Mahakama ya Afrika Mashariki Arusha: Muendelezo wa kesi ya kuhoji uhalali wa muungano

Mtasubiri mno na muungano haufi


Huo si muungano ni MVAMIANO , HAKUNA MUUNGANO HAPO

Tanganyika chini ya Laanatullahi Nyerere iliivamia Zanzibar tarehe 12Januari 1964 , na kumkamata Waziri Mkuu wake Muhammed Shamte pamoja na baraza lake la mawaziri na kuwapeleka kwenye magereza ya Tanganyika bila kuwafikisha mahakamani , hayo yametokea kabla huo uvamizi kupewa jina la muungano hapo Aprili 26 , 1964
 
Huo si muungano ni MVAMIANO , HAKUNA MUUNGANO HAPO

Tanganyika chini ya Laanatullahi Nyerere iliivamia Zanzibar tarehe 12Januari 1964 , na kumkamata Waziri Mkuu wake Muhammed Shamte pamoja na baraza lake la mawaziri na kuwapeleka kwenye magereza ya Tanganyika bila kuwafikisha mahakamani , hayo yametokea kabla huo uvamizi kupewa jina la muungano hapo Aprili 26 , 1964
We mwongo....Zanzibar iko china ila ni nchi ya viwanda na karafuu na iko sehem ya tanzania mpakani mwa kongo na south afrika
 
Ndugu wana jf ......kwa maoni yangu suala la muungano ni la viongozi na sio la wananchi.kwa mfano.....ukiwauliza hasa watanzania bara wengi nini faida au hasaraza muungano watakujibu "kivyaovyao" wanaotaka kuvunja muungano ni wanasiasa wanaotaka madaraka.tujihadhari nao kwani ni hatari.
 
Ndugu wana jf ......kwa maoni yangu suala la muungano ni la viongozi na sio la wananchi.kwa mfano.....ukiwauliza hasa watanzania bara wengi nini faida au hasaraza muungano watakujibu "kivyaovyao" wanaotaka kuvunja muungano ni wanasiasa wanaotaka madaraka.tujihadhari nao kwani ni hatari.

Uvunjwe muungano kwani lini Tanganyika na Zanzibar ziliungana?? Huo si muungano Bali ni uvamizi. Tanganyika chini ya Laanatullahi Nyerere iliivamia Zanzibar na kumkamata Waziri Mkuu wake Muhammed Shamte pamoja na mawaziri wake na kuwafunga katika magereza ya Tanganyika bila kuwafikisha mahakamani ,kabla ya April 26, 1964 siku ambayo uvamizi ulipewa jina la muungano
 
Uvunjwe muungano kwani lini Tanganyika na Zanzibar ziliungana?? Huo si muungano Bali ni uvamizi. Tanganyika chini ya Laanatullahi Nyerere iliivamia Zanzibar na kumkamata Waziri Mkuu wake Muhammed Shamte pamoja na mawaziri wake na kuwafunga katika magereza ya Tanganyika bila kuwafikisha mahakamani ,kabla ya April 26, 1964 siku ambayo uvamizi ulipewa jina la muungano
Pambaneni tutaona mwisho wenu
 
Swali kwa gavan....taja sababu sita za kujiondoa kwa Zanzibar kwenye muungano
 
Swali kwa gavan....taja sababu sita za kujiondoa kwa Zanzibar kwenye muungano


Bado huelewi kuwa huo si muungano ???

Uvamizi ulipewa jina la muungano tarehe 26, Aprili 1964

Zanzibar imevamiwa Januari 12 , 1964 na Waziri mkuu na mawaziri wenzake wa Zanzibar wamekamatwa na kupelekwa kwenye majela ya Tanganyika Januari 1964 ,

KUNA MUUNGANO HAPO ??????

Hivi Iddi Amin alipoivamia kagera na kuichukua baadaye angelibadilisha jina Uganda akaiita Kaugandania ikiwemo kagera , wewe ungaliita huo ni muungano ??
 
Bado huelewi kuwa huo si muungano ???

Uvamizi ulipewa jina la muungano tarehe 26, Aprili 1964

Zanzibar imevamiwa Januari 12 , 1964 na Waziri mkuu na mawaziri wenzake wa Zanzibar wamekamatwa na kupelekwa kwenye majela ya Tanganyika Januari 1964 ,

KUNA MUUNGANO HAPO ??????

Hivi Iddi Amin alipoivamia kagera na kuichukua baadaye angelibadilisha jina Uganda akaiita Kaugandania ikiwemo kagera , wewe ungaliita huo ni muungano ??
Kwa hiyo karume hakukubali muungano au vp
 
Uvunjwe muungano kwani lini Tanganyika na Zanzibar ziliungana?? Huo si muungano Bali ni uvamizi. Tanganyika chini ya Laanatullahi Nyerere iliivamia Zanzibar na kumkamata Waziri Mkuu wake Muhammed Shamte pamoja na mawaziri wake na kuwafunga katika magereza ya Tanganyika bila kuwafikisha mahakamani ,kabla ya April 26, 1964 siku ambayo uvamizi ulipewa jina la muungano
 
Swali kwa gavan....taja sababu sita za kujiondoa kwa Zanzibar kwenye muungano
Ni muungano Wa kishirikina, hauna hasara wala faida, hauna ridhaa ya wananchi, tamaduni hazina mlingani, walio ubuni wamejifia, hauna uhalisia wa muungano, upo kichina kichina, wananchi wameuchoka........nyingine ongeza wewe kama huzioni nitakushangaa
 
Swali kwa gavan....taja sababu sita za kujiondoa kwa Zanzibar kwenye muungano
Kurudi kwa mamlaka kamili ya zanzibar
1. Uhamiaji
2. International relations
3. Current
4. Banks
5. Economic
6. Natural resources
7. Nationality
8. Politics
9. Tax
10
11.
12
13
 
Kurudi kwa mamlaka kamili ya zanzibar
1. Uhamiaji
2. International relations
3. Current
4. Banks
5. Economic
6. Natural resources
7. Nationality
8. Politics
9. Tax
10
11.
12
13
Kumbe unajitambua ....maaana wengine huwa wanadhani tu
 
Back
Top Bottom