Hizo kauli za wanamsaka ni za kipuuzi! Kama katoroka waseme lakini mchungaji mwenye kanisa na investment kibao mumsake? Si wanampigia simu tu njoo polisi kwisha! Wanaosakwa ni watu wanaotoroka maeneo yao baada ya kufanya uhalifu! Mwingira amejaa tele waende wamkamate waache bla bla!Polis Kinondon wanamsaka Mwingira baada ya kubomoa Ofisi za Afrophus mwenge dsm jmosi! Source gzt uhuru
inategemea ni nabii wa aina gani kwani kama ni hawa manabii wa shetani waliozagaa huku mitaani unapiga tu tanganyika jack unatupa sero
inategemea ni nabii wa aina gani kwani kama ni hawa manabii wa shetani waliozagaa huku mitaani unapiga tu tanganyika jack unatupa sero
Kwani hawa manabii wa mitaani hawana upaku?
mkuu nimecheka ..ntajie wawili tu ntawapiga mwenyewe hiyo, t- jack.
Hivi kusaka.. Nini maana yake..
mkuu nimecheka ..ntajie wawili tu ntawapiga mwenyewe hiyo, T- jack.
Nabii wa uwongo lazima akimbie maana anajua kuwa yeye ni mhalifu
inategemea ni nabii wa aina gani kwani kama ni hawa manabii wa shetani waliozagaa huku mitaani unapiga tu tanganyika jack unatupa sero