Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,098
- 92,524
Balaa tupuNa zawadi juu ilikuwanya wanavyotaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Balaa tupuNa zawadi juu ilikuwanya wanavyotaka
Hakika.Hawa jamaa wamezidiwa sana kimkakati na CDM, hawana namna nyingine zaidi ya kutumia hivyo vyombo kama alivyosema Bashiru.Hakuna mahakama hapo hilo ni shina la CCM
Ni wahuni snHakika.Hawa jamaa wamezidiwa sana kimkakati na CDM, hawana namna nyingine zaidi ya kutumia hivyo vyombo kama alivyosema Bashiru.
Gaidi alishakufa pale karibu na salenda alikuwa mwana ccmtusubir hatma ya gaidi ...
Wacha wayafanye hayo wakijiona kuwa wapo juu ya sheria.Na zawadi juu ilikufanya wanavyotaka
Kwa hilo nampongeza sana Bashiru kwa kuusema ukweeeeriiiiHakika.Hawa jamaa wamezidiwa sana kimkakati na CDM, hawana namna nyingine zaidi ya kutumia hivyo vyombo kama alivyosema Bashiru.
Ukichukua sheria mkononi na wewe unachukuliwa sheria mkononi. Tit for Tat.Tuendako, tusije kuruhusu hali ya wananchi kutoiamini mahakama kiasi cha kuanza kujichukulia sheria mkononi, kwa kuamini 'mahakama zinapewa maelekezo'.
sawa we endelea kujipa moyoGaidi alishakufa pale karibu na salenda alikuwa mwana ccm
Hutaki au?sawa we endelea kujipa moyo
Wanaosema mh Mbowe ni gaidi mungu atawahukumu wao kabla hawajahukumuMbowe sio gaidi. Mungu atasimama upande wenye haki. Jaji kagongwa cheo
kaa kwa kutulia tusubiri kwa pamojaHutaki au?
Tuliza mshonoOoh kumbe.
Katiba Mpya umekuwa ni wimbo. Je, hiyo Katiba Mpya itamzuia mtu kufanya uhalifu au mwalifu kutokushughulikiwa? Au, kwa agenda ya siri ya wanasiasa, itawaingiza madarakani watimize mambo yao binafsi?Mbowe kuwa gerezani wewe unanufaika nini.Au na wewe ni mwoga wa Katiba Mpya?
Gaidi likiwa nje ya Gereza linaweza kutulipua, si unajua akili za magaidi zilivyo!Mbowe kuwa gerezani wewe unanufaika nini.Au na wewe ni mwoga wa Katiba Mpya?
Wajinga kama nyie ndiyo mtaji wa watawala na chama chao.Gaidi likiwa nje ya Gereza linaweza kutulipua, si unajua akili za magaidi zilivyo!