Ma-future jobless wengine wameingia mtaani
Hawa wote wameshapata ajira Price water house coopers PWC Tanzania. Wanakula milioni mbili zao net kila mwezi.
Baada ya 10 yrs utawakuta ma head wa vitengo nyeti katika makampuni na mashirika makubwa
Ma-future jobless wengine wameingia mtaani
poleni sana
Huyo Irene msengi alikua class mate wangu hapo udbs,kwa kweli hako kabinti kako vizuri sana kichwani.na kama sikosei kalipewa scholarship ya BOT kutokana na kufanya vizuri form 6.hongera zake kwa kweli,amevunja record ya miaka mingi kwani huwa ni vigumu sana kwa mtu kutoka udbs hasa hiyo bachelor of commerce in accounting kuongoza chuo kizima kama ilivyotokea mwaka huu,wengi huwa wanapata first class za kawaida tu.
Jamaa ana wivu sana huyo 😂😂Hawa wote wameshapata ajira Price water house coopers PWC Tanzania. Wanakula milioni mbili zao net kila mwezi.
Baada ya 10 yrs utawakuta ma head wa vitengo nyeti katika makampuni na mashirika makubwa