Daa kumbe sakata la Dowans kulipwa bado linaendelea? nimesikia tu kwa mbali kwny taarifa ya habari ITV saa mbili hiii!! Wadau vp hii imekaaje?
Mahakama kuu ya Tanzania kupitia Jaji Emilian Mushi imeiamuru Tanesco kuilipa mabilioni ya fedha kampuni ya dowans kwa kigezo kuwa mahakama ya Tanzania haiwezi kupingana na Mahakama ya kimataifa, lakini pia mahakama imeiamuru Tanesco kulipa gharama zote za kesi hiyo ambazo bado hazijafanyiwa tathmini.