Mahakama kuu Singida Tundu Lissu aendelea kuwaumbua Magamba

Capitalist

Senior Member
Feb 3, 2011
164
27
Leo wakili wa Magamba bw. Wasonga alikuwa anatoa utetezi wa ushahidi wao ambao Mh. Lissu aliuchambua jana na kuonekana wote ni Negative, alikuwa anajichanga ile mbaya anaongezea na vitu ambavyo havikusemwa huku kamanda Lissu akipinga na kumuomba jaji aangalie kama hayo anayoongezea yako recorded, na Jaji kumkatalia, na kumwambia jaji ayarekodi Lissu mwuuliza Jaji kwanini wakili aiaddress Mahakama kurekodi vitu ambavyo havikuwepo kwenye ushahidi wa mwanzo?

Jaji akasema mwacheni tu aonge lakini Mahakama ina busara zake. Pia wakili Wasonga alimwambia jaji LISSU anawabana kwa kuwa ni Wakili mzoefu, umati uliojaa ndani na njee ya mahakama ukacheka kwa nguvu na wakili wasonga akamwomba Jaji awaonye kwani wanamzonea, kisha jaji akachimba mkwara watu wasioeneshe ushabiki wa vyama Mahakamani. Palikuwa patamu , kesi inaendelea mchana huu.
 
Mkuu,
Tunashukuru kwa updates! Isango hajapona bado?

naona lengo la kumnyima lisu posho safari hii linakaribia kutimia. Wameamua kumpunguzia hela kiaina na kuendelea kujadili mambo yao ya kijinga bungeni!
 
Leo wakili wa Magamba bw. Wasonga alikuwa anatoa utetezi wa ushahidi wao ambao Mh. Lissu aliuchambua jana na kuonekana wote ni Negative, alikuwa anajichanga ile mbaya anaongezea na vitu ambavyo havikusemwa huku kamanda Lissu akipinga na kumuomba jaji aangalie kama hayo anayoongezea yako recorded, na Jaji kumkatalia, na kumwambia jaji ayarekodi Lissu mwuuliza Jaji kwanini wakili aiaddress Mahakama kurekodi vitu ambavyo havikuwepo kwenye ushahidi wa mwanzo?

Jaji akasema mwacheni tu aonge lakini Mahakama ina busara zake. Pia wakili Wasonga alimwambia jaji LISSU anawabana kwa kuwa ni Wakili mzoefu, umati uliojaa ndani na njee ya mahakama ukacheka kwa nguvu na wakili wasonga akamwomba Jaji awaonye kwani wanamzonea, kisha jaji akachimba mkwara watu wasioeneshe ushabiki wa vyama Mahakamani. Palikuwa patamu , kesi inaendelea mchana huu.

Hawa ccm hawakuwahi kuwa wazuri mbele ya jamii,ona wanavyompotezea Lisu muda kwa kuhudhuria mahakamani huku wenzao wakiwa Bungeni!!!.
 
Hatma ya Tundu Lisu kuendelea au kutoendelea kuwa Mbunge wa Singida Mashariki ipo mikononi mwa Jaji Moses Mzuna. Baada ya kusikiliza pande zote za mtoa mashtaka na ule upande wa ushahidi, Jaji ametangaza siku ya hukumu itakuwa tarehe 27.04.2012. Nawasilisha kutoka hapa Singida.
 
Alafu ivi mtu hawezi toa udhuru kuwa nina vikao vya bunge maana mda wote huo singida hawana mtu kule
 
Baada ya uhuru Mwl. Nyerere aliataja ujinga, maradhi na umaskini kama maadui 3 wakubwa. Baadaye adui ufisadi akaongezeka. Sasa adui CCM ameongezeka na huyu huenda ni mbaya kuliko hao 4 waliotangulia kwa maana ndio anayewapa hao 4 pumzi na mazingira ya kuendelea kuididimiza Tz.

Shime tumwangamize adui CCM hapo tutakuwa tumetatua nusu ya matatizo ya nchi hii.
 
Back
Top Bottom