Arusha: Rais Samia atoa TZS 520BL sawa na 80% ya bajeti nzima ya maji ya Taifa ya mwaka

Ww umejiunga juzi tu huku JF, watu wanakushangaa, hujui hata nani CCM, nani CDM nani hana chama, naona unadandia treni kwa mbele tu, jifunze kwanza JF ikoje, acha kurukaruka, wako watu wana akili kubwa huku, usidhani unaleta habari hovyo hovyo, kuwa makini, nadhani uchanga unakusumbua, hujakomaa bado huku JF.
Watu wanabadili majina wewe utachelewa hoja zake zinauzito hata kama kajiunga leo,
 
Inapendeza na Ahsante kwa taarifa...
Smart911
Hakika uongozi wa Rais Samia ni neema tupu kila kona ya nchi |Arusha wapewa TZS 5.2B kwa mwaka kama 10% ya mapato ya Jiji kwaajili Vijana, wanawake na walemavu,Machali wa " R " Changamkeni acheni Ukamanda fake,
" Hakuna kama Samia "

Chini ya Sheria ya fedha ya Serikali za mitaa sura namba 290 kifungu cha 37 ya mwaka 2019 kila halmashauri inatakiwa kutenga 10% ya mapato yake kwa mwaka kwaajili ya maendeleo ya watu wa halmashauri husika kwa mchanganuo ufuatao, 4% kwaajili ya wanawake, 4% kwaajili ya Vijana na 2% kwaajili ya walemavu bila kujali dini, rangi,kabila au itikadi za siasa,

Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dk John Marco Pima ameukuna mtima wa Rais Samia Suluhu Hassan baada ya kutoa tshs 1.37BL kwaajili ya kutekeleza sheria hiyo ya fedha kwa robo ya kwanza ( 1Q ) ya mwaka,Nakwamantiki hiyo kwa mwaka mzima Dk Pima kwa niaba ya Rais Samia atatoa jumla ya Tshs 5.2BL yaani Vijana watapata Tshs 2.08BL,Wanawake Tshs 2.08BL na Walemavu Tshs 1.04BL hii ni zaidi ya Commercial Bank,Arusha changamkieni fursa hii achaneni na mambo ya Ukamanda tumieni hizi fedha ili mjenge familia zenu najua ninyi kamwe hamuwezi kukimbilia Kanada mmecheleweshwa sana Arusha,

Angalia hii,Kama kila kikundi cha watu watano kitapewa Tshs 10M tu Rais Samia kupitia Arusha Jiji atasaidia Jumla ya vikundi 520 kwa mwaka na tutakuwa na Loan Portifolio ya watu|wateja zaidi ya 2,600 ambao kila mmoja atapewa mtaji wa kuanzia wa mil 2,Na hii ndio utekelezaji wa Ilani ya CCM ya 2020|25 iliyoahidi ajira 8M kila mwenye macho na aone sasa Juhudi kubwa na nzuri za Rais Samia Suluhu Hassan Mkt wa ccm-tanzania.

Tanzania tuna Jumla ya halmashauri 184 kama kila Halmashauri itakuwa na Loan Portfolio ya wateja 1,000 tu nchi nzima kwa mwaka mmoja tutakuwa na Loan Portfolio ya watu 184,000 hapa Umasikini tutausikia tu redioni, Wakurugenzi wengine mnayohaja ya kuiga mfano huu mzuri wa Dk John Marco Pima mkurugenzi wa Jiji la Arusha na natamani matumizi ya 10% yawe ndio kigezo cha Ubora wa Mkurugenzi kwani wanachi lazima waone umuhimu wa kuendelea kuichagua CCM-Tanzania.

good
 
TAARIFA KWA UMMA

KUPUNGUA KWA UZALISHAJI MAJI MTAMBO WA RUVU CHINI

23.10.2021
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) inawataarifu wananchi na wakazi wa Bagamoyo Mkoani Pwani hadi Kigamboni Jijini Dar es salaam kuwa, kutakuwa na upungufu wa huduma ya maji .

Sababu: Upungufu wa maji katika chanzo cha Mto Ruvu.

Kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na Wizara ya Maji kupitia Bonde la Wami Ruvu, kina cha maji cha mto Ruvu kimepungua kufuatia kiangazi cha muda mrefu.

Kufuatia upungufu wa maji mtoni, uzalishaji wa Maji umepungua kutoka lita milioni 520 kwa siku hadi kufikia lita milioni 460. Upungufu huo unatokana na kupungua kwa uzalishaji katika mtambo wa Ruvu Chini ambao husambaza maji kwa asilimia 70 ya eneo la huduma la DAWASA. Mtambo wa Ruvu Chini kwa kawaida huzalisha lita milioni 270 kwa siku na hivi sasa unazalisha kiasi cha lita milioni 210 kwa siku.

DAWASA kwa kushirikiana na Ofisi za Bonde la Wami Ruvu wanaendelea na zoezi la kusitisha matumizi ya maji kwa watumiaji wengine katika mto huo ikiwa ni pamoja kusitisha vibali vya umwagiliaji ili kuruhusu maji kufika mitamboni.

Ili kuhakikisha kuwa maji yanapatikana kwa usawa katika eneo linalohudumia na mtambo wa Ruvu Chini, DAWASA imehamisha sehemu ya maji ya Ruvu Juu ili yatumike kwa maeneo yaliyokuwa yanahudumiwa na Mtambo wa Ruvu Chini. Mabadiliko haya yanapelekea kupungua kwa msukumo wa maji kwa baadhi ya maeneo.

Maeneo yatakayo athirika: Maeneo yote yanayohudumiwa na mtambo wa Maji Ruvu chini, kuanzia Bagamoyo hadi Kigamboni.

DAWASA inawaomba wananchi kutumia maji kwa uangalifu katika kipindi hiki.

Tupigie kupitia kituo cha huduma kwa wateja 0800110064 au ujumbe mfupi 0735202121 (WhatsApp)

Imetolewa na
*Kitengo cha Mawasiliano na .
 
Madam President tangu aingie madarakani hakuna mradi hata mmoja aliouanzisha na iliyopa anadai hakuna pesa ya kuiendeleza, Mradi pekee aliouanzisha kikamilifu ni wa CORONA. Hata pesa ya kujenga stand mkoani Arusha anataka kuomba mkopo. What a Shame!!
 
Hakika uongozi wa Rais Samia ni neema tupu kila kona ya nchi |Arusha wapewa TZS 5.2B kwa mwaka kama 10% ya mapato ya Jiji kwaajili Vijana, wanawake na walemavu,Machali wa " R " Changamkeni acheni Ukamanda fake,
" Hakuna kama Samia "

Chini ya Sheria ya fedha ya Serikali za mitaa sura namba 290 kifungu cha 37 ya mwaka 2019 kila halmashauri inatakiwa kutenga 10% ya mapato yake kwa mwaka kwaajili ya maendeleo ya watu wa halmashauri husika kwa mchanganuo ufuatao, 4% kwaajili ya wanawake, 4% kwaajili ya Vijana na 2% kwaajili ya walemavu bila kujali dini, rangi,kabila au itikadi za siasa,

Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dk John Marco Pima ameukuna mtima wa Rais Samia Suluhu Hassan baada ya kutoa tshs 1.37BL kwaajili ya kutekeleza sheria hiyo ya fedha kwa robo ya kwanza ( 1Q ) ya mwaka,Nakwamantiki hiyo kwa mwaka mzima Dk Pima kwa niaba ya Rais Samia atatoa jumla ya Tshs 5.2BL yaani Vijana watapata Tshs 2.08BL,Wanawake Tshs 2.08BL na Walemavu Tshs 1.04BL hii ni zaidi ya Commercial Bank,Arusha changamkieni fursa hii achaneni na mambo ya Ukamanda tumieni hizi fedha ili mjenge familia zenu najua ninyi kamwe hamuwezi kukimbilia Kanada mmecheleweshwa sana Arusha,

Angalia hii,Kama kila kikundi cha watu watano kitapewa Tshs 10M tu Rais Samia kupitia Arusha Jiji atasaidia Jumla ya vikundi 520 kwa mwaka na tutakuwa na Loan Portifolio ya watu|wateja zaidi ya 2,600 ambao kila mmoja atapewa mtaji wa kuanzia wa mil 2,Na hii ndio utekelezaji wa Ilani ya CCM ya 2020|25 iliyoahidi ajira 8M kila mwenye macho na aone sasa Juhudi kubwa na nzuri za Rais Samia Suluhu Hassan Mkt wa ccm-tanzania.

Tanzania tuna Jumla ya halmashauri 184 kama kila Halmashauri itakuwa na Loan Portfolio ya wateja 1,000 tu nchi nzima kwa mwaka mmoja tutakuwa na Loan Portfolio ya watu 184,000 hapa Umasikini tutausikia tu redioni, Wakurugenzi wengine mnayohaja ya kuiga mfano huu mzuri wa Dk John Marco Pima mkurugenzi wa Jiji la Arusha na natamani matumizi ya 10% yawe ndio kigezo cha Ubora wa Mkurugenzi kwani wanachi lazima waone umuhimu wa kuendelea kuichagua CCM-Tanzania.

Good
 
TAARIFA KWA UMMA

KUPUNGUA KWA UZALISHAJI MAJI MTAMBO WA RUVU CHINI


23.10.2021
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es salaam (DAWASA) inawataarifu wananchi na wakazi wa Bagamoyo Mkoani Pwani hadi Kigamboni Jijini Dar es salaam kuwa, kutakuwa na upungufu wa huduma ya maji .

Sababu: Upungufu wa maji katika chanzo cha Mto Ruvu.

Kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na Wizara ya Maji kupitia Bonde la Wami Ruvu, kina cha maji cha mto Ruvu kimepungua kufuatia kiangazi cha muda mrefu.

Kufuatia upungufu wa maji mtoni, uzalishaji wa Maji umepungua kutoka lita milioni 520 kwa siku hadi kufikia lita milioni 460. Upungufu huo unatokana na kupungua kwa uzalishaji katika mtambo wa Ruvu Chini ambao husambaza maji kwa asilimia 70 ya eneo la huduma la DAWASA. Mtambo wa Ruvu Chini kwa kawaida huzalisha lita milioni 270 kwa siku na hivi sasa unazalisha kiasi cha lita milioni 210 kwa siku.

DAWASA kwa kushirikiana na Ofisi za Bonde la Wami Ruvu wanaendelea na zoezi la kusitisha matumizi ya maji kwa watumiaji wengine katika mto huo ikiwa ni pamoja kusitisha vibali vya umwagiliaji ili kuruhusu maji kufika mitamboni.

Ili kuhakikisha kuwa maji yanapatikana kwa usawa katika eneo linalohudumia na mtambo wa Ruvu Chini, DAWASA imehamisha sehemu ya maji ya Ruvu Juu ili yatumike kwa maeneo yaliyokuwa yanahudumiwa na Mtambo wa Ruvu Chini. Mabadiliko haya yanapelekea kupungua kwa msukumo wa maji kwa baadhi ya maeneo.

Maeneo yatakayo athirika: Maeneo yote yanayohudumiwa na mtambo wa Maji Ruvu chini, kuanzia Bagamoyo hadi Kigamboni.

DAWASA inawaomba wananchi kutumia maji kwa uangalifu katika kipindi hiki.

Tupigie kupitia kituo cha huduma kwa wateja 0800110064 au ujumbe mfupi 0735202121 (WhatsApp)

Imetolewa na
*Kitengo cha Mawasiliano na .
Nitatizo la muda tu hili
 

Hakika mahaba ya Rais Samia kwa watu wa Kaskazini usipime, ametoa TZS 520BL za maji Arusha ikiwa ni zaidi ya 80% ya bajeti nzima ya maji ya Taifa ya mwaka.​

" Hakuna kama Samia "​


Hakika kasi ya Rais Samia Suluhu Hassan haikamatiki,Rais ametoa Jumla ya Tshs 520BL zaidi ya 80% ya bajeti nzima ya maji ya Taifa kwaajili ya kuzika kabisa tatizo sugu la maji la nenda urudi uje,tatizo lililowashinda wabunge wote wa NCCR, TLP na CHADEMA katika nyakati na muda tofauti tofauti ukanda huo hatimaye Rais Samia amelimaliza kirahisi tu na hii ndio raha ya kuwa na Rais Mzalendo kama Mama Samia Suluhu,

Bajeti nzima ya maji ya Taifa kwa mwaka wa fedha 2021|22 ni karibu 589BL hii ni kwa mujibu wa bajeti kuu ya Serikali, Rais Samia Suluhu kwa mahaba yake na watu wa Kaskazini kama ilivyo kwa maeneo mengine nchini ameamua kufanya reallocation ya pesa ili Arusha na viunga vyake wapate kiasi hicho cha fedha na hapa nainyooshea kidole CHADEMA kwa kuwachelewesha watu wa Arusha kwa kiasi hiki na kwahakika hawapashwi kuchaguliwa tena,

Kwamsiofahamu,Mradi huu mkubwa wa kihistoria wa Mama Samia unategemewa kutoa Jumla ya Lita 200Milioni kwa siku huku mahitaji halisi ikiwa ni Lita 109Milioni tu kwa siku na hivyo kuwa na ziada ya karibu lita 91Milioni kwa siku ziada ambayo itapelekwa maeneo ya Arumeru na maeneo mengine mengi,

Wakati huohuo Mhe Rais akiwa katika mradi huo wa maji alimmwagia pongezi za dhati Mhe Juma Aweso Waziri wa Maji kwa kile alichokiita uwajibikaji wa kutiliwa mfano ndani ya baraza Lake la Mawaziri,Hongera Aweso kazi zako ni awesome kila Mtanzania atakubaliana na Mhe Rais unastahili songa mbele,


RAIS SAMIA MZALENDO WA VITENDO


Waongo wakubwa 😂 pesa ni mradi wa siku nyingi sana toka wakati wa Kikwete na ni pesa za bank ya Dunia. Mradi umeisha wakati wa Magufuli leo Mama katoa pesa😂😂
 

Hakika mahaba ya Rais Samia kwa watu wa Kaskazini usipime, ametoa TZS 520BL za maji Arusha ikiwa ni zaidi ya 80% ya bajeti nzima ya maji ya Taifa ya mwaka.​

" Hakuna kama Samia "​


Hakika kasi ya Rais Samia Suluhu Hassan haikamatiki,Rais ametoa Jumla ya Tshs 520BL zaidi ya 80% ya bajeti nzima ya maji ya Taifa kwaajili ya kuzika kabisa tatizo sugu la maji la nenda urudi uje,tatizo lililowashinda wabunge wote wa NCCR, TLP na CHADEMA katika nyakati na muda tofauti tofauti ukanda huo hatimaye Rais Samia amelimaliza kirahisi tu na hii ndio raha ya kuwa na Rais Mzalendo kama Mama Samia Suluhu,

Bajeti nzima ya maji ya Taifa kwa mwaka wa fedha 2021|22 ni karibu 589BL hii ni kwa mujibu wa bajeti kuu ya Serikali, Rais Samia Suluhu kwa mahaba yake na watu wa Kaskazini kama ilivyo kwa maeneo mengine nchini ameamua kufanya reallocation ya pesa ili Arusha na viunga vyake wapate kiasi hicho cha fedha na hapa nainyooshea kidole CHADEMA kwa kuwachelewesha watu wa Arusha kwa kiasi hiki na kwahakika hawapashwi kuchaguliwa tena,

Kwamsiofahamu,Mradi huu mkubwa wa kihistoria wa Mama Samia unategemewa kutoa Jumla ya Lita 200Milioni kwa siku huku mahitaji halisi ikiwa ni Lita 109Milioni tu kwa siku na hivyo kuwa na ziada ya karibu lita 91Milioni kwa siku ziada ambayo itapelekwa maeneo ya Arumeru na maeneo mengine mengi,

Wakati huohuo Mhe Rais akiwa katika mradi huo wa maji alimmwagia pongezi za dhati Mhe Juma Aweso Waziri wa Maji kwa kile alichokiita uwajibikaji wa kutiliwa mfano ndani ya baraza Lake la Mawaziri,Hongera Aweso kazi zako ni awesome kila Mtanzania atakubaliana na Mhe Rais unastahili songa mbele,


RAIS SAMIA MZALENDO WA VITENDO

Hivi Arusha hawaishi watu wa mikoa mingine kwa kazi, biashara, au utalii? Huu uwekezaji kwenye maji in turn utafaidisha nani haswa? si nchi nzima? Mbona Dar na Dodoma panapojengwa miundo mbinu mingi ya kisasa hamsemi Raisi kwa watu wa Dar usipime, au Rasi kwa Dodoma usipime? Tuwe rational kwenye arguments zetu tafadhali
 
Hivi Arusha hawaishi watu wa mikoa mingine kwa kazi, biashara, au utalii? Huu uwekezaji kwenye maji in turn utafaidisha nani haswa? si nchi nzima? Mbona Dar na Dodoma panapojengwa miundo mbinu mingi ya kisasa hamsemi Raisi kwa watu wa Dar usipime, au Rasi kwa Dodoma usipime? Tuwe rational kwenye arguments zetu tafadhali
Ni uandishi tu mkuu Wangu,
Nisamehe kama nimekuudhi
 
18 Reactions
Reply
Back
Top Bottom