Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,061
Mimi nasubiri tu kuona sura mbovuu ya Jiwe sikuya Krismasi ikitamka mbele ya viongozi wa dini wanafiki "Tupendane, tuombee nchi yetu iwe na amani" huku limeshawatupa MBOWE na MATIKO mahabusu na huku likiugulia maumivu baada ya adhma yake ya kumuua Tundu Lissu kushindikana.Maskini Freeman Mbowe na Ester Xmass na New Year wanakula ndani.
#ViongoziWaDiniWanafiki