mlingoti west
JF-Expert Member
- Mar 16, 2020
- 252
- 195
Bado haiakuwa kwa miaka kadhaa hakuna dhamanaMkuu kwa jinsi kulivyo na ukiukwaji mkubwa wa sheria awamu hii, hata kama kukifanyika mabadiliko ya hiyo sheria, bado wanaotakiwa kukomolewa watakomolewa bila kujali hiyo sheria.
Sent using Jamii Forums mobile app