ong'wafaza
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 243
- 100
Mimi jamani sijaelewa vizuri.
Inawezekana kuwa ni kweli Mahakama haina uwezo wa kuzuia shughuli za Bunge ikiwemo hili swala la kuapishwa mbunge mteule.
Lakini je, Bunge nalo linaweza kuendelea na swala lililoko mahakani?
Huku sio kuingilia Mahakama?
Naomba wataalam wa sheria wanijuze.
Inawezekana kuwa ni kweli Mahakama haina uwezo wa kuzuia shughuli za Bunge ikiwemo hili swala la kuapishwa mbunge mteule.
Lakini je, Bunge nalo linaweza kuendelea na swala lililoko mahakani?
Huku sio kuingilia Mahakama?
Naomba wataalam wa sheria wanijuze.