Je
Mmeweka "alama kwenye taifa letu," Najua Fatma yupo, huyo Bob bado yupo au alishaondoka?
Hii ni hatua ndogo sana, hata kama ni hatua nzuri kuelekea kwenye chaguzi huru na za haki. Mda unakwenda mbio sana, marekebisho mhimu kwenye taratibu za uchaguzi yanatakiwa je litawezekana?