Mahafali UDSM: Hawa ndiyo Wanafunzi wa Kike waliopata ufaulu Mzuri

Leo katika Mahafali ya UDSM, Hawa Mabinti ndio Wamekuwa Wanafunzi Bora Kupita wanafunzi Takribani Elfu 4 na wote wamepata GPA ya 4.7.

Wa Kulia anaitwa Bi Irene Cristopher Msengi aliyefuzu Digrii ya Awali ya Biashara katika Uhasibu,

Wa kushoto anaitwa Bi Edina Davis Meela aliyefuzu Digrii ya Awali ya Sayansi Katika Uhandisi Kemikali na Usindikaji.

Naona watani Chagga vs Pare

Hongereni sana

View attachment 1976838
View attachment 1976857
Hongera sana kwao, Sisi La pili B tunalakujifunza apo,
 
Wanawake wapo njema kitambo tu, provided wanapata mazingira mazuri!!

Hata sisi class kwetu wakati tupo chuo, ingawaje wanaume ndio walikuwa wanakaa juu lakini by average wanawake walikuwa wanafanya vizuri kuliko wanaume!

Akina chige ilikuwa tukipata boom tu, hatuonekani chuo wala hostel, hadi upigiwe simu kwamba kesho kuna paper! Sasa unaanzaje kushindana na mtoto wa kike ambae ame-settle!!

Huu ujinga ujinga sitasahau mwaka wa pili ulisababisha karibu term mzima lunch yangu iwe chai na chapati lakini ndio mwaka ambao nilifaulu zaidi kwa sababu nilikuwa nabaki chuo!!
Baharia umetisha sana
 
Leo katika Mahafali ya UDSM, Hawa Mabinti ndio Wamekuwa Wanafunzi Bora Kupita wanafunzi Takribani Elfu 4 na wote wamepata GPA ya 4.7.

Wa Kulia anaitwa Bi Irene Cristopher Msengi aliyefuzu Digrii ya Awali ya Biashara katika Uhasibu,

Wa kushoto anaitwa Bi Edina Davis Meela aliyefuzu Digrii ya Awali ya Sayansi Katika Uhandisi Kemikali na Usindikaji.

Naona watani Chagga vs Pare

Hongereni sana

View attachment 1976838
View attachment 1976857
Wanakwenda kuwa waajiriwa wazuri
 
Back
Top Bottom