Magufuri haya ya Kivuko cha Kigamboni hayakubaliki

Mwalufunamba

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
211
129
Kuna "madudu" mengi yanayofanywa na wafanyakazi wa vivuko vya M.V. KIGAMBONI na M.V. MAGOGONI kama haitoshi hata wale wakatisha tiketi ambao wamepata ajira kwa misingi ya ujuani.

Nalotaka kukazia kwasasa ni hili, pamoja na wakala wako/yako kukusanya mamilioni ya shilingi kwa siku bado hamtujali wananchi na kutufanya tukae kwenye giza.

Haikubaliki jumba la kupumzika abiria wa miguu lenye holder za fluorescent tube light 28, zinazowaka ni 5; hii ni upande wa Magogoni. Ukienda upande wa Kigamboni kuna holder 16 zinawaka 3. Huu ni upuuzi wa hali ya juu hata tunapovumilia mwataka kutuona wajinga.

Kwani nayo mtasema milioni moja itakwisha katika manunuzi ya taa tu?

Toka ofisi uje kuona ni kilichopo usiishie kubakia kusema mia mbili wamekubali na ubavu wa kupiga mbizi hawana.
 
ukiachilia mbali suala hlo pia kuna muda mwingine unafika kivukoni unaweza kukaa zaidi ya nusu saa hujavuka na sababu wanazo wao wananch hatuzijui.hii inaboa sana hasa pale km una mambo muhimu yanakufanya utake kuwahi.jirekebisheni mia mbili co ndogo hizo.
 
mwenzako ashakuambia kama vipi piga mbizi maana hutakuwa na sababu ya kulipia pale getini tz govt is already dead..
 
NSSF ishafirisika haiwezi kujenga daraja.solution ni kung'oa uongozi mzima wa Kivuko
 
Utamu wa ngoma ingia ucheze, kama vyeti vinaruhusu nipatie vyeti nikupe ajira kisha nitakupanga kwenye hicho kitengo chenye mapungufu tuone utafanya nini,
 
Du mTZ hata hilo daraja la Kigamboni likipaika au akijisaidia mtu atatafutwa Maguduli
Jamani ku-repair taa tu Serikalini siku hizi mpaka kila Supply anunue kitabu cha Electricity & Maintanance ktk Tender Board na sio chini ya 50,000 ktk kitengo cha Procurement & Supply huko Bohari Kuu ya Serikali sasa leo wasafiri au Raia wameiba au kuungua na idadi imeisha store Magufuli hahusiki.
Kwenye Halmashauri tu ukihamsha Road fund Magfuli akisikia Out
Imefikia kipindi sasa tulunde wenyewe au tuchomane
 
Mkuu Ukwaju, kama hakuna mzabuni wa kupeleka taa, wanaruhusiwa kununua vitu kwa fedha taslimu.
Tatizo hilo lipo zaidi ya miezi miwili, mzabuni gani huyu anayeshindwa kununua taa kwa muda wote huo?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom