akilinene
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 514
- 433
Na wewe hujui siku yakoVile mwendakuzimu amefurahia uzi wako huu kutokea huko kuzimu😁😁😁
View attachment 1926319
Na wewe hujui siku yakoVile mwendakuzimu amefurahia uzi wako huu kutokea huko kuzimu😁😁😁
View attachment 1926319
Vile mwendakuzimu amefurahia uzi wako huu kutokea huko kuzimu😁😁😁
View attachment 1926319
Hivi lazima uandike hata kama ugoro unaandika
Mshaurini Mbowe hivyo. Awe ananyamaza.Yapo mambo bora kunyamaza. End.
Watuombe msamaha kwanza wale waliosema JPM yuko mzima na yuko ikulu anachapa kazi.Vitabu vitakatifu vya dini pamoja na mila zetu vinazuia kumnanga, kumtusi na kumsemea uongo marehemu. Hii inazuia kwa sababu marehemu hawezi kujitetea. Hivyo kumsemea uongo na kumtusi ni dhambi mbya sana.
Mbowe akijua hilo bado alizunguka Tanzania nzima kumtusi JPM na kumsemea uongo wa waziwazi, mambo ambayo hakuweza kusema JPM akiwa mzima. Karma ya kosa hili haitamwacha salama Mbowe. Hakika imeanza kumtafuna na itaendelea kumtafuna yeye na familia yake.
Akiwa mjanja aombe msamaha kwa umma kwa yote ya uongo aliyomsemea JPM. Kukataa jaji hakutamsaidia. Ndiyo kwanza anazidi kuchochea moto. Wewe ni mkosaji unachagua polisi wa kukukamata?
Tujifunzeni kuwa waungwana hasa kwa ndugu zetu marehemu ambao wametangulia mbele ya haki. Tuache maneno ya kebehi na mizaa kwako. Hiyo ndiyo safari yetu wote. Tunaishi tu kwa neema ya Mungu lakini hakuna mwanadamu aliyekamilika.
Vile mwendakuzimu amefurahia uzi wako huu kutokea huko kuzimu
View attachment 1926319
Utaachaje iendelee wakati kesi haina misingi ya kisheria?hivi mawakili wa mbowe kwanini wasiachie kesi iendelee ? hivi kuichelewesha kwa mapingamizi siyo kumuumiza mtuhumiwa kweli? mawqzo yangu tu sijui sheria
ndiyo misingi inatafutwa sasa na anaendelea kuumia ndaniUtaachaje iendelee wakati kesi haina misingi ya kisheria?
Kwani kazi ya Jaji ni kurekebisha mashtaka?SASA mwandishi mbona umekurupukasana
AU NI DERIKALI? ndiyo kitu gani hiki halafu unahukumu wewe eti aachiwe wewe ndiyo jaji?
Tundu Lisu naye ni mweupe tu!Ndio maana tundu lisu anawadharau aiseee leo ndio nimegundua
Sasa unanilinganisha mimi na mwizi wa kura?Unalinganisha kifo changu na kifo cha mwizi wa kura ambae alilinyima Taifa zima haki?!Unaijua sayansi ya kulinganisha vitu?Na wewe hujui siku yako
Ni heri mara zote kuchelewesha kesi kuliko kupata hukumu isiyo ya haki kwa haraka.ndiyo misingi inatafutwa sasa na anaendelea kuumia ndani
Afadhali umesema hujui sheria,kwa hiyo acha wanaoijua sheria waendelee kufuata taratibu zote mpaka kielewekehivi mawakili wa mbowe kwanini wasiachie kesi iendelee ? hivi kuichelewesha kwa mapingamizi siyo kumuumiza mtuhumiwa kweli? mawqzo yangu tu sijui sheria
Unamzungumzia yule muuaji aliyedhani ana uwezo wa kuua watu wasio na hatia na asijue kuwa yeye korona itamwondoa?Vitabu vitakatifu vya dini pamoja na mila zetu vinazuia kumnanga, kumtusi na kumsemea uongo marehemu. Hii inazuia kwa sababu marehemu hawezi kujitetea. Hivyo kumsemea uongo na kumtusi ni dhambi mbya sana.
Mbowe akijua hilo bado alizunguka Tanzania nzima kumtusi JPM na kumsemea uongo wa waziwazi, mambo ambayo hakuweza kusema JPM akiwa mzima. Karma ya kosa hili haitamwacha salama Mbowe. Hakika imeanza kumtafuna na itaendelea kumtafuna yeye na familia yake.
Akiwa mjanja aombe msamaha kwa umma kwa yote ya uongo aliyomsemea JPM. Kukataa jaji hakutamsaidia. Ndiyo kwanza anazidi kuchochea moto. Wewe ni mkosaji unachagua polisi wa kukukamata?
Tujifunzeni kuwa waungwana hasa kwa ndugu zetu marehemu ambao wametangulia mbele ya haki. Tuache maneno ya kebehi na mizaa kwako. Hiyo ndiyo safari yetu wote. Tunaishi tu kwa neema ya Mungu lakini hakuna mwanadamu aliyekamilika.
Hivi lazima uandike hata kama ugoro unaandika tu.
Akili za wapi hizi? Unaelewa kweli ulichoandika?Ma CCM yatajuta hii kesi ilikuwa miss-calculation sasa hivi yanashimdwa yaiteme VIP hii kesi