Arusha: Rais Samia atoa TZS 520BL sawa na 80% ya bajeti nzima ya maji ya Taifa ya mwaka

Mbona zimetolewa awamu ya tano na mradi karibu unakamilika
Mkuu Acha upotoshaji! Zile pesa hazikutolewa na awamu wa
Kama pesa hazikuwepo sasa unaongea nini? Mzee mipango sio matumizi,mama kakata mzizi wa fitina wa miaka na mikaka,kongole kwake pole yako.
Fedha zimekuwa released kabla hata ile bahati nasibu haijachezwa!! Jifunze kusoma na kuelewa!
 
Imradi tu iwepo sehemu ya kumponda mwendazake na kumsifia JK.Tuna upinzani wa ovyo sana.Nyie watu Magufuli alishakufa na hakuna haja ya kuendelea kupambana naye kama njia ya kushika dora.

Wapi nimemsifia JK? Dhalimu lazima awekwe wazi.
 
Shetani lazima apigwe vita bila kujali yuko hai au kuzimu. Tuingie madarakani kwani tuna tume ya uchaguzi na vyombo vya dola?
unajichanganya sana hahahahhah. Chuki dhidi ya Magufuli hazitawaingiza madarakani
 
Mkuu bado unajichanganya,

Mradi ni pesa hakuna pesa hakuna mradi
Kama pesa zimetolewa leo 2022 ndio mradi wenyewe huo ,
Wapi nimesema hizo pesa zimetolewa leo na huyo #SSH?
Je, unajua zilikotoka hizo fedha??
 
Hakika uongozi wa Rais Samia ni neema tupu kila kona ya nchi |Arusha wapewa TZS 5.2B kwa mwaka kama 10% ya mapato ya Jiji kwaajili Vijana, wanawake na walemavu,Machali wa " R " Changamkeni acheni Ukamanda fake,
" Hakuna kama Samia "

Chini ya Sheria ya fedha ya Serikali za mitaa sura namba 290 kifungu cha 37 ya mwaka 2019 kila halmashauri inatakiwa kutenga 10% ya mapato yake kwa mwaka kwaajili ya maendeleo ya watu wa halmashauri husika kwa mchanganuo ufuatao, 4% kwaajili ya wanawake, 4% kwaajili ya Vijana na 2% kwaajili ya walemavu bila kujali dini, rangi,kabila au itikadi za siasa,

Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dk John Marco Pima ameukuna mtima wa Rais Samia Suluhu Hassan baada ya kutoa tshs 1.37BL kwaajili ya kutekeleza sheria hiyo ya fedha kwa robo ya kwanza ( 1Q ) ya mwaka,Nakwamantiki hiyo kwa mwaka mzima Dk Pima kwa niaba ya Rais Samia atatoa jumla ya Tshs 5.2BL yaani Vijana watapata Tshs 2.08BL,Wanawake Tshs 2.08BL na Walemavu Tshs 1.04BL hii ni zaidi ya Commercial Bank,Arusha changamkieni fursa hii achaneni na mambo ya Ukamanda tumieni hizi fedha ili mjenge familia zenu najua ninyi kamwe hamuwezi kukimbilia Kanada mmecheleweshwa sana Arusha,

Angalia hii,Kama kila kikundi cha watu watano kitapewa Tshs 10M tu Rais Samia kupitia Arusha Jiji atasaidia Jumla ya vikundi 520 kwa mwaka na tutakuwa na Loan Portifolio ya watu|wateja zaidi ya 2,600 ambao kila mmoja atapewa mtaji wa kuanzia wa mil 2,Na hii ndio utekelezaji wa Ilani ya CCM ya 2020|25 iliyoahidi ajira 8M kila mwenye macho na aone sasa Juhudi kubwa na nzuri za Rais Samia Suluhu Hassan Mkt wa ccm-tanzania.

Tanzania tuna Jumla ya halmashauri 184 kama kila Halmashauri itakuwa na Loan Portfolio ya wateja 1,000 tu nchi nzima kwa mwaka mmoja tutakuwa na Loan Portfolio ya watu 184,000 hapa Umasikini tutausikia tu redioni, Wakurugenzi wengine mnayohaja ya kuiga mfano huu mzuri wa Dk John Marco Pima mkurugenzi wa Jiji la Arusha na natamani matumizi ya 10% yawe ndio kigezo cha Ubora wa Mkurugenzi kwani wanachi lazima waone umuhimu wa kuendelea kuichagua CCM-Tanzania.

Hakika kaskazini tumuunge mkono
 
Maswali gani haya?

Wewe unapingana na kauli ya waziri wa maji?
Mkuu unapoambiwa jambo tena na mwanasiasa ukiliamini jumla jumla itakula kwako.
Waliopo Arusha wanaujua ukweli wa huo mradi...!
AMKA! Jitambue! Mawaziri wapo kumfurahisha bosi wao!





Au Chief Hangaya kaongeza mahela mengine juzi alipokuja ziarani?
 
Hakika uongozi wa Rais Samia ni neema tupu kila kona ya nchi |Arusha wapewa TZS 5.2B kwa mwaka kama 10% ya mapato ya Jiji kwaajili Vijana, wanawake na walemavu,Machali wa " R " Changamkeni acheni Ukamanda fake,
" Hakuna kama Samia "

Chini ya Sheria ya fedha ya Serikali za mitaa sura namba 290 kifungu cha 37 ya mwaka 2019 kila halmashauri inatakiwa kutenga 10% ya mapato yake kwa mwaka kwaajili ya maendeleo ya watu wa halmashauri husika kwa mchanganuo ufuatao, 4% kwaajili ya wanawake, 4% kwaajili ya Vijana na 2% kwaajili ya walemavu bila kujali dini, rangi,kabila au itikadi za siasa,

Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Dk John Marco Pima ameukuna mtima wa Rais Samia Suluhu Hassan baada ya kutoa tshs 1.37BL kwaajili ya kutekeleza sheria hiyo ya fedha kwa robo ya kwanza ( 1Q ) ya mwaka,Nakwamantiki hiyo kwa mwaka mzima Dk Pima kwa niaba ya Rais Samia atatoa jumla ya Tshs 5.2BL yaani Vijana watapata Tshs 2.08BL,Wanawake Tshs 2.08BL na Walemavu Tshs 1.04BL hii ni zaidi ya Commercial Bank,Arusha changamkieni fursa hii achaneni na mambo ya Ukamanda tumieni hizi fedha ili mjenge familia zenu najua ninyi kamwe hamuwezi kukimbilia Kanada mmecheleweshwa sana Arusha,

Angalia hii,Kama kila kikundi cha watu watano kitapewa Tshs 10M tu Rais Samia kupitia Arusha Jiji atasaidia Jumla ya vikundi 520 kwa mwaka na tutakuwa na Loan Portifolio ya watu|wateja zaidi ya 2,600 ambao kila mmoja atapewa mtaji wa kuanzia wa mil 2,Na hii ndio utekelezaji wa Ilani ya CCM ya 2020|25 iliyoahidi ajira 8M kila mwenye macho na aone sasa Juhudi kubwa na nzuri za Rais Samia Suluhu Hassan Mkt wa ccm-tanzania.

Tanzania tuna Jumla ya halmashauri 184 kama kila Halmashauri itakuwa na Loan Portfolio ya wateja 1,000 tu nchi nzima kwa mwaka mmoja tutakuwa na Loan Portfolio ya watu 184,000 hapa Umasikini tutausikia tu redioni, Wakurugenzi wengine mnayohaja ya kuiga mfano huu mzuri wa Dk John Marco Pima mkurugenzi wa Jiji la Arusha na natamani matumizi ya 10% yawe ndio kigezo cha Ubora wa Mkurugenzi kwani wanachi lazima waone umuhimu wa kuendelea kuichagua CCM-Tanzania.

👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿

Kutoka Mwaka 2015/16 hadi 2020/21 pesa iliyoongezwa bodi ya mikopo ilikuwa Tshs 101BL na wanafunzi wapya walikuwa elfu 32 ,

Awamu ya sita kwa miezi sita pesa iliyoongezwa kwenye bodi hiyohiyo ni Tsh 120b na wanafunzi wapya ni elfu 29

Budget ya HESLB kwa mwaka 2015/16 ilikuwa 348.7B kwa wanafunzi 98,300

Budget ya HESLB mwaka 2020/21 ilifikia 450B kwa wanafunzi 130,883

_________________________

Awamu ya sita kwa miezi sita imeongeza budget kutoka 450B za awali hadi 570B za sasa na idadi ya wanufaika imeongezeka na kufikia 160,000.

#Hoja hapa ni muda wa matokeo

#HAKUNA KAMA SAMIA
 
Mkuu unapoambiwa jambo tena na mwanasiasa ukiliamini jumla jumla itakula kwako.
Waliopo Arusha wanaujua ukweli wa huo mradi...!
AMKA! Jitambue! Mawaziri wapo kumfurahisha bosi wao!





Au Chief Hangaya kaongeza mahela mengine juzi alipokuja ziarani?

Sasa kama ule mradi wenu ulikuwa ukamilike mwaka 2020 leo ni 2020

Shida nini?

Ndio maana nasema pesa ndio mradi Rais Samia katoa pesa na ndicho nilichosema
 
Huu mradi ulikuwa hata kabla Magu hajaanza serikali ya awamu ya 5, JPM alivyoingia WB wakatoa hela hizo zote tshs 520B, mradi ukaanza, ndio hapo umefikia. Tuwekeni record vizuri.
Khaaa Chadema siwawezi alo,

Sasa huo mradi ni wamiaka mingapi?
 
Khaaa Chadema siwawezi alo,

Sasa huo mradi ni wamiaka mingapi?

Ww umejiunga juzi tu huku JF, watu wanakushangaa, hujui hata nani CCM, nani CDM nani hana chama, naona unadandia treni kwa mbele tu, jifunze kwanza JF ikoje, acha kurukaruka, wako watu wana akili kubwa huku, usidhani unaleta habari hovyo hovyo, kuwa makini, nadhani uchanga unakusumbua, hujakomaa bado huku JF.
 
Back
Top Bottom