Carnivora
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,651
- 5,987
Hivi kweli kaka unaweza kutofika kazini week 1 bila taarifa yoyote. Yaani alishindwa kumuandikia barua Spika wa bunge? Alishindwa kwenda bungeni mara 1 kutoa taarifa.?Kama sio mbinu chafu basi muda utasema..
Sent from my iPhone using Tapatalk
Ni ujinga kujifanya kaonewa. Huyu kauza ubonge wake.
Sent using my Nokia Torch