Mahafali ya Chuo kikuu Dodoma; Rais Magufuli atunukiwa shahada ya Heshima ya Udaktari wa Falsafa

Graduates wake ni wa mashaka kidogo! Nimewafanyia usaili wengu tu! Sisemi kwa kuwabeza. Wajiongeze. Ukweli ni kuwa wale wa E& D.. zile D mbili.... Pricipal ndio wanakwenda UDOM hakuna wa A &B anakwenda pale! John nadanganya?


Acha kukariri amesoma mwenye AAA+ na akawa best student na sasa hivi bado yuko vema
 
Mafanikio yapi ?

Huyu si ndiyo aliwaita Vijana wa UDOM vilaza,
Leo chuo cha Vilaza kinamtunuku Shahada ya heshima.
 
Anapewa sifa za bure mpaka mwenyewe anaona aibu, sasa lazima anaona haya kwa aliyo mfanyia Ben Sanane, kama na ile alipewa kwa HESHIMA angesema tu kuliko kumpoteza mtoto wa watu.
 
Aliepewa amepokea kwa aibu, vya bure havifai mapopo mnampongeza, acheni kufurahia hongo.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli atunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Falsafa katika Sayansi ya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM). Shahada hiyo imetolewa na Rais Mstaafu Benjamini Mkapa katika mahafali ya 10 ya chuo hicho.

====

Rais Magufuli awasili UDOM

Dodoma. Rais wa Tanzania, John Magufuli amewasili kwenye ukumbi wa Chimwaga uliopo Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom) kutunukiwa shahada ya heshima ya udaktari wa falsafa.

Kiongozi mkuu huyo wa nchi anatunukiwa shahada hiyo leo Alhamisi Novemba 21, 2019 katika mahafali ya 10 ya chuo hicho. Mkuu wa chuo hicho Rais mstaafu, Benjamin Mkapa naye amehudhuria.

Wengine waliohudhuria mahafali hayo ni Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa; Spika wa Bunge, Job Ndugai mawaziri na wabunge.

Makamu Mkuu wa chuo hicho, Profesa, Faustine Bee amesema shahada hiyo inatolewa kwa Rais Magufuli kutokana na uongozi wake uliotukuka hususan katika ujenzi wa uchumi wa viwanda kwa kuwekeza katika elimu, miundombinu, mawasiliano, nishati, utalii na kuimarisha utawala bora na mapambano dhidi ya rushwa.

Amesema shahada hiyo imewahi kutolewa kwa Rais mstaafu Jakaya Kikwete mwaka 2010. Amesema waziri mkuu wa zamani, Rashid Kawawa (marehemu) naye amewahi kupewa shahada hiyo.

Wahitimu 6,488 watatunukiwa astashahada, shahada, stashahada ya juu, shahada ya umahiri na shahada ya uzamivu.

UDOM yamuomba Rais Magufuli bilioni 731

Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom) kimemuomba Rais Magufuli Sh735 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa ndaki (College) mbili na ukarabati wa ukumbi wa Chimwaga.

Makamu Mkuu wa chuo hicho, Profesa Faustine Bee amesema hayo katika mahafali ya 10 ya chuo hicho na kuongeza kuwa ujenzi wa ndaki hizo unahitaji Sh731 bilioni akibainisha kuwa kukamilika kwake kutafanikisha lengo la kudahili wanafunzi 40,000 kwa mwaka. “Tunaomba Serikali itusaidie ujenzi wa ndaki na ukarabati wa ukumbi huu," amesema.

Rais Magufuli atunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Falsafa

Akimtunuku Shahada hiyo, Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma, Mh. Benjamin William Mkapa amesema: ‘’Kwa mamlaka niliyokabidhiwa, namtunukia Dkt John Joseph Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Digrii ya Doctor of Science (Honoris Causa) ya Chuo Kukuu cha Dodoma’’

Hotuba ya Rais Magufuli baada ya kutunukiwa

‘’Wakati mwingine inakuwa ngumu kutoa hotuba wakati wahitimu wenzako wakiwa hawajatunukiwa digrii zao huku wakiwa wamejiandaa na familia zao kwa ajili ya kusherehekea, na hasa ukizingatia digrii zao wamezisotea tofauti na yangu ya dezo’’

‘’Nilipopata barua kutoka kwa Mkuu wa Chuo, Mzee Mkapa, ya kuniarifu kuwa Chuo Kikuu cha Dodoma kimeamua kunipa Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Falsafa, nilijuliza maswali mengi sana. Na maswali haya ukweli sikupata majibu yake.’’

‘’Swali la kwanza lilikuwa: Kwanini mimi, lakini kwanini sasa? Kwasababu mimi nimekuwepo tu siku zote. Kwanini nipate Shahada ya bila kusota.’’

“Sijawahi sana kupewa vitu vya burebure ama vitu vya dezo kwa kiswahili cha mjini nakumbuka zamani hata nikenda kuomba hela ya kalamu Baba alikuwa hanipi kirahisi alinipa kazi ya kufanya kama vile kuchunga ng’ombe ili akikupa hela na wewe uwe umeilipia”

“Wakati mwingine ujiulize unapopewa kitu cha bure kwasababu mtu hakupi tu kitu chake bure pengine anakupa bure ili na yeye akuombe kitu fulani,”

“Lakini baadae nikasema nikubali kutunikiwa kwa heshima ya Rais Mstaafu Mkapa (Mkuu wa Chuo Kikuu UDOM) na sababu ya pili niliona kuwa Shahada hii ya Heshima niliyopewa ni heshima sio tu Kwangu bali kwa wote waliowezesha mafanikio tuliyofikia kwa miaka hii minne”

‘’Ahsante wasaidizi wangu wote kwa kuniwezesha kutunukiwa hii Shahada’’

‘’Tumeshatumia bilioni 985 kwa ajili ya elimu bure’’

‘’Tumeongeza bajeti ya mikopo ya elimu ya juu. Mpaka sasa kwenye bajeti ya mwaka huu tumefikia bilioni 450’’

"Nitoe ombi kwa Vyuo Vikuu hapa Tanzania vianze kuwafundisha wanafunzi wetu kuhusu kujitegemea, na si kuwafundisha kuwa watumishi wa umma"

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli atunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Falsafa katika Sayansi ya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM). Shahada hiyo imetolewa na Rais Mstaafu Benjamini Mkapa katika mahafali ya 10 ya chuo hicho.

====

Rais Magufuli awasili UDOM

Dodoma. Rais wa Tanzania, John Magufuli amewasili kwenye ukumbi wa Chimwaga uliopo Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom) kutunukiwa shahada ya heshima ya udaktari wa falsafa.

Kiongozi mkuu huyo wa nchi anatunukiwa shahada hiyo leo Alhamisi Novemba 21, 2019 katika mahafali ya 10 ya chuo hicho. Mkuu wa chuo hicho Rais mstaafu, Benjamin Mkapa naye amehudhuria.

Wengine waliohudhuria mahafali hayo ni Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa; Spika wa Bunge, Job Ndugai mawaziri na wabunge.

Makamu Mkuu wa chuo hicho, Profesa, Faustine Bee amesema shahada hiyo inatolewa kwa Rais Magufuli kutokana na uongozi wake uliotukuka hususan katika ujenzi wa uchumi wa viwanda kwa kuwekeza katika elimu, miundombinu, mawasiliano, nishati, utalii na kuimarisha utawala bora na mapambano dhidi ya rushwa.

Amesema shahada hiyo imewahi kutolewa kwa Rais mstaafu Jakaya Kikwete mwaka 2010. Amesema waziri mkuu wa zamani, Rashid Kawawa (marehemu) naye amewahi kupewa shahada hiyo.

Wahitimu 6,488 watatunukiwa astashahada, shahada, stashahada ya juu, shahada ya umahiri na shahada ya uzamivu.

UDOM yamuomba Rais Magufuli bilioni 731

Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom) kimemuomba Rais Magufuli Sh735 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa ndaki (College) mbili na ukarabati wa ukumbi wa Chimwaga.

Makamu Mkuu wa chuo hicho, Profesa Faustine Bee amesema hayo katika mahafali ya 10 ya chuo hicho na kuongeza kuwa ujenzi wa ndaki hizo unahitaji Sh731 bilioni akibainisha kuwa kukamilika kwake kutafanikisha lengo la kudahili wanafunzi 40,000 kwa mwaka. “Tunaomba Serikali itusaidie ujenzi wa ndaki na ukarabati wa ukumbi huu," amesema.

Rais Magufuli atunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Falsafa

Akimtunuku Shahada hiyo, Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma, Mh. Benjamin William Mkapa amesema: ‘’Kwa mamlaka niliyokabidhiwa, namtunukia Dkt John Joseph Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Digrii ya Doctor of Science (Honoris Causa) ya Chuo Kukuu cha Dodoma’’

Hotuba ya Rais Magufuli baada ya kutunukiwa

‘’Wakati mwingine inakuwa ngumu kutoa hotuba wakati wahitimu wenzako wakiwa hawajatunukiwa digrii zao huku wakiwa wamejiandaa na familia zao kwa ajili ya kusherehekea, na hasa ukizingatia digrii zao wamezisotea tofauti na yangu ya dezo’’

‘’Nilipopata barua kutoka kwa Mkuu wa Chuo, Mzee Mkapa, ya kuniarifu kuwa Chuo Kikuu cha Dodoma kimeamua kunipa Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Falsafa, nilijuliza maswali mengi sana. Na maswali haya ukweli sikupata majibu yake.’’

‘’Swali la kwanza lilikuwa: Kwanini mimi, lakini kwanini sasa? Kwasababu mimi nimekuwepo tu siku zote. Kwanini nipate Shahada ya bila kusota.’’

“Sijawahi sana kupewa vitu vya burebure ama vitu vya dezo kwa kiswahili cha mjini nakumbuka zamani hata nikenda kuomba hela ya kalamu Baba alikuwa hanipi kirahisi alinipa kazi ya kufanya kama vile kuchunga ng’ombe ili akikupa hela na wewe uwe umeilipia”

“Wakati mwingine ujiulize unapopewa kitu cha bure kwasababu mtu hakupi tu kitu chake bure pengine anakupa bure ili na yeye akuombe kitu fulani,”

“Lakini baadae nikasema nikubali kutunikiwa kwa heshima ya Rais Mstaafu Mkapa (Mkuu wa Chuo Kikuu UDOM) na sababu ya pili niliona kuwa Shahada hii ya Heshima niliyopewa ni heshima sio tu Kwangu bali kwa wote waliowezesha mafanikio tuliyofikia kwa miaka hii minne”

‘’Ahsante wasaidizi wangu wote kwa kuniwezesha kutunukiwa hii Shahada’’

‘’Tumeshatumia bilioni 985 kwa ajili ya elimu bure’’

‘’Tumeongeza bajeti ya mikopo ya elimu ya juu. Mpaka sasa kwenye bajeti ya mwaka huu tumefikia bilioni 450’’

"Nitoe ombi kwa Vyuo Vikuu hapa Tanzania vianze kuwafundisha wanafunzi wetu kuhusu kujitegemea, na si kuwafundisha kuwa watumishi wa umma"

Congratulation Mhe. rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania
 
Udom medicine mwaka jana wa masomo mwenye 1.8 CBC walokosa nafasi!
Fanya tafiti yako vyema mkuu
Nkamia ni empty headed! PhD ya kijinga. ndiyo maana hivi vyuo vinakosa heshima. John, mimi ni academician, nimesoma UDSM 1981, kikiwa bad chuo maarufu. Hivyo siyo nabeza watu, najua ninachokiongea!
 
2019 Imeisha

-Soko la Korosho limeharibiwa

-Ajira Sekta rasmi na sekta binafsi zimeshuka

-Hali ngumu ya Maisha Maradufu

-Uchaguzi Serikali za Mitaa Umeharibiwa

-Kuna Hatari kutokea Janga la Njaa Kanda ya Kati

-Katiba Inavunjwa na kubakwa Mchana wa Jua Kali

Hiyo ndiyo 2019
 
CCM Inavofanya Maisha haya kuwa Magumu Kuna kipindi mtu unakosa hela mpaka unajihisi labda Ulisomea BACHELOR OF POVERTY AND APPLIED SUFFERING.

Basi haya maisha acha tu na Ukijinyonga Police wanakuja kushuhudia na ku-confim..
Kulindika vyeti ni kujiletea umasikini
 
Udom medicine mwaka jana wa masomo mwenye 1.8 CBC walokosa nafasi!
Fanya tafiti yako vyema mkuu
It might be, sikatai. Mwaka jana mitihani likuwa sub standard! A zilikuwa nyingi sana kwenye PCB. Kwa mara ya kwanza, PBC ilikuwa rahisi kuzidi PCM!
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom