Habarindiyohiyo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 263
- 13
Ng'umbi ataka utetezi wa Mnyika usikubaliwe. Jaji Msuya alisema uamuzi wa maombi hayo atautoa Septemba 27 mwaka huu.
Mbali na Mnyika walamikiwa wengine ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Msimamizi wa Uchaguzi wa jimbo la Ubungo.
Miongoni mwa madai katika kesi ya msingi, Ng'humbi anadai Mnyika, wasaidizi na mashabiki wake walifanya vitendo ambavyo ni ukiukwaji wa sheria kwa makusudi kwa madhumuni ya kushinda uchaguzi.
Anadai Mnyika mara kadhaa alitumia barua ya Wakala wa Barabara (Tanroads) ya Machi 30, 2010 iliyotumwa kwa CCM kuwadanganya wakazi wa Kimara kwamba nyumba zao zitabomolewa kama watamchagua Ng'humbi na kwamba Mnyika aliwanunulia pombe na kuwalipa Sh 20,000 wananchi wa Kimara Saranga wampigie kura.
....ndiyo hiyo;
HabariLeo | Ng'humbi akiri hati ya madai ina makosa
Mbali na Mnyika walamikiwa wengine ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Msimamizi wa Uchaguzi wa jimbo la Ubungo.
Miongoni mwa madai katika kesi ya msingi, Ng'humbi anadai Mnyika, wasaidizi na mashabiki wake walifanya vitendo ambavyo ni ukiukwaji wa sheria kwa makusudi kwa madhumuni ya kushinda uchaguzi.
Anadai Mnyika mara kadhaa alitumia barua ya Wakala wa Barabara (Tanroads) ya Machi 30, 2010 iliyotumwa kwa CCM kuwadanganya wakazi wa Kimara kwamba nyumba zao zitabomolewa kama watamchagua Ng'humbi na kwamba Mnyika aliwanunulia pombe na kuwalipa Sh 20,000 wananchi wa Kimara Saranga wampigie kura.
....ndiyo hiyo;
HabariLeo | Ng'humbi akiri hati ya madai ina makosa