Mahakama kuu kenya: maandamano ya upinzani ruksa

tongs

JF-Expert Member
Jun 4, 2017
539
940
Siku Tanzania ikipata mahakama huru kama hii, nitajiunga kwenye ule msemo maarufu kwamba maendeleo hayana chama
 

Attachments

  • Screenshot_2017-10-25-11-38-07.png
    Screenshot_2017-10-25-11-38-07.png
    201.7 KB · Views: 59
Ingekuwa ni hapa kwetu,hivi ninavokwambia vikao vingekalika kila ofisi ya polisi na mahakama..wangetawanywa maaskari na magari 770 yangenunuliwa fasta ,wangehaha kama vile nchi inapinduliwa
 
Hizi sarakasi za Uchaguzi Kenya, Kenyata na ODM, Odinga na NASA, Mahakama na Majaji, maandamano na Wananchi, zinafanana sana na makinikia, Gavana mpya, bombadier mpya/mtumba, noah to bakimi, zote zinanichanganya ngoja nitulie ntasema mwisho.
 
Kama mwanajumuia ya afrika mashariki, nathubutu kusema kwamba kenya iko next level when it comes to democracy, japo hali ya usalama inatia huzuni sana. Lakini lazima tutambue kwamba demokrasia ina gharama zake nahizo ndo gharama za demokrasia.
Huku tanzagiza tumejificha tu kwenye kichaka kinaitwa demokrasia
 
Katika afrika mashariki Kenya pekee yake mahakama ndiyo iko huru,haingiliwi na serikali

Ova
Ni ujinga gani unaongea, naibu Jaji mkuu wa Kenya gari yake imeshambuliwa na risasi jana na Dereva wake amejeruhiwa. Baadhi ya majaji wako kichama sana hadi wameamua kuingia mitini leo kwenye kesi ya kuahirisha uchaguzi. Kenya is a failed state.
 
What so special hapa??Tatzo lenu akili zenu zimeshikiriwa na KINA MBOWE na wao wana wasaidia kufikiri......
Huwezi kuona mana umepigwa upofu na jeni muro. Una masikio lakini huwezi kusikia
 
Hizi sarakasi za Uchaguzi Kenya, Kenyata na ODM, Odinga na NASA, Mahakama na Majaji, maandamano na Wananchi, zinafanana sana na makinikia, Gavana mpya, bombadier mpya/mtumba, noah to bakimi, zote zinanichanganya ngoja nitulie ntasema mwisho.
Kenyata na ODM tena!
 
'THE GRASS IS ALWAYS GREENER ON THE OTHER SIDE OF THE FENCE'
Whenever kenyan election nears, many kenyans expecting the worse do get out of the country fearing election violence which is endemic to that country. Here in Tanzania 20 years ago, some asians used to do the same but it is now history.
TANZANIA TANZANIA NAKUPENDA TANZANIA
 
'THE GRASS IS ALWAYS GREENER ON THE OTHER SIDE OF THE FENCE'
Whenever kenyan election nears, many kenyans expecting the worse do get out of the country fearing election violence which is endemic to that country. Here in Tanzania 20 years ago, some asians used to do the same but it is now history.
TANZANIA TANZANIA NAKUPENDA TANZANIA
Hebu hapo ulipo agiza bia mbili bariiidi upoze kiu mkuu
 
Katika afrika mashariki Kenya pekee yake mahakama ndiyo iko huru,haingiliwi na serikali

Ova
Tatzo menu ninyi wanakijiji wa PINGAPINGA mnadhani vurugu ndio demokrasia, too sad
Kenya ni mfano wa kuigwa

Kama mwanajumuia ya afrika mashariki, nathubutu kusema kwamba kenya iko next level when it comes to democracy, japo hali ya usalama inatia huzuni sana. Lakini lazima tutambue kwamba demokrasia ina gharama zake nahizo ndo gharama za demokrasia.
Huku tanzagiza tumejificha tu kwenye kichaka kinaitwa demokrasia
 
Polisiccm na FFU hapa kwetu wangemwaga kila kona ili kuminya uhuru wa Watanzania kuonyesha kutoridhika kwao na huu utawala dhalimu na wa kidikteta ambao unajua fika haupendwi bali kutegemea mtutu wa bunduki kung’ang’ania madarakani.

Siku Tanzania ikipata mahakama huru kama hii, nitajiunga kwenye ule msemo maarufu kwamba maendeleo hayana chama
 
Back
Top Bottom