Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,606
- 696,704
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajinga wengi sana.Katiba Mpya umekuwa ni wimbo. Je, hiyo Katiba Mpya itamzuia mtu kufanya uhalifu au mwalifu kutokushughulikiwa? Au, kwa agenda ya siri ya wanasiasa, itawaingiza madarakani watimize mambo yao binafsi?
Wewe tobiasi unaathirika vipi na Katiba iliyopo?
Wajinga wengi sana.
Naww kwa akili zako unaelewa nini kumhusu huyo unayemtetea...? Ulikuwa nae wapi hadi uone mmoja kaonewa na mwingine katendewa sawa. Binadam lazima tujifunze kuwa wavumilivu, leo kw mwenzio kesho kwako... wanasiasa tunawatetea sana lakini mwisho wa siku ndo hao hao wanaotufanya tunaendelea kusota mtaani.Kuna wakati unapaswa kushirikisha ubongo hata robo nchi. Uovu wa Sabaya upo bayana sio wa kutafuta na tochi na ushahidi ulikua wazi hata kabla ya kushitakiwa. Sabaya ameonewa kwenye lipi? Na ashukuru jaji kampa miaka 30 badala ya 90 maana kila kosa ni miaka 30.
Mmmh,Naww kwa akili zako unaelewa nini kumhusu huyo unayemtetea...? Ulikuwa nae wapi hadi uone mmoja kaonewa na mwingine katendewa sawa. Binadam lazima tujifunze kuwa wavumilivu, leo kw mwenzio kesho kwako... wanasiasa tunawatetea sana lakini mwisho wa siku ndo hao hao wanaotufanya tunaendelea kusota mtaani.
Mimi nikushauri pambania ugali wako achana na mambo ya siasa. Aliyekuwepo ndo tunaenda nae, akija unayempenda ni majaliwa. Chuki zetu na mihemko ya kisiasa isitufanye tukagawanyika kama Taifa. Daima ni lazima tuwe wamoja na wapenda amani.
RIP JPM
Kazi iendelee.
Tumwombee mama akaze hili nidhani ya kazi serikalini iimarike zaidi.