Mahakama Kuu yatoa uamuzi kuwa kifungu kinachowanyima watuhumiwa dhanama ni batili

Retired

JF-Expert Member
Jul 22, 2016
40,302
73,844
Kifungu cha 148(5) cha CPA kinacho wanyima watuhumiwa wa makosa yaliyoainishwa na kifugu hicho ni batili na kifutwe kwa kuwa kinakiuka Katiba ya JMT na serikali.

CHA AJABU: Mahakama imetoa muda wa miezi 18 kurekebisha /kufuta kifungu hicho.

MAAJABU: Kitu batili unakiruhusu kiendelee kuwatesa watu kwa miezi 18. Mahakama huwa haikubali UBATILI kusimama katika vitabu vya hukumu zake!!
 
Waswahili tunasema mhimili wa Mahakama ulijaribu kujitutumua na kuonesha kujitenga, Lakini mhimili mpya unaoitwa siasa ukazuia.

Sijawahi ona mahakama inatoa muda mrefu ivyo ili sisi tukandamizwe, Mbaya zaidi jamaa wamekata rufaa na naamini watashinda, na jopo litalotoa ushindi watatunukiwa mema.

Zamani ilikuwa uhaini, ikaja nyara za serikali na sasaivi tuna uhujumu uchumi.

In Vino Veritas (In Wine Lies the Truth)
 
Kifungu cha 148(5) cha CPA kinacho wanyima watuhumiwa wa makosa yaliyoainishwa na kifugu hicho ni batili na kifutwe kwa kuwa kinakiuka Katiba ya JMT na serikali.

CHA AJABU: Mahakama imetoa muda wa miezi 18 kurekebisha /kufuta kifungu hicho.

MAAJABU: Kitu batili unakiruhusu kiendelee kuwatesa watu kwa miezi 18. Mahakama huwa haikubali UBATILI kusimama katika vitabu vya hukumu zake!!
Mkuuu nadhani taarifa yako ina mapungufu mengi sana, Hautuambii Ni Mahakama kuu kanda ipi iliyotoa hayo maamuzi, Mbele ya Jaji Gani, Hayo maamuzi yametolewa lini, na haujatuewekea nakala ya hukumu husika...... My learned bro jaribu kupunguza political inclination.
 
My learned bro jaribu kupunguza political inclination.
Mambo ya sheria kuna political inclination? How? Mambo mengine fanya homework kidogo, just google utapata kila kitu. We do not have enough time to keep here typing! fuata link hiyo! na tafuta xzaidi. This news has trended widely on social media and for you information the AG has already filed a notice of appeal! (mimi siyo learned brother anyway! nimesoma sheria just for interest na kupata LLB, basi sikwenda zaidi ya hapo).

THE HIGH COURT OF TANZANIA HAS DECLARED THE WHOLE SECTION 148(5) OF THE CPA UNCONSTITUTIONAL - Mlatho Radio
 
Mambo ya sheria kuna political inclination? How? Mambo mengine fanya homework kidogo, just google utapata kila kitu. We do not have enough time to keep here typing! fuata link hiyo! na tafuta xzaidi. This news has trended widely on social media and for you information the AG has already filed a notice of appeal! (mimi siyo learned brother anyway! nimesoma sheria just for interest na kupata LLB, basi sikwenda zaidi ya hapo).

THE HIGH COURT OF TANZANIA HAS DECLARED THE WHOLE SECTION 148(5) OF THE CPA UNCONSTITUTIONAL - Mlatho Radio
Punguza stress msomi
 
Back
Top Bottom