Kusema ukweli ni kutukana?Mbowe alimtukana Rais magufuli ili kumfurahisha Rais samia karma inamtafuna
Ndio!Sijui kama ugaidi una makabila?
Mawakili 14 wote kazi bure. Ingekua sera ya ccm ni uliberali mbowe kwa hila angechomoa eti kwa kukosewa kufungua mashtaka huku shutuma bado ipo palepale. Watz tukatae uliberali wa chadema wenye lengo la kuwadhulumu haki wanyonge.Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi yatupilia mbali pingamizi la kina Freeman Mbowe na wenzake, kesi sasa kuendelea-MCL
No retreat no surrender.. Tuta appeal tena na tena..!!!Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi yatupilia mbali pingamizi la kina Freeman Mbowe na wenzake, kesi sasa kuendelea-MCL
Kusema ukweli ni kutukana?
CCM acheni uonevuWakati ni mwalimu
Kwa jinsi tu ulivyoandika, unaonekana una hasira na kwenye hasira huwa hakuna akili (akili hukimbia).Hawakujua kama hatuna hiyo mahakama? Sasa nini maana ya kumpotezea muda mtu kwa kitu ambacho huna mwisho nacho??
Lakini magaidi si huwa wanauawa ili nchi na dunia iwe huru, kwa sababu hawa watu si wa kuwachekea. Ndiyo maana nchi kubwa ziliposikia Tanzania kuna gaidi limekamatwa na limefikishwa mahakanani na kwamba kuna ushahidi usioacha shaka yoyote (Notebook ya gaidi), waliwatuma mabalozi wao wakasikilize hiyo kesi mahakanani. Nadhani kama tutamuachia huyu gaidi, tutakua tumeipaka matope nchi yetu. Huyu inafaa auawe ndipo mataifa yatatuona tuko imara kupambana na magaidi.
Hauwezi kuappeal tena na tena kwa ishu moja na kuna level ya mahakama ukitoka hapo unakua hauna pa kwenda kuappela zaidi ya kukabiliana na kesi.No retreat no surrender.. Tuta appeal tena na tena..!!!
Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
Almtukanaje? Na alikwambia lini kua anamfurahisha Samia?Mbowe alimtukana Rais magufuli ili kumfurahisha Rais samia karma inamtafuna
Unapofungua shtaka lazima kuwe na 'sufficient clarity' kwenye charge sheet, otherwise shtaka 'may swing this or that way' na ni jukumu la 'aggrieved party' kusema au kuonyesha hivyo toka mwanzo. Yaani shtaka linatakiwa liwe sahihi, liendeshwe kiusahihi na limalizike kiusahihi.Mawakili 14 wote kazi bure. Ingekua sera ya ccm ni uliberali mbowe kwa hila angechomoa eti kwa kukosewa kufungua mashtaka huku shutuma bado ipo palepale. Watz tukatae uliberali wa chadema wenye lengo la kuwadhulumu haki wanyonge.
Hahahaaaa....... !Kwa jinsi tu ulivyoandika, unaonekana una hasira na kwenye hasira huwa hakuna akili (akili hukimbia).
PambafMawakili 14 wote kazi bure. Ingekua sera ya ccm ni uliberali mbowe kwa hila angechomoa eti kwa kukosewa kufungua mashtaka huku shutuma bado ipo palepale. Watz tukatae uliberali wa chadema wenye lengo la kuwadhulumu haki wanyonge.
Wale wale! Shame on you!Mbowe alimtukana Rais magufuli ili kumfurahisha Rais samia karma inamtafuna
Tukitegemea hilo. Huyu jaji hufanya kazi kwa maelekezo. Haja wahi kufuata sheria. Hebu fikiria, jaji anakubali mashtaka yana makosa. Halafu ana waagiza waka andike mashtaka upya. Tujiulize ana interest gani na hii kesi?Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi yatupilia mbali pingamizi la kina Freeman Mbowe na wenzake, kesi sasa kuendelea-MCL
Kwanini mmejificha nyuma ya keyboards?Ngoja waendelee kujipaka kinyesi tu.
Baada ya "aggrieved party" kuonyesha mapungufu ya charge sheet, ni nani mwenye jukumu la kurekebisha mapungufu hayo? Huyo mwenye hilo jukumu anasubiri hadi mahakama imueleze akafanye marekebisho? Hawezi yeye kuiomba mahakama kufanya marekebisho hayo baada ya kuelezwa makosa na kujua kweli ni makosa?Unapofungua shtaka lazima kuwe na 'sufficient clarity' kwenye charge sheet, otherwise shtaka 'may swing this or that way' na ni jukumu la 'aggrieved party' kusema au kuonyesha hivyo toka mwanzo. Yaani shtaka linatakiwa liwe sahihi, liendeshwe kiusahihi na limalizike kiusahihi.
Nisome taratibu, utanielewa mkuu. Labda aina ya uwekaji hoja zangu ni wa namna inayoonesha kuwa nina hasira. Niko vizuri kabisa mkuu.Kwa jinsi tu ulivyoandika, unaonekana una hasira na kwenye hasira huwa hakuna akili (akili hukimbia).