

Sita : visiwa vilipe 1000 trilioni kwa kila mwaka wa ulinzi na usalama waliopewa na machogo wakakamavu tangu mapinduzi ya 1964 hadi leo!
Saba: yakhe visiwa vilipe machogo 1000 trilioni kwa kila mwaka wa kuwasomesha watu wao elimu bora huku kwetu ati!

Nane : visiwa vilipe machogo madeni yote ati, vilipe umeme na gharama zote toka kwa machogo bara tangu 1964 , nilicalculate yakhe ikaja tsh 1000 trilioni, yakhe mlipe cash itapendeza ati!

Tisa : yakhe kuanzia sasa visiwa vijitegemee kila kitu ati kuanzia mashuwa, majahazi, meli, boti, ngalawa , nyavu, maboya, Tanga, vyambo, Ndoano , Makasia na Nanga!
Kumi : You guys are wasting our time , you also disturb our umoja, undugu wa damu na asili, mshikamano, amani na utulivu because this union is iron-clad , simply unbreakable!!! Tena mkumbuke hata mkitengana na machogo labda miaka million moja ijayo mtaendeleza kutengana Unguja na Pemba na hamtakoma mtatengana Unguja wenyewe kwa wenyewe yakhe ati kwanza wale vimbelembele wanafanya uhaini na ni wa kwenda kulima kunde kwa meno na DJ kule tabata!

Wa kulipa ni wavamizi kutoka Tanganyika. Laanatullahi Nyerere aliivamia Zanzlbar na kumkamata Waziri Mkuu wake Muhammed Shamte aliyechaguliwa na wananchi na kumfunga katika jela za Tanganyika pamoja na Mawaziri wake bila kufikishwa mahakamani kabla hata huo uitwao Muungano haujafikiriwa April 26, 1964
 
Kwa wewe Mzanzibar? Mada hii hauwahusu Watanganyika.
hakuna anayesapoti kuvunjika kwa muungano hasa wazenji kwa kuwa wao ndo wanaitegemea Tanzania bara kwa mambo mengi tu hiyo mara nyingi ni mihemko ya watu wachache vibaraka wa sultan anayetaka kuichukua tena Zanzibar kwani haamini kama nchi kachukuliwa kizembe namna ile..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom