Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Nimesikia taarifa ya habari tbc taifa (radio ya magamba) ya saa 0:00 kwamba ma-doctor wameamrishwa na mahakama kusitishe mgomo wa kuwashinikiza waziri na naibu waziri wa afya wajiuzuru.
Hii maana yake nini?
Kipi usichokielewa hapa? mbona ulichoandika kiko wazi tu na hakina utata wowote?