Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,177
- 7,699
Ila kwa bwashee 🤣🤣 umetia fora!!!Hata mimi naamini Mbowe siyo gaidi.
Ila tuiache mahakama itafsiri kwa haki.
Ila kwa bwashee 🤣🤣 umetia fora!!!Hata mimi naamini Mbowe siyo gaidi.
Ila tuiache mahakama itafsiri kwa haki.
Ungekuwa na akili timamu ungemtaja BI TOZO na Sirro kwani pia waliwaji kutoa matamshi kuhusiana na kesi ya MboweMahakama ndio chombo kilichopewa jukumu la kutafsiri sheria kwa mujibu wa katiba.
Hivi karibuni CHADEMA wamekuwa na tabia ya kuongelea maswala ya kesi za wanachama wao wakati kesi zikiwa zinaendelea mahakamani hili siyo jambo jema kwa kweli.
Mfano Mh Mbowe alipofikishwa mahakamani kwa kesi ya ugaidi Tundu Lisu aliibuka na kusema Freeman Mbowe siyo gaidi na kwamba hiyo kesi amebambikiwa.
Kwanini tusisubiri mahakama itende haki badala ya kuiingilia na huyu Antipas ni wakili kabisa wa mahakama?
Mungu Ibariki Tanzania, tumetoka mbali tunaenda mbali!
Wewe wasema!Ungekuwa na akili timamu ungemtaja BI TOZO na Sirro kwani pia waliwaji kutoa matamshi kuhusiana na kesi ya Mbowe
Hata mimi naamini Mbowe siyo gaidi.
Ila tuiache mahakama itafsiri kwa haki.
Midomo inawaponza sana akina Lissu na CHADEMA kwa kuropokaMahakama ndio chombo kilichopewa jukumu la kutafsiri sheria kwa mujibu wa katiba.
Hivi karibuni CHADEMA wamekuwa na tabia ya kuongelea maswala ya kesi za wanachama wao wakati kesi zikiwa zinaendelea mahakamani hili siyo jambo jema kwa kweli.
Mfano Mh Mbowe alipofikishwa mahakamani kwa kesi ya ugaidi Tundu Lisu aliibuka na kusema Freeman Mbowe siyo gaidi na kwamba hiyo kesi amebambikiwa.
Kwanini tusisubiri mahakama itende haki badala ya kuiingilia na huyu Antipas ni wakili kabisa wa mahakama?
Mungu Ibariki Tanzania, tumetoka mbali tunaenda mbali!
Mungu awalaani wabambikiaji kesi w9ote na awaadhibu kama alivyomuadhibu mwendazake.Mahakama ndio chombo kilichopewa jukumu la kutafsiri sheria kwa mujibu wa katiba.
Hivi karibuni CHADEMA wamekuwa na tabia ya kuongelea maswala ya kesi za wanachama wao wakati kesi zikiwa zinaendelea mahakamani hili siyo jambo jema kwa kweli.
Mfano Mh Mbowe alipofikishwa mahakamani kwa kesi ya ugaidi Tundu Lisu aliibuka na kusema Freeman Mbowe siyo gaidi na kwamba hiyo kesi amebambikiwa.
Kwanini tusisubiri mahakama itende haki badala ya kuiingilia na huyu Antipas ni wakili kabisa wa mahakama?
Mungu Ibariki Tanzania, tumetoka mbali tunaenda mbali!
CCM wanaposema Mbowe ni gaidi nani kawapa majukumu haya ya KISHETANI?Mahakama ndio chombo kilichopewa jukumu la kutafsiri sheria kwa mujibu wa katiba.
Hivi karibuni CHADEMA wamekuwa na tabia ya kuongelea maswala ya kesi za wanachama wao wakati kesi zikiwa zinaendelea mahakamani hili siyo jambo jema kwa kweli.
Mfano Mh Mbowe alipofikishwa mahakamani kwa kesi ya ugaidi Tundu Lisu aliibuka na kusema Freeman Mbowe siyo gaidi na kwamba hiyo kesi amebambikiwa.
Kwanini tusisubiri mahakama itende haki badala ya kuiingilia na huyu Antipas ni wakili kabisa wa mahakama?
Mungu Ibariki Tanzania, tumetoka mbali tunaenda mbali!
CCM inafikiri inaweza tatua matatizo ya maji, umeme, barabara, umaskini nk kwa kutumia mamilioni ya maskini kuwanunua mahanadi wamsingizie Mbowe ugaidi.Hata mimi naamini Mbowe siyo gaidi.
Ila tuiache mahakama itafsiri kwa haki.