Meli ya ukubwa kama huu au hata zaidi inafaa sana kujengwa ili kutoa huduma kwenye ziwa Tanganyika. Kwenye ziwa Tanganyika kuna kilometa karibu 700 kutoka Kigoma Port hadi Mpulungu Zambia, mwendo wa masaa 10 na zaidi. Kutoka Kigoma Port hadi Bujumbura Port kilometa 180 masaa 3 na zaidi. Kutoka Kigoma Port na kigoma Port hadi Kalemie DRC.
Abiria na mizigo inayosafirishwa kwenye ziwa lile na wingi wake ni fursa kubwa ya kiuchumi kwa taifa lakini ni hatarishi kwa maisha na mali za wananchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.