Mama duly acha hasira endelea kupambana na iron lady maana unaweweseka
Anaachiwa huru.Kesi ya kuua bila kukusudia, ngoja tuisubirie
sawa jajiAnaachiwa huru.
kanumba alichanganya pombe na Viagra ili amkomoe lulu,halaf wakitoka hapo waende band huku lulu akisikilizia michubuko kwenye papuchi,sasa Viagra huwa haichanganywi na pombe ndo moyo ukaenda mbio akaanguka baada ya kunyonywa kibamiaWalau nitaona aliemsababishia kifo kaka yangu nae kapata adhabu.Kumpoteza Kanumba kwa namna ile hujui tu nilivyoumia,Lulu nae alipe kifo cha Kanumba.
Kifungu 198 cha penal code( sheria ya adhabu ya makosa ya jinai) inasema kuua bila kukusudia ni kifungo cha maisha.Anaachiwa huru.
Kuanzia kuachiwa huru mpk kifungo cha maisha sio kifungo cha maisha pekee.Kifungu 198 cha penal code( sheria ya adhabu ya makosa ya jinai) inasema kuua bila kukusudia ni kifungo cha maisha.
nimecheka kama mazuri eti parapanda italiaLazima kaende jela haka kaisrael mtoa roho za wanaume , Majizo nae hana siku nyingi tutamuimbia parapanda italia