Duu, Kalonga anawezaje kufanya kosa hilo aise, halafu kwanini hawakumshirikisha Elias Machibiya!Hivi Inakuwaje U-drwaw Ww Application Then Ufanye Attentions Ww Mwenyewe? Hizi Legal Technicalities Mawakili Mda Mwingine Wanafanya Kuharibu Kesi Za Clients.
Tena Hii Errors Ambayo Haiwezi Kuwa Curable Hata Kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani bunge si lilimsamehe?
Tuyafuate ya nani mahakama au bunge
Anachofanya nikuumiza wapiga kura mpaka hamu.ya kupiga kura inaisha mkuuHuyu Dogo mda c mrefu tutamuona amevaa nguo za rangi ya ukoka
Hata nami nashangaa kesi ya nin wakat bunge lilishasamehe au ?? sielewi
Mim nmepiga hesabu ya vile vikao alivyokosa mfululizo ni takriban miez 10 sasa yote hyo unauguza na bado unashindwa kutoa taarifa kwa boss wako? Akamleekwa nafasi sasa mwanae huko MarekaniJamaa ni mpuuzi kama hajanunuliwa Bhasi hajitambui... Mbunge mzima unasema ulikuwa unashinda hosp kumhudumia mkeo?????? Upuuzi wa hivi akawaambie wajinga wenzieee
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo la kuleta watu Bungeni kutafuta pesa za kulipa mahali.View attachment 1056846
Dodoma. Jaji wa Mahakama Kuu Dodoma, Latifa Mansour amekubaliana na uamuzi wa Spika wa Bunge, Job Ndugai kumvua ubunge Joshua Nassari (Arumeru Mashariki).
Jaji Mansour ametumia dakika 44 kusoma maelezo yaliyomweka katika wakati mgumu Nassari.
Machi 14, 2019 Ndugai aliiandikia Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) barua akiieleza kuwa Nassari amepoteza sifa ya kuwa mbunge baada ya kutohudhuria mikutano mitatu mfululizo bila kutoa taarifa.
Spika Ndugai aliitaja mikutano hiyo kuwa ni wa 12 ulioanza Septemba 4 hadi 14; Novemba 6 hadi 16, 2018 na wa Januari 29 hadi 9.
Baada ya uamuzi huo, mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe alisema amemuagiza Nassari kuzungumza na wananchi na wanachama wa jimbo lake kuwaeleza kilichotokea.
Akisoma uamuzi wake leo Ijumaa Machi 29, 2019 Jaji huyo ametumia kifungu cha 5 (4) kuwa Nassari alipaswa kupeleka malalamiko yake kwa Katibu wa bunge wala si kama alivyofanya.
Kifungu kingine kilichombana Nassari ni cha kanuni ya 146 (2) kwamba alijifukuzisha mwenyewe kwa kutohudhuria vikao vitatu mfululizo vya Bunge bila taarifa.
Mawakili wa Serikali, Alesia Mbuya, Masunga Kamuhanda na Pius Mboya walipangua hoja za wakili wa utetezi, Fred Kalonga aliyekuwa akipinga kuwa mbunge huyo alifukuzwa bila utaratibu hivyo kuitaka Tume ya Uchaguzi (NEC) isitangaze jimbo kuwa wazi.
Nje ya Mahakama Nassari amesema hakuna dhahabu nzuri isiyopita kwenye moto na kubainisha kuwa alishakoswa risasi iliyompiga mbwa wake, alinusurika ajali ya ndege na kwamba hili la ubunge halimtishi.
Chanzo:- https://www.mwananchi.co.tz/habari/...ge-Nassari/1597296-5047468-nr4hf3z/index.html
Zilikua propaganda za bavichaMambo hapa bongo hayaeleweki, nilisikia swala lake lilipelekwa Bungeni na Bunge likaafikiana kufuta adhabu aliyopewa na spika ndugai, ukweli ukoje hapa wadau ??
Alikwisha nunulika au atanunulika tu.
Dah!Hii rangi wee acha tu!