USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,895
- 22,659
Je, wajua kuwa kifo kimeshindwa kuwatenganisha watanzania na Magufuli ?
Je, wajua kuwa umagufuli ni maisha kwa wanyonge wa taifa hili?
Je, wajua nguvu ya moyo ndio huamua nani awe rais kwa taifa hili kwa idadi ya watu?
Je, wajua kuwa mawazo na maisha ya umagufuli ndio yameijenga nchi kwa kipindi kidogo na kufanya makubwa?
SIKILIZA
Watu wenye ushawishi ndani ya CCM ambao kwa sasa wanajipambanua kama wafuasi wa sera za John Pombe Magufuli wamekutana hiyo jana na kuambua kuja na chama kipya cha kupambana na CCM ya samia na kuchukua nchi kwenye Uchaguzi ujao 2025.
Kutoka ndani ya CCM, Serikali, mtaani na ndani ya taasisi nyeti ni kuwa mwamko ni mkubwa na sasa wameamua hakuna wa kuwarudisha nyuma uwezo mkubwa wa waasisi kutoka ndani na nje ya nchi kutunisha mfuko na kuasaini kujiunga sasa ni rasma chama chenye nguvu kinakuja.
Chama hiki kinakwenda kuwakomboa Watanzania juu ya kinachoitwa kutelekezwa kwa miongozo ya Serikali ya John Pombe Magufuli ambaye alikuwa pacha wa Samia
Wizi, Ufisadi, Uzembe, Madawa ya Kulevya vimerejea kwa kasi bila chama hiki nchi itapotea.
Jiandae
USSR
Je, wajua kuwa umagufuli ni maisha kwa wanyonge wa taifa hili?
Je, wajua nguvu ya moyo ndio huamua nani awe rais kwa taifa hili kwa idadi ya watu?
Je, wajua kuwa mawazo na maisha ya umagufuli ndio yameijenga nchi kwa kipindi kidogo na kufanya makubwa?
SIKILIZA
Watu wenye ushawishi ndani ya CCM ambao kwa sasa wanajipambanua kama wafuasi wa sera za John Pombe Magufuli wamekutana hiyo jana na kuambua kuja na chama kipya cha kupambana na CCM ya samia na kuchukua nchi kwenye Uchaguzi ujao 2025.
Kutoka ndani ya CCM, Serikali, mtaani na ndani ya taasisi nyeti ni kuwa mwamko ni mkubwa na sasa wameamua hakuna wa kuwarudisha nyuma uwezo mkubwa wa waasisi kutoka ndani na nje ya nchi kutunisha mfuko na kuasaini kujiunga sasa ni rasma chama chenye nguvu kinakuja.
Chama hiki kinakwenda kuwakomboa Watanzania juu ya kinachoitwa kutelekezwa kwa miongozo ya Serikali ya John Pombe Magufuli ambaye alikuwa pacha wa Samia
Wizi, Ufisadi, Uzembe, Madawa ya Kulevya vimerejea kwa kasi bila chama hiki nchi itapotea.
Jiandae
USSR