CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
Yes halafu wana ushirikiano mno. Kitu ambacho sisi hatuweziLow Profile
Hawa jamaa hata awe na 500m
Mavazi, Malazi, Chakula, Starehe, Vinywaji vina remain constant
Yes halafu wana ushirikiano mno. Kitu ambacho sisi hatuweziLow Profile
Hawa jamaa hata awe na 500m
Mavazi, Malazi, Chakula, Starehe, Vinywaji vina remain constant
Yes and big YES its no brain surgery,for real estate to be established in any part of this country,outside Dar,Arusha,Mwanza,Mbeya,Real estate KAHAMA?
Hahahaaa,nimecheka kweli.MV LIEMBA mpaka Marekani inaweza tumia miaka 100.Wasomali hawana kodi kama huku dubai hawana ushuru wowote wa port.huwa wanakuja na meli zao chakavu wanapakia bidhaa kiasi wanachohitaji bila kodi aina yoyote(exempted)kisha wanaondoka!
Jamaa wana roho ngumu wale wanaweza kusafiri na MV LIEMBA hadi marekani.
Msomali ni mafia kuwahi kutokea duniani.wasomali karibu wote vichaa km ilivyo kw watanzania walio wengi ni mazombi(mazuzu aka wajinga)Hahahaaa,nimecheka kweli.MV LIEMBA mpaka Marekani inaweza tumia miaka 100.
Yes halafu wana ushirikiano mno. Kitu ambacho sisi hatuwezi
sisi network zetu za nje ni za kutumiana Latest Smartphone na Story za Kina Rick Ross!Network
Network
Network
Hawa jamaa wana network kali saana
msomali wa ilala leo ana network ya wasomali wenzie wa nje zaidi ya nchi 20 so wana Import BUSINESS IDEAS always money comes from ideas and experience
Hujui usemalo wewe,, kimada wa Museveni huyo.Wasomali wanapiga kazi balaa, kuna mama bilioner wa kisomali kawekeza Kenya shida tupu, sasa hivi anajenga kiwanda cha sukari uganda analima miwa kijiji hapo uganda kwa ajili ya kiwanda chake..
Vijana wa bongo wanapo nikasirisha ni kujifariji kwa maneno ya kipumbavu, watakwambia hao vijana walikuwa mapirates,
Hakuna mwekezaji anae kuja nchini kwako na hela kwenye mabegi hela zote wanazichukua kwenye mabenk yenu ya ndani...
Vijana waache wasubirie ajira za magufuli na kushinda kwenye vijiwe vya siasa na magrup ya whatsapp,
Tanzania atafika siku 96% ya uchumi wa Tanzania utashikwa na raia wa kigeni
Huwajui wasomali,,, wanapenda starehe balaa,, ni malaya kuanzia wanawake hadi wanaume na maskini ni wengi... Kwa ufupi ni binadamu wengine kama sisi..Wasomali ni Bright sana...ndio maana hata nchi yao iliharibiwa makusudi na mataifa ya Magharibi sababu walishaproject future ya Somalia wakaona ni tishio.
Wasomali ni watu wenye discpline sana ya Maisha na ndio maana ni wasomali wachache sana tulio nao kwenye Jamii yetu wanaoishi Maisha ya kubabaisha.
Wasomali ni Risk takers wa ukweli sana na wao wako tayaribwafanye lolote mara wanapotaka kitu.
Wasomali wemgi hasa vijana hawana tabia kama za sisi vijana wa Kibantu! Wenzetu wanainuana sana na hakuna dharau kati yao ndio maana wanasonga mbele, sie tunabaguana hata kumiliki simu tofauti tuu au gari tofauti( Ujinga na upumbavu wa Kibantu na Kiswahili).
Wasomali si watu wa kuendekeza Starehe za Kipuuzi!
Msomali hata awe na hela vipi hana asili ya Show Off kama sie! Na msomali haridhiki na vitu vidogovidogo na kujisahau, Kijana wa Kibongo tena graduate anakopa hela anaenda kununua Gari na simu ya kisasa..garo anapaki CCM lakjni hata kusalimia jirani inakuwa ni shida!
Mwisho, wasomali hawana tabia za ubabaishaji!
Sawa siwajui mkuu!Huwajui wasomali,,, wanapenda starehe balaa,, ni malaya kuanzia wanawake hadi wanaume na maskini ni wengi... Kwa ufupi ni binadamu wengine kama sisi..
Ama kweli wewe ni hasidi na mjinga, hao ndio wanaotengeneza ajira, kila familia ya kisomali inaajiri wafanyikazi wawili wa nyumbani, kila mfanyi biashara anaajiri sio chini ya wanne, kama hawa vijana waliotajwa hapa wameajiri watu wengi kuanzi makuli hadi wahesabu na mameneja, sio kama wahindi wanaoleta wafanyakazi kutoka India ama huwaajiri wahindi wenzao waliozaliwa hapa.Warudishwe kwao wanabana nafasi za ajira
Wasomali ni damu nyingine, acha kabisa hao jamaa, angalia ,,the pirates of Somalia" ndo utaelewa!
Ni kweli kabisa nimekutana na wadigo na wasambaa uingereza walipewa sheria ya ukimbizi na sasa ni wananchi huko, wamejipa kama wasomali.Wasomali wanapita njia zote walizopita Wahindi tofauti yao kubwa ni kuwa Wasomali wanaongea Wahindi ni wasiri sana.
Ilianza biashara vya neno ya tembo mhindi alipiga kwa miaka mingi. Msomali alipoanza dunia ilijua.
Kujilipiua ukimbizi Ulaya Mhindi aliaanza, tokea mmgawanyiko wa India na Pakistan mpaka Iddi Amin kufukuza Wahindi Uganda
Msomali alipoanza hata sisi wamatumbi wa Kyela tulijilipua Kisomali.
Kwa mamlaka niliyo nayo nimeamua nikupuuze.....Hujui usemalo wewe,, kimada wa Museveni huyo.
Mzee, This is Africa
Baada ya kuangalia documentary hii ya kijana huyu wa kisomalia Mahad Nur na ndugu yake Mohamed Nur, wanaomiliki City Mall , Victoria Plaza na Africa flight Service, a cargo company , nimejiuliza inakuwaje vijana wa kisomalia kama hawa wanatoka mogadishu wanakuja na kufanikiwa hapa hapa kiasi hiki lakini sisi tupo tu wala hatuzioni hizi fursa sana sana , vijana wamebaki kusubiria ajira.
Kweli hii ni changammoto kubwa sana kwa nchi yetu.
Tusaidiane mawazo
Huwajui wasomali we kiaziAma kweli wewe ni hasidi na mjinga, hao ndio wanaotengeneza ajira, kila familia ya kisomali inaajiri wafanyikazi wawili wa nyumbani, kila mfanyi biashara anaajiri sio chini ya wanne, kama hawa vijana waliotajwa hapa wameajiri watu wengi kuanzi makuli hadi wahesabu na mameneja, sio kama wahindi wanaoleta wafanyakazi kutoka India ama huwaajiri wahindi wenzao waliozaliwa hapa.
Wasomali hawana ubaguzi ni waafrika wenzatu.