Japo una hoja ya msingi usifurahie ukaonyesha hisia aisee, mambo haya hugeuka kwa namna tofauti, Mwombee tu la haki lisimame kwa haki...Mwache aisome namba kidogo.,hili ni funzo kwa wahindi wote mabaradhuli kuwa dharau dhidi ya raia wazawa zifike mwisho!
Unajidharaulisha mwenyewe. Unategemea usidharauliwe?Mwache aisome namba kidogo.,hili ni funzo kwa wahindi wote mabaradhuli kuwa dharau dhidi ya raia wazawa zifike mwisho!
Yaani ghafla tu! Chadema buana...Maombi hayo yametupiliwa mbali na Jaji Isaya Arufani. Kabla ya kutupiliwa mbali, maombi hayo, Manji alisimama na kuieleza mahakama kukataa kuwakilishwa na Wakili Peter Kibatala kwa sababu za kisiasa. Amedai, alipopeleka maombi ya dhamana alimpa maelekezo wakili Joseph Tedayo lakini alishangaa kesi ilipofika mahakamani hapo kwa ajili ya kisikilizwa maombi yake ya dhamana wakili Kibatala ndiyo alifika kumuwakilisha.