Mahakama ya Afrika Mashariki Arusha: Muendelezo wa kesi ya kuhoji uhalali wa muungano

hakuna anayesapoti kuvunjika kwa muungano hasa wazenji kwa kuwa wao ndo wanaitegemea Tanzania bara kwa mambo mengi tu hiyo mara nyingi ni mihemko ya watu wachache vibaraka wa sultan anayetaka kuichukua tena Zanzibar kwani haamini kama nchi kachukuliwa kizembe namna ile..
Mkuu

Ni kweli hakuna anae taka Muungano uvunjike, lakini kutokana na mfumo tulio nao ni lazima hivyo uvunjike, sio watu wachache tunao taka, asilimia 99 tunataka Zanzibar huru, hata hao muonao kwenye baraza la mapinduzi pia wanaunga mkono kuhusu hii case ya Muungano. Tutaona east Africa community, muungano mzuri sana, sio lazima huu wa Tanzania
 
So close
IMG-20180530-WA0005.jpg
FB_IMG_1527679923449.jpg
 
hakuna anayesapoti kuvunjika kwa muungano hasa wazenji kwa kuwa wao ndo wanaitegemea Tanzania bara kwa mambo mengi tu hiyo mara nyingi ni mihemko ya watu wachache vibaraka wa sultan anayetaka kuichukua tena Zanzibar kwani haamini kama nchi kachukuliwa kizembe namna ile..
kama ZNZ inaitegemea TANGANYIKA basi hebu TANGANYIKA iutue huo mzigo wa kutegemewa afu tuone kitachojiri. na sidhani FISIEM kama wanaweza sekunde tu kuachia japo pua tu
cc: @mrfroatsy
 
Kusikilizwa ni jambo jema lakini hao wanaotaka muungano uvunjwe wanatafuta nini ? je ni kweli Zanzibar siyo huru ? na je Tanzania ndiyo Tanganyika ? je katika hayo makubaliano Nyerere na Karume walikusudia baadae uvunjwe ? mi nadhani liko kisiasa zaidi. hii itakuwa kama Libya, Egypt, Tunisia ambao walitumia dhana ya Natural law kujikwamua lakini baadae ikawa shida kwao. Will Autonomy
 
kama mumichoka nendeni.. huku mumiwakamatia kisawasawa hata kuwwachilia hamtaki...
hebuu waachieni kikwelikweli afu muone kitachofuatia
cc: GHIBUU
Wakate tu hata mikono,mbona kujilipua wanaweza wastashindwa kujitoa kwenye kumnato.hawajajoka hao.
 
Shida tulio nayo ni wenzetu ndugu wa damu hawapendi kusikia mbadala ya maoni kuhusu muungano. Mimi napendekeza uwepo wa mjadala wa muungano baina ya wazanzibari na watanganyika au watanzania bara. Tujadiliane kwa uwazi na ukweli. na tuache propaganda zinazoendelezwa na serikali ya CCM.
 
Wakate tu hata mikono,mbona kujilipua wanaweza wastashindwa kujitoa kwenye kumnato.hawajajoka hao.
Mawazo yako yana vijielementi vya dhana ya mfumo kristo, yanathibitishwa na Lukuvi. Kwa wale wanaotafuta kwanini Tanganyika inangangania Zanzibar jibu hili hapa ->
 
Wazanzibar sikuzote wana akili za kushikiwa, Wao wanafikiri ni kujitenga tu ndio suluhisho..

Hawajui kuna watanganyika wengi Sana wanaoishi Zanzibar, na ukishaanza ubaguzi huo baadae hawataishia hapo, watakuta kuna wapemba na waunguja, kutokana na ubaguzi waliouanzisha wataanza kubaguana tena wenyewe kwa wenyewe na mambo ya Somalia ndipo yatakapoanzia hapo. Civil war na majanga kibao.. Kinachowafanya wajiite wao ni wazanzibar si kingine ni muungano tu.. Nje ya muungano kuna wao wapemba sisi waunguja
 
Wazanzibar sikuzote wana akili za kushikiwa, Wao wanafikiri ni kujitenga tu ndio suluhisho..

Hawajui kuna watanganyika wengi Sana wanaoishi Zanzibar, na ukishaanza ubaguzi huo baadae hawataishia hapo, watakuta kuna wapemba na waunguja, kutokana na ubaguzi waliouanzisha wataanza kubaguana tena wenyewe kwa wenyewe na mambo ya Somalia ndipo yatakapoanzia hapo. Civil war na majanga kibao.. Kinachowafanya wajiite wao ni wazanzibar si kingine ni muungano tu.. Nje ya muungano kuna wao wapemba sisi waunguja
Acha matusi, akili ya kushikiwa labda anayo mamako ndo maana akakuzaa nje ya ndoa mwanaharamu mmoja wee.
 
Back
Top Bottom