Mahafali ya CHASO Dodoma kufanyika tarehe 23 July 2016

MahedeMkorofi

Member
Jul 12, 2016
74
123
Kwa taarifa nilizopata kutoka kwa viongozi wa CHASO na BAVICHA Dodoma ni kwamba yale mahafali ya wahitimu wa vyuo vikuu vya Dodoma ambayo yalishindwa kufanyika baada ya kuzuiliwa na polisi, sasa yatafanyika tarehe 23 july.

Mahafali hayo yanafanyika baada ya Polisi kutoa ufafanuzi ya kwamba hawajazuia matukio ya ndani ya kisiasa.

Tulipotaka ufafanuzi juu ya kwanini waliamua kufanya mahafali hayo siku ambayo CCM watakuwa wanafanya mkutano mkuu wao, walidai ya kwamba ni siku ambayo wanachuo wote watakuwa huru baada ya mitihani yao, pia hawaoni tatizo sababu mahafali yao yanafanyika katika ukumbi tofauti na ule wa CCM. Pia walidai ya kwamba tayari wameshapata kibali cha kufanya tukio hilo na wamehakikishiwa ulinzi wa kutosha, hivyo wanawaomba watu wanaopenda kuhudhuria tukio hilo kuwa na amani.

Mgeni rasmi siku hiyo anatarajiwa kuwa mjumbe wa kamati kuu na aliyekuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya UKAWA, Mheshimiwa Edward Ngoyai Lowasa.
 
Kwa taarifa nilizopata kutoka kwa viongozi wa Chaso na Bavicha Dodoma ni kwamba yale mahafali ya wahitimu wa vyuo vikuu vya Dodoma ambayo yalishindwa kufanyika baada ya kuzuiliwa na polisi, sasa yatafanyika tarehe 23 july.

Mahafali hayo yanafanyika baada ya Polisi kutoa ufafanuzi ya kwamba hawajazuia matukio ya ndani ya kisiasa.

Tulipotaka ufafanuzi juu ya kwanini waliamua kufanya mahafali hayo siku ambayo CCM watakuwa wanafanya mkutano mkuu wao, walidai ya kwamba ni siku ambayo wanachuo wote watakuwa huru baada ya mitihani yao, pia hawaoni tatizo sababu mahafali yao yanafanyika katika ukumbi tofauti na ule wa CCM. Pia walidai ya kwamba tayari wameshapata kibali cha kufanya tukio hilo na wamehakikishiwa ulinzi wa kutosha, hivyo wanawaomba watu wanaopenda kuhudhuria tukio hilo kuwa na amani.

Mgeni rasmi siku hiyo anatarajiwa kuwa mjumbe wa kamati kuu na aliyekuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya Ukawa, mheshimiwa Edward Ngoyai Lowasa.
Hawa CHASO wana matatizo
 
Kwa taarifa nilizopata kutoka kwa viongozi wa Chaso na Bavicha Dodoma ni kwamba yale mahafali ya wahitimu wa vyuo vikuu vya Dodoma ambayo yalishindwa kufanyika baada ya kuzuiliwa na polisi, sasa yatafanyika tarehe 23 july.

Mahafali hayo yanafanyika baada ya Polisi kutoa ufafanuzi ya kwamba hawajazuia matukio ya ndani ya kisiasa.

Tulipotaka ufafanuzi juu ya kwanini waliamua kufanya mahafali hayo siku ambayo CCM watakuwa wanafanya mkutano mkuu wao, walidai ya kwamba ni siku ambayo wanachuo wote watakuwa huru baada ya mitihani yao, pia hawaoni tatizo sababu mahafali yao yanafanyika katika ukumbi tofauti na ule wa CCM. Pia walidai ya kwamba tayari wameshapata kibali cha kufanya tukio hilo na wamehakikishiwa ulinzi wa kutosha, hivyo wanawaomba watu wanaopenda kuhudhuria tukio hilo kuwa na amani.

Mgeni rasmi siku hiyo anatarajiwa kuwa mjumbe wa kamati kuu na aliyekuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya Ukawa, mheshimiwa Edward Ngoyai Lowasa.


Yetu nimacho na masikio...
 
Kwa taarifa nilizopata kutoka kwa viongozi wa Chaso na Bavicha Dodoma ni kwamba yale mahafali ya wahitimu wa vyuo vikuu vya Dodoma ambayo yalishindwa kufanyika baada ya kuzuiliwa na polisi, sasa yatafanyika tarehe 23 july.

Mahafali hayo yanafanyika baada ya Polisi kutoa ufafanuzi ya kwamba hawajazuia matukio ya ndani ya kisiasa.

Tulipotaka ufafanuzi juu ya kwanini waliamua kufanya mahafali hayo siku ambayo CCM watakuwa wanafanya mkutano mkuu wao, walidai ya kwamba ni siku ambayo wanachuo wote watakuwa huru baada ya mitihani yao, pia hawaoni tatizo sababu mahafali yao yanafanyika katika ukumbi tofauti na ule wa CCM. Pia walidai ya kwamba tayari wameshapata kibali cha kufanya tukio hilo na wamehakikishiwa ulinzi wa kutosha, hivyo wanawaomba watu wanaopenda kuhudhuria tukio hilo kuwa na amani.

Mgeni rasmi siku hiyo anatarajiwa kuwa mjumbe wa kamati kuu na aliyekuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya Ukawa, mheshimiwa Edward Ngoyai Lowasa.
Sasa kumekucha..... Jogoo amewika Dodoma.....
 
ili tu mjifananishe na CCM punguzeni kufanya mambo kwa mihemko mtachukua nchi! mkutano huu hadi upite mtapata vidonda vya tumbo aisee
 
Niwakati wa huyo Jizi lenu
Kupewa kirungu nayeye

Utaacha watu wakufikirie wewe ndio huyu
ImageUploadedByJamiiForums1468392294.620409.jpg

Maana lugha zako hazieleweki na ni gongana kama vile shemeji wa Msa kakuchanganya.
 
Kwa nini Sumaye huyo huyo asiendelee. By the way kwa nini makapi ya CCM ndio mastaa Chadema?
 
WASEMAJI WA CHAMA WAPO KATIKA NGAZI TOFAUTI KUANZIA TAIFA MPAKA MSINGI................so usikariri wala usipanic

Sasa hivi baada ya BAVICHA kudhibitiwa wasizuie mkutano Wa CCM dodoma ku-STEAM out frustration wanakuja humu Jamiiforums na taarifa nyingi za kuzua na kutunga zisizotoka official source.Nimethibitisha kuwa hii taarifa ya mleta maada ni ya uongo ikiwa na ile ingine ya kusema BAVICHA watazunguka nchi nzima kufanya mkutano na ile ya kusema wanafanya mkutano wa dharura Dodoma.

Taarifa za uongo kama hizi zinashusha hadhi ya Jamiiforums.Ndio maana nasema vizuri source za taarifa zote za Chama ZIWE official sio mtu tu aliyekuwa frustrated anajipostia tu humu taarifa ya kichama wakati ni frustration zake tu zimemjaa zinamsumbua akidhani akiziandika labda zitaleta kitu fulani hewa alichokitarajia.

Niwaombe BAVICHA ambao mkofrustrated kwa mikakati yenu koko kutotimia msilitumie jukwaa la Jamii forums kuendeshea uzushi unaohusu CHADEMA si vizuri.Mnachafua CHADEMA na mnaharibu mfumo wa chama wa utoaji habari muhimu za kiofisi
 
Moderators CHADEMA kina wasemaji wake ambao ni official.Tunaomba anza kuzifuta post zote za CHADEMA ambazo zinaongelea vitu vinavyoonekana kama official ambavyo havitoki official source tafadhali.Itendee haki Jamii forums credibilty yake iendelee.Hapa watu wa CHADEMA kila mtu amekuwa anatoa taarifa zake akiota tu anaandika.

Itendee haki CHADEMA na itendee haki Jamii forums.Taarifa zote za vyama za aina yoyote hakikisha muhusika anaweka credible source

Ule uzushi wote ambao huwa unauweka hapa kuhusu ccm kwani wewe ni Ole Sendeka? Acha watu wakabanane hapohapo, hiyo ndio aina ya siasa za waafrika wote, fitina, hila na husda. Kwa hiyo kaa kimya kwani vyama vingine vikifanya yao sheria zinapindwa lakini ikifanya ccm mnataka watu wote wakae kimya. Ngoja muonyeshwe hila sio jambo zuri ili muwatendee vyama vingine haki ya kukusanyika. Na tutahakikisha vyombo vya habari vya kimataifa vinakuwepo ili kuonyesha dunia tabia mnayofanyia vyama vingine.
 
Ule uzushi wote ambao huwa unauweka hapa kuhusu ccm kwani wewe ni Ole Sendeka?

Sijawahi toa taarifa hata moja ya CCM kama msemaji.Na siwezi kukiandikia uzushi CCM kama mnavyokiandikia uzushi chama chenu cha CHADEMA.CCM tunajua kuna msemaji wa CCM.
CHADEMA kila mtu anazusha na kujifanya mtoa taarifa za chama.Credibility ya CHADEMA mjue mnaiua kabisa.sababu hivyo vitu mnavyotunga visipofanyika CHADEMA kinaonekana chama cha waongo wakubwa wakati kumbe aliyeanzisha kutoa hiyo taarifa si kiongozi wa CHADEMA ni kibaka fulani mnywa viroba aliyejaa frustration zake tu
 
Back
Top Bottom