Mahakama haiwezi kunyima mtu kutembelea eneo katika tanzania.

Wikiliki

JF-Expert Member
Dec 20, 2010
528
139
Jana mahakama ya wilaya ya tarime ilitoa mpya baada ya kuwanyima kina Tindu lisu haki yao ya kikatiba ya kutotembelea baadhi ya maeneo ya Tanzania(nyamongo na barick) haya maamuzi ni batili maana yanapingana na katiba inayotoa uhuru wa kila mtanzania kutembea na kuishi sehemu yeyote ya Tz bila kubugudhiwa.
 
alishauriwa na m/kiti wa ccm wilaya kutoa uamuzi huo maana aliyemshauri an aliyeshauriwa wote misingi saba hata hawajui kifungu chochote cha katiba
 
Wataalamu wa sheria tunaomba ushauri je ni haki mtanzania kukatazwa kutembelea sehemu fulani katika nchi yetu ?
 
Haya ni maamuzi ya CCM maana hata taarifa ya awali Kamishina wa Polisi Chagonja aliruhusu mazishi ya waliouawa Nyamongo yaendeshwe kwenye uwanja wa wazi baadae IJP akatoa amri kwa Mbowe wasitishe alipo ulizwa sababu alisema amri imetoka juu
 
Back
Top Bottom