Mahakama Kuu ya Malawi Imetengua agizo la Rais Joyce Banda

Tunatamani Tz tuwe na Mahakama kama ya Malawi, Mahakama haikuangalia cheo na madaraka aliyonayo huyu mama imefuata sharia.
 
Mahakama Kuu ya Malawi Imetengua agizo la Rais Joyce Banda la kusimamisha Matokeo ya Uchaguzi Mkuu.

Hii imetokea muda mfupi tu baada ya Rais Banda kutangaza kwamba Uchaguzi huo utarudiwa baada ya miezi mitatu (Siku 90).

Mwanasheria Noel Chalamanda akiiwakilisha Tume ya Uchaguzi ya Malawi (Malawi Electroral Commission) na Mwanasheria Patrick Mpaka wa Malawi Law Society, walikimbilia Mahakamani.

Mahakama Kuu ya Malawi Imesema, kulingana na Katiba ya Malawi, Rais Banda hana mamlaka ya kutengua Uchaguzi Mkuu, na Mahakama hiyo Imeitaka Tume ya Uchaguzi (MEC), kuendelea kutoa Matokeo ya Uchaguzi huo kama kawaida..

NB:Huu ndio umuhimu wa Katiba iliyo bora. Nawasilisha.

Banda ndiyo wapendwa wa AU na team JK .Sasa wana angalia tu .Wasomi husimamia haki hapa wasomi ni toilet paper za CCM kisa kuchumia tumbo .
 
Huo ndio umuhimu wa kuwa na tume huru ya uchaguzi na mahakama huru. Yaani huyu mama hajui mipaka ya madaraka yake!?hata kuuliza kashindwa? ndio tuone sasa shida ya Rais kuchagua mgombea mwenza kihiyo!Mama sio presidential material kabisa..
 
This is bad for Malawi,Africa and humanity.

Tell tale signs were clear when a whole former Minister committed suicide. Such leaders must not find a place to lead at all.

Thank God that the Minister took his own life , a self judged decision that at best can only touch his family and close friends.

One wonders what kind of decisions such a fellow makes during his tenure of leadership,but certainly given a chance, dictatorial and muzzling tendencies call the shots - "mzee amesema etc", and being a baba for life or so long as it takes granted health.










More Riots In Malawi images
Tension rise over Malawi election nullification | Malawi ...

www.nyasatimes.com/2014/05/24/riots-erupt-over-malawi...---Cached
There is high tension with reports of riots in Malawi’s commercial capital Blantyre’s Limbe township over declartions by President Joyce Banda on ...
Army deployed as riots mar Malawi election - Africa - Al ...

www.aljazeera.com/.../army-deployed-as-riots-mar-malawi...---Cached
Soldiers have been deployed in Malawi's commercial capital Blantyre after voters, angered by delays and mishaps at polling stations in the hotly contested ...
Army deployed as riots mar Malawi election - Yahoo News UK

uk.news.yahoo.com/army-deployed-riots-mar-malawi...---Cached
'Army deployed as riots mar Malawi election' on Yahoo News UK. Polling extended in several locations after voters angered by logistical hiccups torch voting materials ...
Malawi vote enters second day after riots - Yahoo News South ...

za.news.yahoo.com/malawi-vote-enters-second-day...---Cached
Voting in Malawi's heated elections spilled into a second day Wednesday after riots sparked by the late opening of polling stations marred a vote seen as a test of ...
Tense calm after Malawi election riots as voting extended ...

news.yahoo.com/tense-calm-malawi-election-riots-voting...---Cached
Blantyre (Malawi) (AFP) - Voting was extended into an unscheduled second day in Malawi's riot-tainted election Wednesday, as the country waited to see if a ...
Malawi Vote Enters Second Day After Riots | NDTV.com

www.ndtv.com/article/world/malawi-vote-enters...riots-528296---Cached
Blantyre: Voting in Malawi spilled into a second day on Wednesday after riots sparked by the late opening of polls marred an election seen as a test of ...
Malawi vote enters second day after riots - howzit MSN News

news.howzit.msn.com/malawi-vote-enters-second...after-riots---Cached
Voting in Malawi's heated elections spills into a second day after riots sparked by the late opening of polling stations marred a vote seen as a test
Riots mar heated vote in Malawi | SBS News

www.sbs.com.au/.../2014/05/21/riots-mar-heated-vote-malawi---Cached
Malawi has deployed the army to contain violence that saw polling stations burnt and has marred an election seen as the first true test of President Joyce Banda's ...

Former Malawian Minister Godfrey Kamanya Commits Suicide after...
IB Times via Yahoo! UK & Ireland News May 23 07:39am
Malawi minister commits suicide after elections
The Hindu May 22 06:39am
Fomer Malawian Minister Godfrey Kamanya Commits...
IB Times via Yahoo! UK & Ireland News


On Saturday, May 24, 2014 5:15 PM, 'Aldin Mutembei' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:


Nakubaliana na Yona
Ni muhimu Dkt. Joyce Banda rais wa Malawi akubali matokea na hasa KUONESHA MFANO.-
Ni muhimu aoneshe mfano kuwa, suala la jinsia si neno. Kwamba ni mwanamke au mwanaume si neno. Neno ni ukomavu wa kisiasa na kiutawala.
Akikubali matokeo, atakuwa ametoa mfano mzuri sana na wa kuigwa kuwa, tofauti na wanaume kadhaa, yeye kama mwanamke aliye katika madaraka ya Urais, amekubali kushindwa na kuheshimu sauti ya wapiga kura.
Asipokubali, sio tu atawekwa katika kundi la watu "wanaobaka, sauti za wapiga kura", bali atadhihakiwa kuwa amekuwa mwanamke king'ang'anizi.
Akikubali kushindwa utakuwa ni ushindi kwa wanawake! Watasema kuwa, "sisi sio kama wanaume. Tukishindwa tunakubali. Tunatoka kiungwana."
Atakuwa amejenga msingi imara kuhusu dhana ya wanawake na uongozi.
Ataiacha dhana ya ung'anganizi wa nafasi za uongozi ikiwatafuna wanaume;
na ndivyo ilivyo!

Aldin
-
Aldin K. Mutembei-- (PhD) ----------------------- Aldin K. Mutembei (PhD)
Taasisi ya Taaluma za Kiswahili----------------- Institute of Kiswahili Studies
Kampasi ya Mwalimu J.K. Nyerere------------ Mwalimu J.K. Nyerere Campus
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam------------------ University of Dar es Salaam, TANZANIA
+255 715 426 162----- [Kiganjani] -------------- +255 715 426 162- (Cell)

b-pepe: kaimutembei@gmail.com--------------- Alternative e-mail: <kaimutembei@gmail.com>


On Saturday, 24 May 2014, 15:57, "Yona Maro oldmoshi@gmail.com [Wanazuoni]" <Wanazuoni@yahoogroups.com> wrote:


As current SADC Chair, Pres. Joyce Banda has an obligation to respect the SADC Principles on Democratic Governance and Election.

--

Yona Fares Maro

Institut d'études de sécurité - SA


__._,_.___
Posted by: Yona Maro <oldmoshi@gmail.com>
Reply via web post • Reply to sender • Reply to group • Start a New Topic • Messages in this topic (1)
VISIT YOUR GROUP New Members 1
• Privacy • Unsubscribe • Terms of Use
.


__,_._,___


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
-
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
-
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
 
KUNAHAJA YA KUACHANA NA MAMBO YA SERIKALI 2 AU 3 NA MKAZO UKAWEKWA KTK MAMLAKA HURU ZA KISHERIA ZISIZO WEZEKANA KUINGILIWA NA VIONGOZI WA KITAIFA KAMA,MAHAKAMA,POLISI TUME ZA CHAGUZI,LAW SOCIETY NK hakika malawi INATUPA DARASA KUBWA SANA JUU YA VIONGOZI NA UCHU WA MADARAKA "HEKO MAMLAKA ZOTE HURU ZA KITAIFA ZA MALAWI BRAVOOO
 
Mahakama Kuu ya Malawi Imetengua agizo la Rais Joyce Banda la kusimamisha Matokeo ya Uchaguzi Mkuu.

Hii imetokea muda mfupi tu baada ya Rais Banda kutangaza kwamba Uchaguzi huo utarudiwa baada ya miezi mitatu (Siku 90).

Mwanasheria Noel Chalamanda akiiwakilisha Tume ya Uchaguzi ya Malawi (Malawi Electroral Commission) na Mwanasheria Patrick Mpaka wa Malawi Law Society, walikimbilia Mahakamani.

Mahakama Kuu ya Malawi Imesema, kulingana na Katiba ya Malawi, Rais Banda hana mamlaka ya kutengua Uchaguzi Mkuu, na Mahakama hiyo Imeitaka Tume ya Uchaguzi (MEC), kuendelea kutoa Matokeo ya Uchaguzi huo kama kawaida..

NB:Huu ndio umuhimu wa Katiba iliyo bora. Nawasilisha.

Nimeanza kuwaonea wivu Wamalawi! Yaani wana Katiba bora kiasi hicho? Jamani tunazidiwa mpaka na Malawi? Aibu ya Tz wakuu, huu ujinga ungetokea kwetu ungeyasikia manasheria yetu yasivyokuwa na akili. Hivi unategemea kichwa cha Werema kiwe na weledi wa sheria kama hawa jamaa wa Malawi? Thubutu!!!

Hii ingekuwa Tz sasa hivi tume ingekuwa imeshafunga ofisi! Hongera Wamalawi, mama katia aibu!
 
Miafriaka bwana ................ Ni halali na haki kabisa wazungu wakitudharau na kutucheka!

Hii mitawala ya Afrika bwana wakishinda wao utasikia uchaguzi ulikua wa amani na wahaki. Wakishindwa wao uchaguzi unakua batiri. Bora Mungu awachukue tu mapema
 
Hebu iweke hii habari kwa lugha ya kimatumbi ujue kikristo kinawazingua wabongo wakutosha tu teh,
 
Hii ndiyo thamani ya ulafi wa kutupokonya sehemu ya ziwa letu, Ziwa Nyasa. Nasema Rais yeyote atakayeiongoza nchi ya Malawi atadumu endapo tu hatakuwa na agenda ya kutupoka ziwa sehemu ya Tanzania,, hakika kama itakuwa kinyume cha hapo Rais huyo ajue kuwa huo ndiyo mwisho wa urais wake. JB kama wananchi wake wanavyo muita alidhanni kuwa angepata "majority support" kwa agenda yake ovu dhidi ya Tanzania, Watanzania walibaki kimya wakiomba,, yeye akapaza sauti kwa wananchi wake lakini ni wachache sana walimuunga mkono tena kwa muda tu, leo amevuna alichopanda, ama kwa hakika kuna kila dalili ya Bara la Afrika kuwa na Dictator wa kwanza mwanamke na siyo mwingine bani Joyce Banda kwani hadi sasa amefuta uchaguzi wa nchi hiyo baada ya Mahakama Kuu kumkatalia ombi lake la kuzuia kutangaza mshindi hadi kura zihesabiwe upya.
 
safi sana, anajua hawezi kupata Urais kizembezembe kama alivyoupata mara ya kwanza ndio maana maneno mengi.
 
Inasemekana mtawala wetu ana mpango wa kumrithisha mwanamke kiti mara muda wake utakapokwisha ; je mnaona mambo anayofanya Joyce Banda huko Malawi? Hamna haja ya kwenda mbali angalieni vituko vinavyofanywa na bibi kiroboto kama spika kule bungeni!! Tafakarini ili mje mchukue hatua.
 
Wamalawi wamesomea sana mambo ya sheria toka zamani na ndio maana katiba yao ina umakini wa hali ya juu. wasomi wa sheria wenye asili ya Malawi kama vile marehemu Otton na vera Chirwa, Mkandawile , Chipeta wakina Mhango na wengine wengi wamechangia sana taaluma ya sheria hapa nchini!!
 
kuna umuhimu wa kuweko rais wa mpito pindi uchaguzi unapokaribia kwa mfano kama hapa TZ uchaguzi unafanyika Oktoba 2010, basi mwezi julai urais wa kikwete ungekoma na Jaji mkuu angeongoza kwa muda ili kuzuia the incumbent president kufanya hila kama hizi anapoona mambo yanamuendea kombo
 
Huo ndio umuhimu wa kuwa na tume huru ya uchaguzi na mahakama huru. Yaani huyu mama hajui mipaka ya madaraka yake!?hata kuuliza kashindwa? ndio tuone sasa shida ya Rais kuchagua mgombea mwenza kihiyo!Mama sio presidential material kabisa..
Hii issue sijui kwenye rasimu ya katiba mpya wameielezeaje. Mimi napingana sana na utaratibu uliopo kuwa mgombea urais akitoka upande huu wa muungano mgombea mwenza atoke upande mwingine. Haitofautiani sana na ujinga mwingine ulioletwa na tume ya Warioba kuwa wabunge wa majimbo watakuwa wawili wa jinsia tofauti kwa kila jimbo.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom