Magufulification of Africa, kauli iliyo hai Covid-19 inaprove hii fact.

Dam55

JF-Expert Member
Oct 8, 2015
5,592
11,831
Alisema Prof Lumumba
"We need to Magufulify Africa"
Make Africa great.

Mwanzo hakueleweka ila kwasasa kauli hii ina ukweli mkubwa mno.

Ukiangalia kwenye hili Janga la Covid-19 utauona ukweli wa hii kauli.

Magufuli kwa sasa nchi za ulaya ukitaja viongozi wa Africa tu jina la kwanza linalo wajia kichwani ni president of Tanzania JPM.

Misimamo imara kuhusu njia za Mapambano dhidi ya Covid-19 inatufanya sasa tuamini kweli tunahitaji ku Magulify Africa.

Angalia kuhusu lockdown mataifa yote sasa yanaanza kurudi kwenye msimamo wa JPM, hawataki tena kufungiwa.

Angalia kuhusu famigation JPM alisema hiyo inaua mende tu, mataifa yakamshambulia sana lakini leo hii WHO wanakuja kumuunga mkono tena kwa aibu.

Angalia kuhusu kufunga mipaka watu walisema tz itakuwa msambaza corona wengine wakafunga mipaka yao na Tz lakini leo hii wote wanafungua mipaka na kuja kumlilia JPM.

Angalia kuhusu matumizi ya dawa za asili na maombi nchi nzima, mataifa mengine wakamuita kinjeketile lakini leo hii sisi tunafungua michezo na vyuo.

Angalia kuhusu ubovu wa vipimo, Wana sayansi wakaja na matusi kibao lakini leo hii na wao wanaripoti ubovu wa vifaa huko kwao mfano Kenya huko.

Angalia kuhusu uchumi na kuchapa kazi, mataifa mengine yakasema tutapukutika lakini leo hii wanarudi na kuanza kufuata sera za JPM.

Yako mengi sana wandugu lakini kwa haya machache tunaweza kusema kuwa Magufulification of Africa ni kauli hai.

"We need to Magufulify Africa" God bless you Prof Lumumba.
 
Alisema Prof Lumumba
"We need to Magulify Africa"
Make Africa great.

Mwanzo hakueleweka ila kwasasa kauli hii ina ukweli mkubwa mno.

Ukiangalia kwenye hili Janga la Covid-19 utauona ukweli wa hii kauli.

Magufuli kwa sasa nchi za ulaya ukitaja viongozi wa Africa tu jina la kwanza linalo wajia kichwani ni president of Tanzania JPM.

Misimamo imara kuhusu njia za Mapambano dhidi ya Covid-19 inatufanya sasa tuamini kweli tunahitaji ku Magulify Africa.

Angalia kuhusu lockdown mataifa yote sasa yanaanza kurudi kwenye msimamo wa JPM, hawataki tena kufungiwa.

Angalia kuhusu famigation JPM alisema hiyo inaua mende tu, mataifa yakamshambulia sana lakini leo hii WHO wanakuja kumuunga mkono tena kwa aibu.

Angalia kuhusu kufunga mipaka watu walisema tz itakuwa msambaza corona wengine wakafunga mipaka yao na Tz lakini leo hii wote wanafungua mipaka na kuja kumlilia JPM.

Angalia kuhusu matumizi ya dawa za asili na maombi nchi nzima, mataifa mengine wakamuita kinjeketile lakini leo hii sisi tunafungua michezo na vyuo.

Angalia kuhusu ubovu wa vipimo, Wana sayansi wakaja na matusi kibao lakini leo hii na wao wanaripoti ubovu wa vifaa huko kwao mfano Kenya huko.

Angalia kuhusu uchumi na kuchapa kazi, mataifa mengine yakasema tutapukutika lakini leo hii wanarudi na kuanza kufuata sera za JPM.

Yako mengi sana wandugu lakini kwa haya machache tunaweza kusema kuwa Magufulification of Africa ni kauli hai.

"We need to Magulify Africa" God bless you Prof
Magufulify siyo Magulify

Sent using Jamii Forums mobile app
 
baada ya kuwa na siasa za kumbembelezana na kudekezana kwa muda mrefu ilikuwa ni wakati wa kumpata kiongozi wa kutuongoza kijeshi asieyumbishwa na mabeberu atakae washughulikia mafisadi nae ni JPM.
JPM hakuna kulemba, hakuna kudekezana, hakuna kumbembelezana.
 
Ugonjwa upo na watu wanugua.
Waswahili wanasema kuugua si kufa.
Kama katika watu 100 wanaougua, 4 wanakufa, huu si ugonjwa wa kuogopa.
Katika hawa 4 wanaokufa, 3 wanakuwa na magonjwa mengine au ni wazee kwa hiyo kinga ya mwili iko chini.
Kwa hesabu hizi huweze kuwatesa watu kwa kuwafungia ndani na kuwazuia kufanya kazi ya ugonjwa huu. Watu ni lazima wafe tu.
Wanafalsafa wanasema kama hakuna kufa maisha hayana maana. Kama Wanadamu na viumbe vingine vitaendelea kuishi bila kufa wakati Dunia haiongezeki, itafika muda tutakosa pahala pa kuishi.
" Eco sytem " ni mfumo wa maisha ambao unaleta balance ya kuishi. Kwa hiyo ni lazima watu wafe, viumbe vife ili kuleta "ECO SYSTEM"
Mh. Rais Makufuli ni Mwanasayansi kwa Taaluma tofauti na marais wengine Duniani ambayo wamesomea masomo kama Uchumi, Siasa, Sheria nk.
Huu ugonjwa kwa yeye ni size yake kwa sababu anaushughulikia Kisayansi wakati wengine wanaushughulikia Kisiasa au Kidini.
 
Wewe wenzio wanapima na ku isolate na wameona progress kuwa wanafungua.Sisi watu wanakufa hata kuisha tutajua ni lini kwani watu hawaambiwi .Mimi nimezika ndugu yangu jtatu wiki hii hapo kwa kondo hali bado ni mbaya siku hiyo nilihesabu makaburi mapya 20 na bado ilikuwa saa tano asubuhi .Wale wahudumu wa makaburi wakasema mbona leo bado mapema yataongezeka tu na bado ujahesabu Kule kwa waislam.So ndugu jikinge serikali hii haina mpango wa kukukinga na bado ukiugua gharama ni zako na sio mchezo Oxygen kwenye private hospital sio chini ya 1m kwa siku ICU .Government hospital ukiwewa kumshukuru Mungu .Kuomba tunaomba kila siku ila Mungu anawalinda wajilindao.Maria aliambiwa mtoe mtoto Yesu farao anataka kumwua ,kwani Mungu alishindwa kumshughulikia Farao ?Omba pia jikinge
 
Mungu ibariki Tanzania, Magufuli na Timu ya Yanga.
Yanga tena? Yanga ipi ? ya Msola? Manji, Gulamali , Morrisson au Akilimali? jikite kwenye mada mkuu Yanga nyie si mlimchukiza Akilimali akavua kofia akaweka juu ya meza akasema mtajuta na mkafungwa goli 5 na Simba mkalia nchi nzima miaka mia sasa?
 
Back
Top Bottom