johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,819
- 141,722
Kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe inaendelea leo kwenye mahakama ya mafisadi.
Pia soma > Mahakama ya Uhujumu Uchumi: Mvutano mkali kesi ya Mbowe na wenzake. Hatma ya kesi kujulikana Septemba 6
Mungu ampe wepesi mwanasiasa huyu nguli, amen
Freeman Mbowe akiongea na Mawakili wake
----
UPDATE: MAHAKAMA KUU YATUPILIA MBALI PINGAMIZI LA MBOWE
Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi imetupilia mbali pingamizi la Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake
Mbowe na wenzake walikuwa wakipinga Hati ya Mashtaka yanayowakabili wakidai ina kasoro za kisheria, hivyo kuomba Mahakama iitupilie mbali.
Pia soma > Jaji Elinaza Luvanda ajiondoa kuendesha kesi ya Mbowe baada ya washtakiwa kudai hawana imani naye
Pia soma > Mahakama ya Uhujumu Uchumi: Mvutano mkali kesi ya Mbowe na wenzake. Hatma ya kesi kujulikana Septemba 6
Mungu ampe wepesi mwanasiasa huyu nguli, amen
Freeman Mbowe akiongea na Mawakili wake
----
UPDATE: MAHAKAMA KUU YATUPILIA MBALI PINGAMIZI LA MBOWE
Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi imetupilia mbali pingamizi la Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake
Mbowe na wenzake walikuwa wakipinga Hati ya Mashtaka yanayowakabili wakidai ina kasoro za kisheria, hivyo kuomba Mahakama iitupilie mbali.
Pia soma > Jaji Elinaza Luvanda ajiondoa kuendesha kesi ya Mbowe baada ya washtakiwa kudai hawana imani naye