Paparazi Muwazi
JF-Expert Member
- Dec 23, 2007
- 310
- 79
Magwanda ni ishara ya vita na ukomonisti. CHADEMA wakiingia madarakani watakuwa madikteta kama Hugo Chaves au Fidel Castro.
Hata Zitto Kabwe naye anavaa. Mpaka sasa asiyevaa haya ni Dr Slaa mnyenyekevu mtumishi wa Mungu
PM
Hata Zitto Kabwe naye anavaa. Mpaka sasa asiyevaa haya ni Dr Slaa mnyenyekevu mtumishi wa Mungu
PM