dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Kwa sakata la Mbowe nakumbuka ile kauli anawaambia majaji kwanini serikali inashindwa kesi na jaji kateuliwa na rais yaani kauli haina tofauti na wakureugenzi nakuteua nakupa gari na mafuta halafu unamtangaza mpinzani mshindi.
Sishangai jaji kugomea kujiondoa kusikiliza kesi ni wazi ana maslai ya tumbo na ikulu.
Na anavyosema nitawafunga means inayofunga watu ni ikulu sio mahakama
Kama bunge lishatekwa na mahakama inaelekea huko kama muhimili nini maana yake?
Ni wazi huu muhimili unaelekea kutawala kwa mkono wa chuma
Sishangai jaji kugomea kujiondoa kusikiliza kesi ni wazi ana maslai ya tumbo na ikulu.
Na anavyosema nitawafunga means inayofunga watu ni ikulu sio mahakama
Kama bunge lishatekwa na mahakama inaelekea huko kama muhimili nini maana yake?
Ni wazi huu muhimili unaelekea kutawala kwa mkono wa chuma