Mahakama:kichaka kipya kinachoficha maovu ya serikali na watumishi wake

PISTO LERO

JF-Expert Member
Mar 8, 2011
2,819
1,454
Ni wazi sasa Mahakama imekuwa kichaka kipya cha kuficha uozo na uchafu wa Ccm,ni jambo la kusikitisha sana chombo hiki ambacho kimekuwa kikipigiwa debe kuwa ni chombo safi na kinachotenda haki kwa wote bila kujali itikadi ya upande wowote sasa kimeingia kwenye kashfa na kimejidhihirisha kuwa hakiko kwa maslahi ya wote ,bali kikokwa maslahi ya watu flani,na sasa Mahakama ileile iliyokuwa ikijinasibu kuwa inatenda haki bila kujali itikadi sasa imekuwa ikitumika kana chombo kuku cha kuwanyanyasa watanzania kwa naslahi ya wayu flani.

Mahakama hii kwa kushirikiana na Bunge Pilisi pamoja na Serikali vimekuwa vikizuia haki ya msing ya watanzania kujadili mabo yanayowahusu kwa kisingizio kuwa jambo hilo likomahakamani,tumeshuhudia nchi ikipita katika wakati mgumu na sintofahamu nyingi,lakini Watanzania pamoja na wawakilishi wao wamekuwa wakizuiwa kuyajadili ili kuyapatia ufumbuzi kwa kisingizio kuwa jambo hilo liko Mahakamani kwahiyo halitakiwi kilizungumzia,

Haiingii akilini Watanzania tunakufa alafu Serikali kupitia Bunge linazuia mijadala ya kupata ufumbuzi kwa kisingizio cha kutokutaka bunge kuingilia mhimili mwimgine.lakini chaajabu na cha kushangaza zaidi ni pale upande mmoja tu ndio unaozuiwa kuliongelea maswala yaliyoko Mahakamani.
Wanajamvi hata pale upande wa pili uliposema hauna imani na mahakama sikuwaelewa na mara zote nilifikifi ni mbwembwe za kisiasa lakini sasahivi tunaanza kuelewa wanamaanisha nini na wana haki ya kutokuwa ma imani na Mahakama kama mambo yenyewe ndiyohaya, kwakweli sina la kuwalaum kwa hilo.

Nashindwa kuelewa kwanini Mahakama, na Polisi vinakubali kugeuzwa na Bunge kishaka cha maovu ya Serikali na watumishi wake tena kwenye matukio makubwa yanayo hitaji mijadala mipana,sasabasi kamaserikali ina mahali pa kujificha je sisi wananchi wa kawaida tujifiche wapiii?kama mahakama na polisi vime tuasi sisi wananchi tukapate wapi haki yetu? bado tunapata taabu na maswli haya.
 
It is obvious kuwa JK hawezi kumchagua chief justice ambaye hana maslahi naye. Huwezi kupata fadhila ya ulaji mkubwa kama huo usitoe fadhila. Ndio maana katika katiba mpya, Vyeo vikubwa kama hivyo kuwe na tume/utaratibu mwingine wa kuwapata ambao hauhusishi mamlaka fulani yanayohodhiwa na mtu mmoja kuwachagua. Ukichanganya na hawa majaji wa "UPE" or universal Juducial judges (UJUJU) tabu tupu. Mungu nilinde wasije wakalipiza!!!!

Tundu Lissu kazi unayyo, Tuombe Mungu mwema akunusuru na kesi ys aina yoyote. Nakupenda sana kwa umahili wako katika kutetea wanyonge!
 
Ni wazi sasa Mahakama imekuwa kichaka kipya cha kuficha uozo na uchafu wa Ccm,ni jambo la kusikitisha sana chombo hiki ambacho kimekuwa kikipigiwa debe kuwa ni chombo safi na kinachotenda haki kwa wote bila kujali itikadi ya upande wowote sasa kimeingia kwenye kashfa na kimejidhihirisha kuwa hakiko kwa maslahi ya wote ,bali kikokwa maslahi ya watu flani,na sasa Mahakama ileile iliyokuwa ikijinasibu kuwa inatenda haki bila kujali itikadi sasa imekuwa ikitumika kana chombo kuku cha kuwanyanyasa watanzania kwa naslahi ya wayu flani.

Mahakama hii kwa kushirikiana na Bunge Pilisi pamoja na Serikali vimekuwa vikizuia haki ya msing ya watanzania kujadili mabo yanayowahusu kwa kisingizio kuwa jambo hilo likomahakamani,tumeshuhudia nchi ikipita katika wakati mgumu na sintofahamu nyingi,lakini Watanzania pamoja na wawakilishi wao wamekuwa wakizuiwa kuyajadili ili kuyapatia ufumbuzi kwa kisingizio kuwa jambo hilo liko Mahakamani kwahiyo halitakiwi kilizungumzia,

Haiingii akilini Watanzania tunakufa alafu Serikali kupitia Bunge linazuia mijadala ya kupata ufumbuzi kwa kisingizio cha kutokutaka bunge kuingilia mhimili mwimgine.lakini chaajabu na cha kushangaza zaidi ni pale upande mmoja tu ndio unaozuiwa kuliongelea maswala yaliyoko Mahakamani.
Wanajamvi hata pale upande wa pili uliposema hauna imani na mahakama sikuwaelewa na mara zote nilifikifi ni mbwembwe za kisiasa lakini sasahivi tunaanza kuelewa wanamaanisha nini na wana haki ya kutokuwa ma imani na Mahakama kama mambo yenyewe ndiyohaya, kwakweli sina la kuwalaum kwa hilo.

Nashindwa kuelewa kwanini Mahakama, na Polisi vinakubali kugeuzwa na Bunge kishaka cha maovu ya Serikali na watumishi wake tena kwenye matukio makubwa yanayo hitaji mijadala mipana,sasabasi kamaserikali ina mahali pa kujificha je sisi wananchi wa kawaida tujifiche wapiii?kama mahakama na polisi vime tuasi sisi wananchi tukapate wapi haki yetu? bado tunapata taabu na maswli haya.

Chama dhaifu CCM = Serikali dhaifu = mihimili dhaifu = (Executive branch dhaifu + Bunge dhaifu + mahakama dhaifu)
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom