Abdull Kazi
JF-Expert Member
- Dec 29, 2012
- 322
- 255
Kwani mtu kuwaTISS ndiyo kigezo cha kutokutenda haki?Majaji wa awamu ya 5, wengi wao hawakuwa judges bali maafisa wa TISS. Hatuna uhakika na huyu lakini ni wa kutiliwa madhaka makubwa.
Kwani mtu kuwaTISS ndiyo kigezo cha kutokutenda haki?Majaji wa awamu ya 5, wengi wao hawakuwa judges bali maafisa wa TISS. Hatuna uhakika na huyu lakini ni wa kutiliwa madhaka makubwa.
Shetani hajawahi kumshinda MunguHapo sasa Mbowe amefungwa.
Tiss ndio inayotumika kwenye uchafu wote wa nchi hii , ni sawa kuwa ni Taasisi ya ccm tuKwani mtu kuwaTISS ndiyo kigezo cha kutokutenda haki?
Acha theory za ulaya, ulaya rais hawezi akasema aliyoyasema BBC na usemi ule ulihitimisha kesi ya Mbowe.You are innocent until proven guilty. You may add beyond reasonable doubt.
Huyu Ni mtoto wa kada mtiifu wa CCM,mzaliwa wa mkoa waKagera wilaya ya muleba tarafa ya nshamba kata ya BIIRABO kijijji Cha Bugarama kitongiji Cha kyaibumba.tumtakie Kila heri katika jukumu zito alilopewa.
Wananchi Ulaya wangeendamanaAcha theory za ulaya, ulaya rais hawezi akasema aliyoyasema BBC na usemi ule ulihitimisha kesi ya Mbowe.