Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,988
- 22,379
Mkuu Mama yupo vizuri sana tena sana.Hahahaaa siku zote haki itakulinda.....huyu mama naanza kumsoma sasa...tulichelewa kumpata..jiwe alikua anatufukia walah
Apewe muda tu. Na ndio maana tunasisitiza kwamba mama aachwe afanye kazi na neema zitapatikana kwa kila mmoja wetu