SawaBismillahir Rahmaanir Rahiim
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA
LEO TAREHE 23/04/2021, MAHAKAMA KUU AMEFUTA MASHTAKA 14 YA MASHEIKH.
Mawakili wanaowatetea Masheikh wamezoa ushindi mkubwa leo Mahakani katika mapingamizi waliyoweka dhidi ya upande wa Jamhuri.
Mapingamizi hayo yalikuwa dhidi ya ukiukwaji wa sheria ulio wawezesha upande wa Jamhuri kufungua kesi nzito (Criminal Session Na. 121/3020), dhidi ya Masheikh hao.
Katika shauri hilo la Jinai Mahakama imekubaliana na hoja zilizojengwa na Mawakili hao kutoka katika katiba ya Jamhuri ya Muungano Tanzania na pia Katiba ya Zanzibar na sheria nyingine ikiwemo sheria ya Kuzuia Ugaidi.
Kwa muktadha huo Mahakama Kuu imeyafuta mashitaka 14 kati ya mashitaka 25 yanayowakabili Masheikh hao.
Mashtaka 11 yaliyobaki yataanza kusikilizwa Mahakama Kuu Dar es Salaam jumanne tarehe 27.4.2021.
Wananch mnaombwa kuwa karibu na kesi hizi ambazo zina mafundisho na mambo mengi ya kuzingatiwa.
Ibrahim Z. Mkondo
Msemaji wa Shura ya Maimamu Tanzania.
0713118812
Aamyn aamynAllah awafanyie wepesi na wapate uhuru wao siku moja na kurudi kwa jamii zao
Kama huyajui ujue hayakuhusuBismillahir Rahmaanir Rahiim ndio nini??
Hii habari umewaletea waarabu au watanzania tuñaoongea kiswahili.
Heri ungetumia maneno ambayo kila moja anayajua
Mkuu umetishaBismillahir Rahmaanir Rahiim ndio nini??
Hii habari umewaletea waarabu au watanzania tuñaoongea kiswahili.
Heri ungetumia maneno ambayo kila moja anayajua
KufaBismillahir Rahmaanir Rahiim ndio nini??
Hii habari umewaletea waarabu au watanzania tuñaoongea kiswahili.
Heri ungetumia maneno ambayo kila moja anayajua
Yale maelekezo kutoka juu sasa hayapo yalioondoka pamoja naye.
J4 tutegemee wataachiwa huru.
Mungu mkubwa!
Magu or Shein
Lete ushahidiNadhani hao mashehe wa uamsho wamejifunza mengi kwa kukaa rumande hata wakiachiwa huru leo hatutasikia tena watu wakipigwa risasi na kuuawa ovyo ovyo kama wakati ule walipoanzisha uamsho wao
Ndio ujue hao watu ni hatari kwa usalama wa nchi,shein na kikwete hawakuwa wajinga kuwasweka ndani.Kesi na kushikiliwa kws masheikh wa uamsho kunafikirisha sana (iwe Wana hatia au hawana). Iweje baada ya hao masheikh kukamatwa na kuhamishiwa Bara, Zanzibar kumekuwa shwari, yale mashambulio ya tindikali na risasi kwa wageni yamekoma kabisa.
Vv
Mwezi wa Toba huu unashindwa kujizuia kutoa matusi Shekh?Ungependa waendelee kusota jela ken_ge ww,,acha chuki nyau ww