Mwalufunamba
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 211
- 129
Kuna "madudu" mengi yanayofanywa na wafanyakazi wa vivuko vya M.V. KIGAMBONI na M.V. MAGOGONI kama haitoshi hata wale wakatisha tiketi ambao wamepata ajira kwa misingi ya ujuani.
Nalotaka kukazia kwasasa ni hili, pamoja na wakala wako/yako kukusanya mamilioni ya shilingi kwa siku bado hamtujali wananchi na kutufanya tukae kwenye giza.
Haikubaliki jumba la kupumzika abiria wa miguu lenye holder za fluorescent tube light 28, zinazowaka ni 5; hii ni upande wa Magogoni. Ukienda upande wa Kigamboni kuna holder 16 zinawaka 3. Huu ni upuuzi wa hali ya juu hata tunapovumilia mwataka kutuona wajinga.
Kwani nayo mtasema milioni moja itakwisha katika manunuzi ya taa tu?
Toka ofisi uje kuona ni kilichopo usiishie kubakia kusema mia mbili wamekubali na ubavu wa kupiga mbizi hawana.
Nalotaka kukazia kwasasa ni hili, pamoja na wakala wako/yako kukusanya mamilioni ya shilingi kwa siku bado hamtujali wananchi na kutufanya tukae kwenye giza.
Haikubaliki jumba la kupumzika abiria wa miguu lenye holder za fluorescent tube light 28, zinazowaka ni 5; hii ni upande wa Magogoni. Ukienda upande wa Kigamboni kuna holder 16 zinawaka 3. Huu ni upuuzi wa hali ya juu hata tunapovumilia mwataka kutuona wajinga.
Kwani nayo mtasema milioni moja itakwisha katika manunuzi ya taa tu?
Toka ofisi uje kuona ni kilichopo usiishie kubakia kusema mia mbili wamekubali na ubavu wa kupiga mbizi hawana.