Tindikali Kali
JF-Expert Member
- Jan 9, 2018
- 539
- 383
Kwa wale ambao hamna kumbukumbualishakoswa risasi iliyompiga mbwa wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa wale ambao hamna kumbukumbualishakoswa risasi iliyompiga mbwa wake
Chanzo: Mwananchi
The Application Is Incompetent and Unmaintainable and ts dismissed WITH COST'SIt;s so sad fikiria mnavyotumia muda wenu kumpigania mtu wenu mtaa kwa mtaa kipindi cha kura mnakesha kuzilinda leo anashindwa kuthamini utu na juhudi zenu, kasahau taabu na mashaka yote. waana sitaka kwenye foleni ya kupiga kura tena. Haya nenda kauguze mkeo,
Ni lipi mkuu?Usichangie hoja kijinga. JF is the home of great thinkers. Alichosamehewa na bunge sometime back siyo hili la sasa.
Right. Nami ningeshangaa iwapo korti isingetupa hilo shauriHiyo kuvuliwa ubunge ilikuwa sio kwa bahati mbaya, hayo yalitarajiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
.Taarifa za hivi punde kutoka Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma ni kuwa, Joshua Nassari ameshindwa katika Shauri alilofungua Dhidi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano na Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya kupinga kuvuliwa Ubunge.
Kesi hiyo ambayo uamuzi wake umetolewa leo katika hatua ya mapingamizi yaliyowasilishwa na upande wa Serikali kupitia Wakili Mkuu wa Serikali imefikia mwisho katika hatua ya Mapingamizi.
Mahakama imefuta kesi hiyo na hivyo, Nassari sio Mbunge tena.
Nasari ni disgrace mwehu mkubwa kabisaTaarifa za hivi punde kutoka Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma ni kuwa, Joshua Nassari ameshindwa katika Shauri alilofungua Dhidi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano na Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya kupinga kuvuliwa Ubunge.
Kesi hiyo ambayo uamuzi wake umetolewa leo katika hatua ya mapingamizi yaliyowasilishwa na upande wa Serikali kupitia Wakili Mkuu wa Serikali imefikia mwisho katika hatua ya Mapingamizi.
Mahakama imefuta kesi hiyo na hivyo, Nassari sio Mbunge tena.
-------
Jaji Mansour ametumia dakika 44 kusoma maelezo yaliyomweka katika wakati mgumu Nassari.
Machi 14, 2019 Ndugai aliiandikia Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) barua akiieleza kuwa Nassari amepoteza sifa ya kuwa mbunge baada ya kutohudhuria mikutano mitatu mfululizo bila kutoa taarifa.
Spika Ndugai aliitaja mikutano hiyo kuwa ni wa 12 ulioanza Septemba 4 hadi 14; Novemba 6 hadi 16, 2018 na wa Januari 29 hadi 9.
Baada ya uamuzi huo, mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe alisema amemuagiza Nassari kuzungumza na wananchi na wanachama wa jimbo lake kuwaeleza kilichotokea.
Akisoma uamuzi wake leo Ijumaa Machi 29, 2019 Jaji huyo ametumia kifungu cha 5 (4) kuwa Nassari alipaswa kupeleka malalamiko yake kwa Katibu wa bunge wala si kama alivyofanya.
Kifungu kingine kilichombana Nassari ni cha kanuni ya 146 (2) kwamba alijifukuzisha mwenyewe kwa kutohudhuria vikao vitatu mfululizo vya Bunge bila taarifa.
Mawakili wa Serikali, Alesia Mbuya, Masunga Kamuhanda na Pius Mboya walipangua hoja za wakili wa utetezi, Fred Kalonga aliyekuwa akipinga kuwa mbunge huyo alifukuzwa bila utaratibu hivyo kuitaka Tume ya Uchaguzi (NEC) isitangaze jimbo kuwa wazi.
Nje ya Mahakama Nassari amesema hakuna dhahabu nzuri isiyopita kwenye moto na kubainisha kuwa alishakoswa risasi iliyompiga mbwa wake, alinusurika ajali ya ndege na kwamba hili la ubunge halimtishi
Chanzo: Mwananchi
Nilicoment kwenye Uzi unaofanana na huu kuwa hapa kuna mchezo unachezawa.... katika wajinga Nassary yumo! Katika mazingira ya kisiasa yaliyopo huwezi kufanya upumbavu kama ule. Ila kwa upande mwingine inaweza kuwa ni well organized trick ya Nassary "kujivua" ubunge.
Kamanda huu ni utawala was sheria
Watoto show!
🎵Waatooto
Wathafi moyonii
Ni nyota dha macho kwa wadhadhi
Thithii ni maua
Tuliio pendwa
Na Mungu mwenyedhiii.. 🎵
Si kwa ajili ya ubunge tena. Watu wake wakiongozwa na washili walishasema dogo hawamuhitaji tena. labda kama kaizimikia kijani kwa moyo mmoja.Huyu Dogo mda c mrefu tutamuona amevaa nguo za rangi ya ukoka
Wewe unaongelea habari za 2017.Kwani bunge si lilimsamehe?
Tuyafuate ya nani mahakama au bunge