Mahakama kuu yampa tena Ushindi Abdul Nondo dhidi ya serikali, baada ya kudaiwa kujiteka

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
Jaji wa mahakama kuu Tanzania Mhe.Panterin Kente amemwachia huru Abdul Nondo kwenye hukumu ya rufaa iliyokatwa na jamhuri dhidi ya maamuzi ya mahakama ya hakimu mkazi Iringa yaliyompa ushindi katika kesi ya kudaiwa kujiteka na kutoa taarifa za uongo kupitia mitandao ya kijamii.
1577108768976.png


====

Mahakama Kuu kanda ya Iringa imemuachilia huru aliyekuwa Mwenyekiti wa Mtandao wa wanafunzi wa Vyuo vikuu Abdul Nondo baada ya kukutwa hana hatia katika kesi ya Rufaa iliyokatwa na Upande wa Jamuhuri baada ya kutoridhishwa na Hukumu ya Mahakama ya Hakimu Mkazi 2018.

Zaidi, soma



 
Jaji wa mahakama kuu Tanzania Mhe.Panterin Kente amemwachia huru Abdul Nondo kwenye hukumu ya rufaa iliyokatwa na jamhuri dhidi ya maamuzi ya mahakama ya hakimu mkazi Iringa yaliyompa ushindi katika kesi ya kudaiwa kujiteka na kutoa taarifa za uongo kupitia mitandao ya kijamii.
Impliedly alitekwa! sasa jamuhuri iwatafute waliomteka iwafungulie mashitaka, mbkna wanakwepa wajibu??
 
Mahakama Tanzania ziko huru na zinatenda haki....

Tukishindwa tu kesi ndio huwa maagizo kutoka juu..

Leo hakuna maagizo toka juu..
Jaji wa mahakama kuu Tanzania Mhe.Panterin Kente amemwachia huru Abdul Nondo kwenye hukumu ya rufaa iliyokatwa na jamhuri dhidi ya maamuzi ya mahakama ya hakimu mkazi Iringa yaliyompa ushindi katika kesi ya kudaiwa kujiteka na kutoa taarifa za uongo kupitia mitandao ya kijamii.

====

Mahakama Kuu kanda ya Iringa imemuachilia huru aliyekuwa Mwenyekiti wa Mtandao wa wanafunzi wa Vyuo vikuu Abdul Nondo baada ya kukutwa hana hatia katika kesi ya Rufaa iliyokatwa na Upande wa Jamuhuri baada ya kutoridhishwa na Hukumu ya Mahakama ya Hakimu Mkazi 2018.

Zaidi, soma



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jaji wa mahakama kuu Tanzania Mhe.Panterin Kente amemwachia huru Abdul Nondo kwenye hukumu ya rufaa iliyokatwa na jamhuri dhidi ya maamuzi ya mahakama ya hakimu mkazi Iringa yaliyompa ushindi katika kesi ya kudaiwa kujiteka na kutoa taarifa za uongo kupitia mitandao ya kijamii.
View attachment 1301439

====

Mahakama Kuu kanda ya Iringa imemuachilia huru aliyekuwa Mwenyekiti wa Mtandao wa wanafunzi wa Vyuo vikuu Abdul Nondo baada ya kukutwa hana hatia katika kesi ya Rufaa iliyokatwa na Upande wa Jamuhuri baada ya kutoridhishwa na Hukumu ya Mahakama ya Hakimu Mkazi 2018.

Zaidi, soma



Nadhani mifumo ya Mahakama zetu sio smart sana, ingependeza kama Mahakama zingekuwa zinawachukulia hatua hao wanaoitwa wawakilishi wa Jamhuri pale wanapoleta usumbufu na kupoteza muda wa Mahakama kwa kukata rufaa kwa kesi ambayo inaonekana iko wazi, hapa naamini kuna gharama Jamhuri imeingia kwa kurudia hio kesi, nani analipa ?, ilitakiwa kuwasweka ndani hao walioleta kiherehere cha kukata rufaa ili washike adabu
 
Kwa maoni yangu baada ya kumalizika rasmi kwa hizi kesi na sarakasi zake, it's high time Abdul Nondo aje to an open na kufunguka ni nini haswa kilichomtokea, ila pia naomba tuheshimu his rights to remain silent kama alivyoamua Dr. Ulimboka, Kibanda, Roma Mkatoliki, Mo Dewji etc, na hata mimi nilipoitwa Kamati ya Bunge, sometimes unapokutana na maswahibu ambayo mengine ni life threatening situations, ile ku survive tuu na kuwa alive, you thanks God that you are alive, because some others were not as lucky as you, watu kama Azory Gwanda na Ben Saanane wetu, then unaamua ile kuwa alive tuu is more than enough, you better seal your mouth and decides
it's better to remain silent for good, kwasababu those who were not so lucky they've been silenced for good.
P
 
Back
Top Bottom