Mahakama Kuu yatoa kibali kwa CUF kufungua kesi ya kutengua maamuzi ya msajili wa vyama

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
Mahakama kuu Ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Leo tarehe 10/10/2016 imetoa ushindi kwa Chama cha Wananchi (CUF) kwa kutoa kibali cha kisheria kwa chama kuwasilisha ndani ya siku 14, kesi ya kuiomba mahakama kutengua maamuzi batili ya Msajili wa vyama vya Siasa nchini, kwani maamuzi hayo batili yametengua maamuzi halali ya vikao halali vya chama.

Mawakili wa CUF wakiongozwa na Mhe. Juma Nassor, Mhe. Daimu na Mhe. Hashim Mziray wamewaahidi wanachama wa CUF nchi nzima kwamba wataifungua kesi husika ndani ya wiki hii.

Kwa kawaida, uamuzi wa leo wa Jaji Munisi huweza kufanywa upande mmoja (EXPARTE) kama ilivyofanyika.


Habari hii imetumika kwenye Kipindi cha JamiiLeo kinachorushwa kila siku jioni katika Channel ya JamiiForums kwenye mtandao wa YouTube.

Kuona kipindi hicho angalia video ifuatayo, acha maoni yako na kisha Subscribe kwenye Channel ya JamiiForums.

 
Mahakama kuu Ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Leo tarehe 10/10/2016 imetoa ushindi kwa Chama cha Wananchi (CUF) kwa kutoa kibali cha kisheria kwa chama kuwasilisha ndani ya siku 14, kesi ya kuiomba mahakama kutengua maamuzi batili ya Msajili wa vyama vya Siasa nchini, kwani maamuzi hayo batili yametengua maamuzi halali ya vikao halali vya chama.

Mawakili wa CUF wakiongozwa na Mhe. Juma Nassor, Mhe. Daimu na Mhe. Hashim Mziray wamewaahidi wanachama wa CUF nchi nzima kwamba wataifungua kesi husika ndani ya wiki hii. Kwa kawaida, uamuzi wa leo wa Jaji Munisi huweza kufanywa upande mmoja (EXPARTE) kama ilivyofanyika.
Nani alikuwa anapinga? Cuf walipeleka maombi na wamekubaliwa sasa ushindi umetokea wapi?
Huo ndio utaratibu wala hakuna cha ushindi dhidi ya Nani wala Nani...
sasa nadhani akili zitaanza kuwarudi kuwa nchi hii ni ya kidemokrasia na vyombo viko huru either mnashinda case or mnashindwa..
 
Mbona umepaniki sana huu mchezo hautaji hasira mipango imeshafeli CUF wanashinda hiyo kesi hiyo hatua ya kwanza dalili njema.
Hahahah we kweli mjinga ni nani alikuwa anapinga? Cuf walipeleka maombi na wamekubaliwa sasa ushindi umetokea wapi?
Huo ndio utaratibu wala hakuna cha ushindi dhidi ya Nani wala Nani...
sasa nadhani akili zitaanza kuwarudi kuwa nchi hii ni ya kidemokrasia na vyombo viko huru either mnashinda case or mnashindwa..
 
Hahahah we kweli mjinga ni nani alikuwa anapinga? Cuf walipeleka maombi na wamekubaliwa sasa ushindi umetokea wapi?
Huo ndio utaratibu wala hakuna cha ushindi dhidi ya Nani wala Nani...
sasa nadhani akili zitaanza kuwarudi kuwa nchi hii ni ya kidemokrasia na vyombo viko huru either mnashinda case or mnashindwa..



kuna vitu vingine mahakama za ccm haziwezi kuiba kwa kumsaidia magufuli mana matukio yapo wazi mfano wa hiyo kesi ,umeya wa jiji la dar idad ya madiwani wa ccm na wa ukawa unakuta sheria zinashindwa kuwabeba ccm kwa ufadhili ule wa ccm kwa mara nyingine wanaumbuka
 
CUF kazi ipo. Kama mambo anayoyafanya Prof. Lipumba ni kwa utashi wake tuu, then kisheria Lipumba atashindwa na Chama cha CUF ndio kitabaki salama.

Lakini haya anayoyafanya Lipumba kama yana mkono wa mtu, then kazi bado ipo! .
Pasco
Hivi Mkono wa mtu na Mahakama upi una nguvu kwa Tanzania hii?
Kwa uzoefu wako pasco
 
Hahahah we kweli mjinga ni nani alikuwa anapinga? Cuf walipeleka maombi na wamekubaliwa sasa ushindi umetokea wapi?
Huo ndio utaratibu wala hakuna cha ushindi dhidi ya Nani wala Nani...
sasa nadhani akili zitaanza kuwarudi kuwa nchi hii ni ya kidemokrasia na vyombo viko huru either mnashinda case or mnashindwa..
mahakama kuu hufanya kazi kwa weledi elewa mahakama kuu ingeweza kutupilia mbali ombi hilo ila baada ya kujiridhisha kwamba kuna hoja/madai ya msingi ndio maana wamewapa siku 14 wawewamefungua shauri rasmi
 
CUF kazi ipo. Kama mambo anayoyafanya Prof. Lipumba ni kwa utashi wake tuu, then kisheria Lipumba atashindwa na Chama cha CUF ndio kitabaki salama.

Lakini haya anayoyafanya Lipumba kama yana mkono wa mtu, then kazi bado ipo! .
Pasco
Kabisa!Ndio Maana Mimi Naweka Akiba ya Maneno Mpaka Dakika Tisini za Kipute Hiki!
 
Uko sahihi kabisa CUF watakuwa washindi watabaki salama Lipumba na wenzake wataumbuka sana njama zao zitakuwa zimefeli
CUF kazi ipo. Kama mambo anayoyafanya Prof. Lipumba ni kwa utashi wake tuu, then kisheria Lipumba atashindwa na Chama cha CUF ndio kitabaki salama.

Lakini haya anayoyafanya Lipumba kama yana mkono wa mtu, then kazi bado ipo! .
Pasco
 
Back
Top Bottom