JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
Ni rais gani wa africa ambaye aliwahi kuheshimu!? Any way tuachane na Africa, Tanzania, ni rais gani ambaye aliheshimu sheria na jee! Tulimuunga mkono vya kutosha? Nakumbuka Kikwete aliitwa dhaifu kutokana na kila aliposhinikizwa kushughulikia watu alikuwa akisisitiza sheria ziheshimiwe na kuepuka kuingilia mamlaka nyingine. Sasa kama wale wale waliomlaumu kikwete kwa mfano, ndio hao hao wanaomlaumu Magufuli, hapo unaweza kusema nini?
usitembee juu ya ardhi kwa majivuno
..mimi naomba unishawishi kwanini in 21st century Afrika nzima inahitaji Maraisi wasioheshimu katiba na sheria.
..kwa maoni yangu ni hatari sana kwa mataifa yetu kuwa na watawala wasioheshimu sheria, wasiotenda haki, wenye double standards, wasioheshimu wengine haswa wenye mawazo mbadala.