Mahakama kuamua kama Mbowe ana kesi ya kujibu au hana leo Februari 18, 2022

Binafsi sidhani kama serikali itakua tayari kuendelea 'kuvuliwa nguo' na upande wa utetezi, hii ngoma nadhani serikali inaenda kuimaliza kiutu uzima tu, ili mambo yasiwe mengi

Sent using Jamii Forums mobile app
Toka yule jaji wa kwanza ile kesi ndogo , kila kitu kilikua obvious kwamba jamaa hana kesi lkn serikali iliamua kukaza kichwa, unadhani kuna tofauti yoyote sasa hivi.. hii kesi kama serikali ina plan basi tutaona lkn wameshaamua kuvulia nguo na wanataka kuoga hadi mwisho.

Jamaa atakutwa na kesi ya kujibu na kesi itaendelea.
 
Watasema ana kesi ya kujibu ili waendelee kupiga per diem
Kwa misamaha hii wanayomwombea kwa rais, wamwachie tuu aungane na mnyika ku mute.
Hawa chadema kama hawapo vile amebaki erythrocyte tu kwenye keyboard.
 
Toka yule jaji wa kwanza ile kesi ndogo , kila kitu kilikua obvious kwamba jamaa hana kesi lkn serikali iliamua kukaza kichwa, unadhani kuna tofauti yoyote sasa hivi.. hii kesi kama serikali ina plan basi tutaona lkn wameshaamua kuvulia nguo na wanataka kuoga hadi mwisho.

Jamaa atakutwa na kesi ya kujibu na kesi itaendelea.
Kama ikitokea leo wakiamua kuwa ana kesi ya kujibu basi ni wazi kuwa watakua wamedhamiria kumpiga FAM mvua za kutosha, na kuumaliza kabisa upinzani nchini, 'if any'

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza hizi mahakama sio huru na hilo halina ubishi hivyo ni msimamo wa serikali ndio utakaotumiwa na mahakama kutoa uamuzi.

Serikali ndio hiyo imeahidiwa handouts na wafadhili na hiyo ahadi haiwezi kuja bila serikali kutakiwa kutoa some sacrifices, sasa kwa kuunganisha dots hapo tunaweza tu tukapata jawabu.

Hapa serikali haina jinsi lazima tu wakubali kuja kuhukumiwa na historia kwamba walibumba kesi ili kumfunga Mbowe lakini mpango wao uligonga mwamba, itabaki kuwa ni aibu ambayo lazima watakubali kuishi nayo milele.
 
Back
Top Bottom