Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,139
- 6,048
Mbona kama wana wasiwasi wa kupiga picha, walikuwa wanaogopa nini?
Tofautisha Msangi na Msengi, Meela na Meena/Menna
Meela ni chaga og,ni ukoo mkubwa jirani na kiraracha...huyo mhehe meela itakua wa malawiMsengi ni Nyiramba, Meela ni Hehe
Yeah hako ka with honour huwa kananifariji kidogo😂2.4 with honour
Hongera sana kwao, Sisi La pili B tunalakujifunza apo,Leo katika Mahafali ya UDSM, Hawa Mabinti ndio Wamekuwa Wanafunzi Bora Kupita wanafunzi Takribani Elfu 4 na wote wamepata GPA ya 4.7.
Wa Kulia anaitwa Bi Irene Cristopher Msengi aliyefuzu Digrii ya Awali ya Biashara katika Uhasibu,
Wa kushoto anaitwa Bi Edina Davis Meela aliyefuzu Digrii ya Awali ya Sayansi Katika Uhandisi Kemikali na Usindikaji.
Naona watani Chagga vs Pare
Hongereni sana
View attachment 1976838
View attachment 1976857
2.3Hongera zao sana 4.7 si mchezo kabisa tunaita Beauty with brain, imebidi nirudi kuchungulia GPA yangu aah acha nitulie tu na haka kagentleman kangu
Unahis unaweza oa huyo demu kwa sasa.hahahaha..hata mi ningekua huyo dem nisingekubalHawa ndo wakuoa sasa...sio makima yanayojua kudanga tu na kupiga vizinga...toto zina akili hizo nadhani hata papuchi zako hazijatembea kilomita nyingi
Kweli Hao Ndio wa kuwaoa ila kwa mm npo kushoto Sana nawapendaga wale wa uswahilini dah wanavyojiachiaga daah naskiaga raha kweli kweli Yan dahhHawa ndo wakuoa sasa...sio makima yanayojua kudanga tu na kupiga vizinga...toto zina akili hizo nadhani hata papuchi zako hazijatembea kilomita nyingi😁😁😁
Tunawapongeza, ila Kuna upendeleo, wanatoa pesa, wengine wanatumia papuchi, nazani tuliopita mavyuoni au walioko wanajua kila kitu.Ni wa kuhurumia aisee kwa karne hii ambayo hata msomi anaonekana zoba, sidhani kama ni jambo la kupewa kipaumbele saaana na kuonekana big deal
Vipi mnataka kutambika?Msangi na msengi
Meela na meena
Baharia umetisha sanaWanawake wapo njema kitambo tu, provided wanapata mazingira mazuri!!
Hata sisi class kwetu wakati tupo chuo, ingawaje wanaume ndio walikuwa wanakaa juu lakini by average wanawake walikuwa wanafanya vizuri kuliko wanaume!
Akina chige ilikuwa tukipata boom tu, hatuonekani chuo wala hostel, hadi upigiwe simu kwamba kesho kuna paper! Sasa unaanzaje kushindana na mtoto wa kike ambae ame-settle!!
Huu ujinga ujinga sitasahau mwaka wa pili ulisababisha karibu term mzima lunch yangu iwe chai na chapati lakini ndio mwaka ambao nilifaulu zaidi kwa sababu nilikuwa nabaki chuo!!
kupata GPA kubwa sio kigezo cha kusema wanafaa kuolewa ..Hawa ndo wakuoa sasa...sio makima yanayojua kudanga tu na kupiga vizinga...toto zina akili hizo nadhani hata papuchi zako hazijatembea kilomita nyingi
Wanakwenda kuwa waajiriwa wazuriLeo katika Mahafali ya UDSM, Hawa Mabinti ndio Wamekuwa Wanafunzi Bora Kupita wanafunzi Takribani Elfu 4 na wote wamepata GPA ya 4.7.
Wa Kulia anaitwa Bi Irene Cristopher Msengi aliyefuzu Digrii ya Awali ya Biashara katika Uhasibu,
Wa kushoto anaitwa Bi Edina Davis Meela aliyefuzu Digrii ya Awali ya Sayansi Katika Uhandisi Kemikali na Usindikaji.
Naona watani Chagga vs Pare
Hongereni sana
View attachment 1976838
View attachment 1976857